Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
WanajifitiniAibu kubwa sana yaani kumbe wanagombea posho na UvccM? This is misuse of public fundsView attachment 2657421
Kazi ya kujimaliza inaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanajifitiniAibu kubwa sana yaani kumbe wanagombea posho na UvccM? This is misuse of public fundsView attachment 2657421
Mkuu🤣🤣
Hapo Ufipa hakuna Viroboto wa Mwamba?
ccm imejaza na kuzalisha mapumbavu kupitia mikesha ya mbio za mwenge.🤣🤣
Hapo Ufipa hakuna Viroboto wa Mwamba?
Rais mzima unatembea na chawa si uchafu huoAibu kubwa sana yaani kumbe wanagombea posho na UvccM? This is misuse of public fundsView attachment 2657421
Huu ni ushahidi tosha kuwa mhusika ni mchafu maana chawa hupenda uchafu. Aangalie wasimchafue na kumnyonya hadi kufa.Aibu kubwa sana yaani kumbe wanagombea posho na UvccM? This is misuse of public fundsView attachment 2657421
Na mtu mwenye chawa hafai kwenye jamii ya watu waliostaarabikaNawakumbusheni tu kwamba chawa hunyonya damu na kueneza magonjwa. Chawa asipodhibitiwa mapema, humsababishia kifo hasini (host) wake. Chawa ni ngurukia/parasite.
Wamekunyima posho hapo lumumba unaleta hadaa zako hapa.Aibu kubwa sana yaani kumbe wanagombea posho na UvccM? This is misuse of public fundsView attachment 2657421
Ngurukia na hasini. Nimejifunza maneno mapya leo.Nawakumbusheni tu kwamba chawa hunyonya damu na kueneza magonjwa. Chawa asipodhibitiwa mapema, humsababishia kifo hasini (host) wake. Chawa ni ngurukia/parasite.
Nawakumbusheni tu kwamba chawa hunyonya damu na kueneza magonjwa. Chawa asipodhibitiwa mapema, humsababishia kifo hasini (host) wake. Chawa ni ngurukia/parasite.
Ukikutwa uko na chawa inakuwaje.Aibu Kwa hao chawa au Kwa rais
We mwana wacha kupiga mayoweee/wacha watu wayaone wenyeweeAibu kubwa sana yaani kumbe wanagombea posho na UvccM? This is misuse of public fundsView attachment 2657421
Aibu kubwa sana yaani kumbe wanagombea posho na UvccM? This is misuse of public fundsView attachment 2657421
Hii ndio comment bora katika uzi huu...Mtu mchafu huwa na chawa.
Pumbavu shwainiUpo corridor za Lumumba umeshindwa wakemea wenzako?