Aibu kubwa Rais kutembea na 'chawa' wake na kuwalipa kutetea anapokosolewa anapofanya makosa

Aibu kubwa Rais kutembea na 'chawa' wake na kuwalipa kutetea anapokosolewa anapofanya makosa

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Aibu kubwa sana, yaani kumbe wanagombea posho na UVCCM? This is a misuse of public funds.

Screenshot_20230614-180859.jpg
 
Pumbavu kabisa, haya ndio matumizi mabaya ya rasirimali watu.

Kijana anaishi kwa kulipwa kuwa chawa halafu kijana kabisa nguvu kazi inayopaswa kuwepo kwenye production.

Taifa hili lilipaswa kuongoza na mtu wa jamii ya Adolph Hittler hata kwa miaka 40.
 
Misamiati ya kujitambulisha imeongezeka.
Komredi, Mneki, Mchawa aka Mngurukia/Mparisite.
 
Kwanini mumsemee? Kwani hana mdomo?

Mwambieni tu ukweli kuwa actions speaks louder, hivyo mnazidi kuonekana hamnazo tu.
 
Back
Top Bottom