Aibu: Polisi yatuhumiwa kudukua simu ya Wakili Mwabukusi na kumuwekea maudhui Instagram ili impe kesi

🤣🤣🤣🤣 umeandika AMKENI.... ni kauli ya kihaini🤣🤣🤣
 
Mtalia lia sana.
 
Ivi Kibatala bado yupo,sijamsikia muda mrefu kidogo
Yupo na juma hili alikua mahakamani kwenye kesi ya billionaire Msuya! Na atakuwepo mbeya kitu ambacho pia kimekasirisha polisi baada ya konesha Nia ya kujumuika na mawakili wa utetezi, hii imetolewa na camera fiche ikionesha manung'uniko yao mana walidhani atashindwa kijigawa DSm na Mbeya! Akili zao zilivyo fupi hawajui pia mahakama inaweza kujiendesha Kwa njia ya mtandao, na hakuna sehemu mbali duniani hivi sasa
Elimu Elimu Ufahamu na Maarifa
 
Ngoma ya kitoto haikeshi
 
Huwezi kuingia Insta bila password.Na ukikosea kuna masawali yanakujia,ulishindwa kujibu wanaizuia account.
 

Daaah yaani Polisi kwa kufanya huo upuuzi basi kesi ishakwisha hapo.
 
Nimekumbuka yale ya kesi ya ugaidi wa mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumeanza kuona sura zao halisi sasa kulikuwa na umuhimu gani kujiita awamu ya sita? Haya ni manyunyu tu tusitegemee kabisa uchaguzi wa haki 2025.
 
La bandari limeisha sasa na mjadala umehamia Mahakamani tu sasa.
We told you earlier kwamba tuachane na hii bandari na agenda wanazotuanzishia CCM kwa sababu issue ya bandari mtake msitake ilishaisha. Tulishauri tukomae na katiba mpya haya mengine tutayakuta mbeleni. Mkashupalia bandari bandari bandari. Sasa oneni wenye bandari yao washafanya yao huku nyuma wamewaachia vumbi la kuhangaika kiguu na njia Mahakamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…