Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
- Thread starter
-
- #41
[emoji2956]Hizi ni mambo unatakiwa kuelewa Kabla ya kulaumu media, kila chombo Cha habari kinadhibitiwa..(elewa hivo siku zote), jiulize BBC ni ya wapi?ukipata jibu jumlisha na yanayoendelea duniani Kwa Sasa...global north vs global south...kama ni mfuatiliaji WA BBC ushajiuliza kwanini hawakutangaza kabisa maandamano yaliyotokea uingereza week chache zilizopita?ukipata jibu kunywa maji sogelea tv Yako weka TBC/kilicho Bora zaidi[emoji41]
Risas huyo mtwanga risas yuko wapi nyie wapuuz na ccm yenu mmeshindwa hata kueleza wale polis wa kila siku area D walikuwa wapi siku ya tukio la lissu mageti yote mawili, ndio maana mmekuwa mijinga mijinga na mtaropoka yote mliyowatendea wananchi wa nchi hii akiwemo mamayenu lazima ataropoka tu kama huamini ni swala la muda tu.Si bora anayekuteka na akataka umpe fedha akuachie kama ile mijambazo yenye mtandao wa utekaji kupata pesa walivyomfanyia mtoto wa mzee CHAULA...mijangili ya Marekani imemtwanga RISASI rais mstaafu na mgombea wa urais....
Kuwa serious mkuu....
Naomba nikuulize swali? Kwa hiyo BBC wanawaonea wivu Africa na China? Au Samia na China.Kweli watu wana ajenda zao....
Channel hii anayofanyia kazi ndugu ODEMBA imeamua kutuonyesha habari ya" vijana wa GenZ "wa Kenya na kuipa mgongo habari kubwa duniani ya mkutano wa baraza hili la kimaendeleo kati ya AFRIKA na CHINA....
Hivi kweli unaweza kutuonyesha MKUTANO WA MAMBO YA KILIMO huko Rwanda na kuiacha habari hii ya jukwaa la FOCAC ?!!!
Nimeamini hawa BBC ,AL JAZEERA wana AJENDA ZAO....
#Vijana Afrika Tutie Akili
#Huko Nje hatuna wajomba bali wadau wa maendeleo[emoji2956]
#Nchi Kwanza[emoji2956]
Mwingereza aliishusha bendera yake ya UNION JACK pale uwanja wa Uhuru 1961.....tukaachana naye...BBC huyo.....Ulozi wa kikoloni unakusumbua
Watwangaji Risasi ndio hao wanaotaka fedha ya fidia(ransom) kutoka kwa akina CHAULA....Risas huyo mtwanga risas yuko wapi nyie wapuuz na ccm yenu mmeshindwa hata kueleza wale polis wa kila siku area D walikuwa wapi siku ya tukio la lissu mageti yote mawili, ndio maana mmekuwa mijinga mijinga na mtaropoka yote mliyowatendea wananchi wa nchi hii akiwemo mamayenu lazima ataropoka tu kama huamini ni swala la muda tu.
Ndio maana nikasema peleka takataka za mkutano wenu kwenye makorido ya lumumba ukaangalie huko na mazwazwa wenzio huko ccm huku mkipanga mikakati ya kuteka watu maporin na yule mtumbuliwa DC wa longido.Niko jirani hapa na nyumba hii ya UFIPA....nikibanwa na takataka nitampa mlinzi elfu 2000 zaidi ya buku anayopewa na wale wanaoingia na "maboksi uani" kumaliza yao mida mibovu ya saa 8 usiku.... nikitumie kile CHOO karibu na ule ukuta mnaofanyia mikutano yenu....
Sio wivu....Naomba nikuulize swali? Kwa hiyo BBC wanawaonea wivu Africa na China? Au Samia na China.
Pelekeni chanel ten takataka zenuHizi media kubwa kubwa zina hidden agenda ya kuhakikisha kila kizuri cha wakubwa fulani kinapigiwa chapuo mara 10000000 huku uovu ukifunikwa na kifuniko kikuu...Afrika mlango unafunguliwa ili kila kitu kionekane lakini kisielezwe Kwa maslahi ya Mama Afrika..
Kwa nini mkutano huo usionyeshwe kwenye TV zao?Kweli watu wana ajenda zao....
