Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Hii ni dhahiri kuwa hayupo serious na maisha ya wananchi. Zaidi ya kampeni za chinichini alizoanza kwa kulaghai wananchi ili wajazane kila anapopita.
Mradi wa Kidunda una umuhimu sana kutatua shida za maji kwa mkoa wa Morogoro. Nilitegemea kiongozi makini aombe msamaha kwa kutotekeleza mradi kama huu.
Ni bil 42.5 tu zingeweza kusaidia wakazi wa Moro na Dar. Lakini hawajali wakazi hawa. Bora 2025 wamnyime kura.
Mradi wa Kidunda una umuhimu sana kutatua shida za maji kwa mkoa wa Morogoro. Nilitegemea kiongozi makini aombe msamaha kwa kutotekeleza mradi kama huu.
Ni bil 42.5 tu zingeweza kusaidia wakazi wa Moro na Dar. Lakini hawajali wakazi hawa. Bora 2025 wamnyime kura.