Ni kweli, wanahitaji management inayobadilika na wakatiWenye media zao wanatakiwa wabadilike na mabadiliko ya teknolojia.
Wakitaka ku survive wajiongeze sana kwa kubuni products mpya kadri ya mahitaji ya jamii
Wakisema wakae kimya au walalamike tuu wamekwisha
lakini pia ujue Platform zake zinamlipa kuliko kusaga anavyomlipa. pale yupo kwa heshima ya kusaga tu. millard kupitia platform zake anaingiza zaidi ya million 50 kwa mwezi. ulizia tu kupost picha kwenye page yake kwa saa 24 si chini ya laki naneIngekua hivyo unavyo sema basi angefungua redion yake. Lakin mpaka Leo anakinga mikono mwisho wa mwez ka kusaga[emoji706]
Kipindi kile kulikuwa na tracks za ukweli wasanii walikuwa kwenye ubora waoDaah! wAYBACK hiyo siku hizi hakuna radio bongo wanajiunga nao wahusika... ilkua inarushwa na Radio Express ya USA ndo walikua wanajiunga na Kiss FM ikidhaminiwa na Coca-Cola program yao ya Open Happiness 2009 hiyo.. Ila kama una bado unaweza kukisikiliza online kupitia KIIS 102.7 FM, L.A huwa kipo kila Jmos jioni hivi...
Ukweli ni kwamba mimi binafsi nilikuwa addicted na RFA na kiss FM .Sema redio ikiwa haina maajabu na wasikilizaji wengi inakuwa hovyo ila nashangaa ilikuwaje maana jamaa waliiteka kanda ya ziwa. Kiss FM ilikuwa yamoto sana miaka ile 2004-2009 huku RFA ndio balaa zaidi katika majiji yote nchini kuanzia MZA, DAR na hata Arachuga
Kwan hujui Millard ayo.com ni kama tv kabisa. Sema tu ipo mtandaon YouTube tu anapata s chin ya 10M Kwa mwez ana reporter's nchi nzima ana studio yake ya kisasa na NDipo anapotangazia kipind chake Cha amplifier Wala clouds haendagi.Milioni 50ya nyoko[emoji23] heshima ya Nini hasa ikiwa wapo waliondoka hata kabla yake na walikua muhimi sana na bado clouds iliendelea? Aisee Inge kua hivyo basi Leo angekua na television yake kabisa.
Sikatai kua haimuingizii pesa lakin sio kwa kiwango tajwa. Hivi million hamisin kwa mwez unaiyonaje? [emoji23][emoji23][emoji23] Hata clouds hawaipat kwa mwez kama faida labda ndan ya miez 3 sembuse mulad na kiyuchubu chake.
Unapaswa kujua kua pale ana katwa mshahara wake kwa kuitangaza ayo tv awapo kwenye kipindi Mzee na bado anaweza kutoa content clouds na akaiuza kwenye platform zake napo analipia content creation n vise versa
Utasema haifi sababu inapigwa jeki, ila taarifa za kisayansi zinaonyesha inatazamwa sana tuTbc inamilikiwa na serikali nikukumbushe
NdioNilichoelewa hapa kumbe Sahara media iliyo chini ya bw Diallo ndo inayomiliki Kiss fm, RFA na Star TV, sio? [emoji848]
Nipo tayari kurekebishwa na kueleweshwa zaidi
Hatari sana, narudia kusema jamaa atafute investor na aingie ubia, otherwise usipotokea muujiza itakuwa haibu.Mmiliki ali bankrupt hapo nyuma baada ya kutikiswa na sisiem... Inasemekana alikopa 400mil bank moja hapa nchini jina sitoitaja, kwa ajili ya kuendeleza biznes ila ndo ivo tena biashara ina mengi kuna kupata zaidi au kujikuta unafanyia kazi mkopo tu.. Hzi nilizipata chini ya carpet moja wapo
Sio dialo tu media zote ni shida makampuni yameamia kwenye mitandao media nyingi zimeshidwa kuenenda na technologyNaona kuna mgomo tena tangia asubuhi ni muziki kwenda mbele! Inasikitisha sana! Hakuna kipindi cha Ushauri wako ,Je wajua ,Sitosahau ,Duniani wiki hii.