Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
😂😂😂😂Nahisi hii inshu itakua changamoto ya minara piaVoda na Tigo kuna baadhi ya siku inakamata na kusoma 5G…
Ila airtel naonaga wanalalamika wadau siku ikiamua kuwakazia ni inakaza kuanzia call mpk data.
Labda mbuguni😃 hamieni mjini tokeni mashambani kwani mmekuwa migombaVoda na Tigo kuna baadhi ya siku inakamata na kusoma 5G…
Ila airtel naonaga wanalalamika wadau siku ikiamua kuwakazia ni inakaza kuanzia call mpk data.
Maandalizi ya Mwaka mpya kote mwendo wa kichapoMkuu hata mimi nashangaa tangu jana kuna mabadiliko.
Najiuliza ni hujuma au ni marekebisho?
Kama ni marekebisho huu sio wakati wake na labda ni mtandao umezidiwa pia haiji akilini.
Sijaelewa ulichoandika..Labda mbuguni😃 hamieni mjini tokeni mashambani kwani mmekuwa migomba
Maandalizi ya Mwaka mpya kote mwendo wa kichapo
Hao wanaolalamika kuhusu airtel, wewe si uko voda. marryjaneSijaelewa ulichoandika..
Yan kifaa na mtandao vinanipa 5G unaniambia nihame?
Wahame hao airtel,,
😂😂😂Ili nalo umesema ww yangu macho tuSijui kwanini sekta binafsi zinaiga utendaji wa serikali.
Ila labda watendaji wako likizo na hawakuacha backup personnel
Uliandika “hamieni” sounds niko included..Hao wanaolalamika kuhusu airtel, wewe si uko voda. marryjane
Ok mrembo, shushia pepsi baridi umejieleza vyema.👏👏Uliandika “hamieni” sounds niko included..
Ni mapito tu wanapitia ya ukarabati itakuwa..
Natumia voda, walivyoleta hiyo michezo ya E- sim nikadilute simu ikawa ya laini mbili, na Tigo pia wanaletaga 5G/ LTE
Janabi huko anakatazaOk mrembo, shushia pepsi baridi umejieleza vyema.👏👏
Ukimfatisha yule hata marryjane utamkimbiaJanabi huko anakataza
Anabania fanta orange utadhani haoni hili juaJANABI kama JANABI
Hahahaaa
Anabania fanta orange utadhani haoni hili jua
Weee hiyo ya leo ilkuwa mbichi 🤣🤣🤣Anabania fanta orange utadhani haoni hili jua
Siiwezi 🙌 heri ya malimao..Wewe njoo nikupatie juice ya tende bibie
Hahaa kwanini? Nilinyonga bila rizla 🤭Weee hiyo ya leo ilkuwa mbichi 🤣🤣🤣
Basi chagua unachotaka hata kama ni Yohana Mtembezi Double Black (John Walker whiskey)Siiwezi 🙌 heri ya malimao..
Dates naweza nile punje 3/4 hapo, juice yake hapana, ule utamu unakifu
Ila wewe una vituko sana😅 kumbe mkemia mwenyeweHahaa kwanini? Nilinyonga bila rizla 🤭