Aibu nyingine - Urusi inapata msaada kutoka kwa wakimbizi wa Palestina na magaidi wa Hezbollah

Aibu nyingine - Urusi inapata msaada kutoka kwa wakimbizi wa Palestina na magaidi wa Hezbollah

Kama sijasahau wewe ulikua unatuimbia humu Ukraine sasa watapigwa hadi Kiev, naona Mrusi bado amehemea Bakhmut, imeishiwa kabisa licha ya usadizi wa maustadhi na kote, sasa ikitokea NATO inatia guu pale si ndio Urusi itafutika.

Kituo cha mwisho ni Kyiv 😎😎😎
 
Ukraine anapata msaada kutoka wapi?
Sasa rusia kuomba msaada toka kwa walemavu na hilo unataka kuona ni mlingano na msaada anaopewa Ukreine!
Unatumia kiungo gani kutafakari kisha kuandika na kupost??[emoji101][emoji101]
 
Hii vita inapiganwa ndani ya Ukraine, nadhani unaelewa hilo.

Huyu Urusi tuliyeaminishwa ni supapawa, ambaye alikua tegemeo la waarabu na dini yao, leo anashindwa kufumua kataifa jirani hapo, mwaka mzima anazunguka kwenye tumiji twa huko sijui wapi, ni kama uaminishe watu utaifumua Tanzania ila mwaka unaisha bado unang'ang'ania Katavi.....
 
Nani kakuambia nimefuta kauli kwamba kyiv inafikiwa kwan mara ngapi mabomu yamefika Kyiv na ndone zimetandika sana huko au unajisahaulisha


Russia has hit Ukraine with a wave of attacks, dive-bombing the capital, Kyiv, with what appear to be Iranian-made "kamikaze" drones.
Critical infrastructure was hit in the Kyiv, Dnipro and Sumy regions, with electricity cut in hundreds of towns and villages, the government says.
At least eight people were killed, four in Kyiv and four in Sumy.
Calls have mounted for sanctions on Iran, which continues to deny supplying drones to the Russian military.
A week ago, the Ukrainian capital was hit by Russian missiles at rush hour, part of nationwide attacks which left 19 dead.
In the latest attack, starting at around 06:30 (03:30 GMT), 28 drones targeted the capital but only five hit targets, according to the Mayor, Vitaliy Klitschko.

The city reverberated to the rattle of gunfire as anti-aircraft batteries frantically tried to shoot them down. Video on social media appeared to show one interception.

Hehehe!!! Kwa ambavyo mlijipiga kifua, nilijua wale mateja 300,000 watafanya cha maana, mumeishia kung'ang'ania na kuhemea huko.
 
Supapawa anapata tabu sana, mpaka amefuata msaada kwa wakimbizi na magaidi wa kidini......

Most Palestinians sent to the front lines in Ukraine are from Ein Al-Khalwa, the biggest camp for Palestinian refugees in Lebanon

Russian organizations reportedly offered $350 to convince Palestinian residents of Lebanon to join the ongoing conflict in Ukraine, according to a security source in the Lebanese government via The Media Line on Monday.
The source also stated that individuals connected to the Palestinian embassy in Beirut are leading the recruitment drive.
Most Palestinians sent to the front lines in Ukraine are from Ein Al-Khalwa, the biggest camp for Palestinian refugees in Lebanon, located close to the port city of Sidon.

According to reports, the recruits are affiliated with the Popular Front for the Liberation of Palestine and the Fatah political movement, which Mahmoud Abbas - the president of the Palestinian Authority - leads. According to reports, the individuals consent to participate in the fight in Ukraine on behalf of Russian forces in exchange for a monthly stipend and benefits for their families.

According to the Lebanese security source, the Hezbollah terrorist organization - which has bases in Lebanon and receives support from Iran - coordinates the recruitment of Palestinians and other people. The source also claimed that Hezbollah is aggressively recruiting young supporters to aid Russia in the conflict in Ukraine, especially those proficient at operating drones and those knowledgeable in guerrilla warfare in urban settings.


Propaganda za asubuhi baada ya kushiba chai wali maharage kiporo
 
Huyu Urusi tuliyeaminishwa ni supapawa, ambaye alikua tegemeo la waarabu na dini yao, leo anashindwa kufumua kataifa jirani hapo, mwaka mzima anazunguka kwenye tumiji twa huko sijui wapi, ni kama uaminishe watu utaifumua Tanzania ila mwaka unaisha bado unang'ang'ania Katavi.....
Taifa jirani lipi, wakati Urusi anapiga na nchi zaidi ya 30 pamoja na US baba yao, juzi tu hapa mwanajeshi mstaafu wa US amekufa wakati ana ipambania Ukraine uwanja wa vita , ebu kadanganye watoto kuwa Urusi anapigana na Ukraine pekee
 
Supapawa anapata tabu sana, mpaka amefuata msaada kwa wakimbizi na magaidi wa kidini......

Most Palestinians sent to the front lines in Ukraine are from Ein Al-Khalwa, the biggest camp for Palestinian refugees in Lebanon

Russian organizations reportedly offered $350 to convince Palestinian residents of Lebanon to join the ongoing conflict in Ukraine, according to a security source in the Lebanese government via The Media Line on Monday.
The source also stated that individuals connected to the Palestinian embassy in Beirut are leading the recruitment drive.
Most Palestinians sent to the front lines in Ukraine are from Ein Al-Khalwa, the biggest camp for Palestinian refugees in Lebanon, located close to the port city of Sidon.

