Aibu: Polisi yatuhumiwa kudukua simu ya Wakili Mwabukusi na kumuwekea maudhui Instagram ili impe kesi

Aibu: Polisi yatuhumiwa kudukua simu ya Wakili Mwabukusi na kumuwekea maudhui Instagram ili impe kesi

Kwani kesi za kusingiziana zimeanza Leo .apambane na hali yake mwenyewe
 
Ila Intelligence ya Polisi wa Kibongo ni mbovu mno.
Inachekesha na kusikitisha sana. Jikumbushe ushaidi alioutoa Kingai katika kesi ya ugaidi alafu akalamba uteuzi wa kuwa DCI na majaji wa michongo kupatndishwa vyeo.. Unafikiri huyu mama anakotupeleka kuna neema kweli? Alafu eti baadae anakuja na upuuzi wa haki jinai🤣🤣🤣
 

Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.

Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.

Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.

Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz
Polisi wamesahau mara hii walivyodhalilika kwenye kesi ya mchongo ya ugaidi wa Mbowe
 
La bandari limeisha sasa na mjadala umehamia Mahakamani tu sasa.
We told you earlier kwamba tuachane na hii bandari na agenda wanazotuanzishia CCM kwa sababu issue ya bandari mtake msitake ilishaisha. Tulishauri tukomae na katiba mpya haya mengine tutayakuta mbeleni. Mkashupalia bandari bandari bandari. Sasa oneni wenye bandari yao washafanya yao huku nyuma wamewaachia vumbi la kuhangaika kiguu na njia Mahakamani.
Naunga mkono hoja. CCM ni majizi yaliyokubuhu hivyo inahitajika kazi kubwa na ya akili nyingi kuwakabili kwani wanatumia mabavu ya vyombo vyote vya dola kuendelea kutawala kidhali,hizi hoja kudandia juu juu haziwezi kuwaondoa madarakani.
 
Tanzania inaongoza KWA viongozi wapumbavu na dola dhulmati isiyo na weledi endeleeni kuwa waonevu dhidi ya watanzania ipo siku mchuma janga atakula na wakwao.
 

Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.

Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.

Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.

Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz
Ndio weledi wa jeshi letu ulipofikia na hayo sio mageni hiyo ni kawaida yao kuwabambikia watu walishafanya kwa Mdude mpaka wakat mwingine unajiuliza hivi Hawa watu huko vyuoni Huwa wanasomea vitu Gani? Aibu kabisa kuwa raia wa hii nchi
 
Watakutana na Cross examination ya Kibatala huko court
Wakili THE BIG ANSWER hahhah Kibatala bhana, safari hii haitakuwepo kwa sababuwote wamesema wanaenda kutoa maelezo yao mahakamani
 
Siku zote kawaida ya mbwa ukintumisha hatakama kitu hakina faida kwake hutekeleza. Ndio hawo policcm kazi wanayoifanya kwa kutumikishwa na wafuasi wao huku wa uvccm kushangilia.
 

Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.

Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.

Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.

Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz
Dr Slaa naye amedukuliwa?
Mdude je?
Kinachodukuliwa kwenye simu ni kile kilichomo mfano wa simu ya Napii na Merope wakati wa bwana Chattle. Hata hivyo hiyo ndiyo kazi ya polisi.
Hivyo asitafute huruma ya wananchi (siyo Yanga) bali apambane na hali yake
 
La bandari limeisha sasa na mjadala umehamia Mahakamani tu sasa.
We told you earlier kwamba tuachane na hii bandari na agenda wanazotuanzishia CCM kwa sababu issue ya bandari mtake msitake ilishaisha. Tulishauri tukomae na katiba mpya haya mengine tutayakuta mbeleni. Mkashupalia bandari bandari bandari. Sasa oneni wenye bandari yao washafanya yao huku nyuma wamewaachia vumbi la kuhangaika kiguu na njia Mahakamani.
Wadanganye wajinga sana !
 

Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.

Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.

Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.

Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.

Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz
hoja ya kijinga kabisa hii yaani aongee upuuzi wake huko halafu wakili huyu naye mpuuzi anawasingizia police ? acha apambane na hali yake tu hakuna pa kuchomokea
 
Back
Top Bottom