Channel hii anayofanyia kazi ndugu ODEMBA imeamua kutuonyesha habari ya" vijana wa GenZ "wa Kenya na kuipa mgongo habari kubwa duniani ya mkutano wa baraza hili la kimaendeleo kati ya AFRIKA na CHINA....
Hivi kweli unaweza kutuonyesha MKUTANO WA MAMBO YA KILIMO huko Rwanda na kuiacha habari hii ya jukwaa la FOCAC ?!!!
Nimeamini hawa BBC ,AL JAZEERA wana AJENDA ZAO....
#Vijana Afrika Tutie Akili
#Huko Nje hatuna wajomba bali wadau wa maendeleo[emoji2956]
#Nchi Kwanza[emoji2956]
Usinitajie mtu aliyetumbuliwa mimi....Ndio maana nikasema peleka takataka za mkutano wenu kwenye makorido ya lumumba ukaangalie huko na mazwazwa wenzio huko ccm huku mkipanga mikakati ya kuteka watu maporin na yule mtumbuliwa DC wa longido.
Unajielewa kweli?..khaa...Pelekeni chanel ten takataka zenu
Tunazipeleka UFIPA...kile choo cha kule uani anachokitumia sana mh.Boni Mayai.....Pelekeni chanel ten takataka zenu
BBC, Al jezeera zote ni channel za ubeberu kwa Afrika. BBC ni ubeberu wa magharibi na Al jazeera kuacha suala la palestina ni channel ya ubeberu wa nchi za magharibi na kiarabu. BBC utawaona wakikazia mambo ya njaa maafa, magonjwa na dhiki afrika na pia mambo ya ovyo kama kueneza ushoga eti ni haki ya binadamu. Zikija habari njema au kuhimiza mambo ya uhuru na maendeleo ya kweli kiuchumi afrika au uhusiana na nchi za china na urusi ambazo hazitafuti kulinyonya bara la afrika huwaoni. Utaona wanajifanya kama hawana macho.Kweli watu wana ajenda zao....
Channel hii anayofanyia kazi ndugu ODEMBA imeamua kutuonyesha habari ya" vijana wa GenZ "wa Kenya na kuipa mgongo habari kubwa duniani ya mkutano wa baraza hili la kimaendeleo kati ya AFRIKA na CHINA....
Hivi kweli unaweza kutuonyesha MKUTANO WA MAMBO YA KILIMO huko Rwanda na kuiacha habari hii ya jukwaa la FOCAC ?!!!
Nimeamini hawa BBC ,AL JAZEERA wana AJENDA ZAO....
#Vijana Afrika Tutie Akili
#Huko Nje hatuna wajomba bali wadau wa maendeleo[emoji2956]
#Nchi Kwanza[emoji2956]
Mirembe vitanda vimejaa....wengine wamo humu JF [emoji1787][emoji1787]Unajielewa kweli?..khaa...
BBC MABEBERU...BBC, Al jezeera zote ni channel za ubeberu. BBC ni ubeberu wa magharibi na Al jazeera kuacha suala la palestine ni chanel ya ubeberu wa magharibi na kiarabu. BBc utawaona wakikazia mambo ya njaa maafa, magonjwa na dhki afrika na pia mambo ya ovyo kama kueneza ushoga eti na haki za binadamu. Zikija habari njema au kuhimiza mambo ya uhuru na maendeleo ya kwelikiuchumi afrika huwaoni au uhusiana na nchi za china na urusi ambazo hazitafuti kulinyonya bara la afrika utaona wanajifanya kama hawana macho.
Wanataka fidia huku genge lenu mnaloita polis likishindwa kuwa na intelijensia ila chadema ikitaka kifanya mkutano ndio intelijensia inakuwepo ya uharifu ni mpumbavu pekee wa kuamin Hilo.Watwangaji Risasi ndio hao wanaotaka fedha ya fidia(ransom) kutoka kwa akina CHAULA....
Mbona wanatuonyesha habari za UKRAINE?!!Kwa nini mkutano huo usionyeshwe kwenye TV zao?
Mabeberu ambayo yakiwapa misaada wanageuka wahisani ni mpumbavu pekee wa kuamin Hilo.BBC MABEBERU...
AL JAZEERA MIBEBERU SUGU....
Peleka takataka lumumba kwenye gazeti la uhuru.Mbona wanatuonyesha habari za UKRAINE?!!
Kwani TV za UKRAINE hazionyeshi hizo habari?!! [emoji44][emoji44]