According to reports, the recruits are affiliated with the Popular Front for the Liberation of Palestine and the Fatah political movement, which Mahmoud Abbas - the president of the Palestinian Authority - leads. According to reports, the individuals consent to participate in the fight in Ukraine on behalf of Russian forces in exchange for a monthly stipend and benefits for their families.

According to the Lebanese security source, the Hezbollah terrorist organization - which has bases in Lebanon and receives support from Iran - coordinates the recruitment of Palestinians and other people. The source also claimed that Hezbollah is aggressively recruiting young supporters to aid Russia in the conflict in Ukraine, especially those proficient at operating drones and those knowledgeable in guerrilla warfare in urban settings.


Ila Ukraine ikipata msaada toka kwa mabeberu sio aibu au sio?
 
Urusi hali ni mbaya sana think tank wa Russia hawapo tena wamebaki watu ambao hawaoni mbele, sisi tuko tayari kuwashabikia but hatoweza kurudisha himaya ya Soviet kamwe na asipokaa vzr Russia kwenyewe kitamegwa tena vipande vipande, achana na watu wenye akili bwana
 
Urusi hali ni mbaya sana think tank wa Russia hawapo tena wamebaki watu ambao hawaoni mbele, sisi tuko tayari kuwashabikia but hatoweza kurudisha himaya ya Soviet kamwe na asipokaa vzr Russia kwenyewe kitamegwa tena vipande vipande, achana na watu wenye akili bwana
Yie watu siwaelewi, urusi haijapeleka askari wake hata mmoja frontline, haijapeleka silaha za maana frontline, askari wenye weledi bado wametulia kabisa. Mnaohangaika nao ni wanamgambo waliofundiahwa wiki moja kulenga shabaha then wakaenda. Ndo wawatoa makamasi NATO
 
Yie watu siwaelewi, urusi haijapeleka askari wake hata mmoja frontline, haijapeleka silaha za maana frontline, askari wenye weledi bado wametulia kabisa. Mnaohangaika nao ni wanamgambo waliofundiahwa wiki moja kulenga shabaha then wakaenda. Ndo wawatoa makamasi NATO
Acha utoto uwa sipendagi ubishi ambao ni sawa na ujinga ok, wewe chizi tafuta mtoto mwenzio mkabishane ok

Level yako ni ya chini na tayari nimeshajua kila kitu from you nikutakie usiku mwema Lt. Col. Holly Star wa jeshi la Russia kamandi ya kusini ndani ya nchi ya Ukraine

Nisamehe kwa maneno makali, mimi uwa sipendagi ligi za ndondo make sio level yangu mie ok
 
Huyu Urusi tuliyeaminishwa ni supapawa, ambaye alikua tegemeo la waarabu na dini yao, leo anashindwa kufumua kataifa jirani hapo, mwaka mzima anazunguka kwenye tumiji twa huko sijui wapi, ni kama uaminishe watu utaifumua Tanzania ila mwaka unaisha bado unang'ang'ania Katavi.....
Anapigana na mashoga wote wa NATO unategemea itakuwa rahisi?
 
Supapawa anapata tabu sana, mpaka amefuata msaada kwa wakimbizi na magaidi wa kidini......

Most Palestinians sent to the front lines in Ukraine are from Ein Al-Khalwa, the biggest camp for Palestinian refugees in Lebanon

Russian organizations reportedly offered $350 to convince Palestinian residents of Lebanon to join the ongoing conflict in Ukraine, according to a security source in the Lebanese government via The Media Line on Monday.
The source also stated that individuals connected to the Palestinian embassy in Beirut are leading the recruitment drive.
Most Palestinians sent to the front lines in Ukraine are from Ein Al-Khalwa, the biggest camp for Palestinian refugees in Lebanon, located close to the port city of Sidon.

According to reports, the recruits are affiliated with the Popular Front for the Liberation of Palestine and the Fatah political movement, which Mahmoud Abbas - the president of the Palestinian Authority - leads. According to reports, the individuals consent to participate in the fight in Ukraine on behalf of Russian forces in exchange for a monthly stipend and benefits for their families.

According to the Lebanese security source, the Hezbollah terrorist organization - which has bases in Lebanon and receives support from Iran - coordinates the recruitment of Palestinians and other people. The source also claimed that Hezbollah is aggressively recruiting young supporters to aid Russia in the conflict in Ukraine, especially those proficient at operating drones and those knowledgeable in guerrilla warfare in urban settings.


Mtu anyeshabikia urusi lazima ni gaidi..
 
Yaani ww ndio hujui kabisa maana ya Vita. Tafsiri ya Vita ni washirika.
Nikusaidie hapa URUSI+SYRIA+INDIA+CHINA+KOREA KASKAZINI +IRAN+ AFGANISTAN+BERALUS+PARESTINA KWA NAMNA FLANI WAISAIDIA URUSI HATA KWA MAWAZO KTK VITA NA MASHOGA
 
Back
Top Bottom