Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inachekesha na kusikitisha sana. Jikumbushe ushaidi alioutoa Kingai katika kesi ya ugaidi alafu akalamba uteuzi wa kuwa DCI na majaji wa michongo kupatndishwa vyeo.. Unafikiri huyu mama anakotupeleka kuna neema kweli? Alafu eti baadae anakuja na upuuzi wa haki jinai🤣🤣🤣Ila Intelligence ya Polisi wa Kibongo ni mbovu mno.
Polisi wamesahau mara hii walivyodhalilika kwenye kesi ya mchongo ya ugaidi wa Mbowe
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.
Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.
Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.
Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz
Wamuulize Kingai alivyopata fistula kwenye cross examination ya Kibatala kwenye ile kesi ya mchongo wa ugaidi ya MboweWatakutana na Cross examination ya Kibatala huko court
Mbovu sana,hao jamaa wanahitaji elimu kubwaIla Intelligence ya Polisi wa Kibongo ni mbovu mno.
Naunga mkono hoja. CCM ni majizi yaliyokubuhu hivyo inahitajika kazi kubwa na ya akili nyingi kuwakabili kwani wanatumia mabavu ya vyombo vyote vya dola kuendelea kutawala kidhali,hizi hoja kudandia juu juu haziwezi kuwaondoa madarakani.La bandari limeisha sasa na mjadala umehamia Mahakamani tu sasa.
We told you earlier kwamba tuachane na hii bandari na agenda wanazotuanzishia CCM kwa sababu issue ya bandari mtake msitake ilishaisha. Tulishauri tukomae na katiba mpya haya mengine tutayakuta mbeleni. Mkashupalia bandari bandari bandari. Sasa oneni wenye bandari yao washafanya yao huku nyuma wamewaachia vumbi la kuhangaika kiguu na njia Mahakamani.
Qualification ya kujiunga na Police inahitaji nini? IGP alipata division gani form four?Ila Intelligence ya Polisi wa Kibongo ni mbovu mno.
cm ndio nini wewe nawe?Hayo yamerushwa simu ikiwa mikononi mwa polisi, au walimuingizia akiwa bado anazo cm zake?
Ndio weledi wa jeshi letu ulipofikia na hayo sio mageni hiyo ni kawaida yao kuwabambikia watu walishafanya kwa Mdude mpaka wakat mwingine unajiuliza hivi Hawa watu huko vyuoni Huwa wanasomea vitu Gani? Aibu kabisa kuwa raia wa hii nchi
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.
Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.
Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.
Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz
Hamna intellijensia yyte ni vile tu nchi Ina amani ila laiti kungetokea changamoto kama Ile ya wakenya na Al shaabab ingekuwa hatar sanaIla Intelligence ya Polisi wa Kibongo ni mbovu mno.
Wakili THE BIG ANSWER hahhah Kibatala bhana, safari hii haitakuwepo kwa sababuwote wamesema wanaenda kutoa maelezo yao mahakamaniWatakutana na Cross examination ya Kibatala huko court
Dr Slaa naye amedukuliwa?
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.
Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.
Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.
Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz
Wacha Kibatala arudi ulingoni,Atakuwepo Mbeya kwenye Kesi hii , tumekwishampatia tiketi ya ndege
Ikiwa kama hukulog off kabla hujakamatwa Je ?Huwezi kuingia Insta bila password.Na ukikosea kuna masawali yanakujia,ulishindwa kujibu wanaizuia account.
Wadanganye wajinga sana !La bandari limeisha sasa na mjadala umehamia Mahakamani tu sasa.
We told you earlier kwamba tuachane na hii bandari na agenda wanazotuanzishia CCM kwa sababu issue ya bandari mtake msitake ilishaisha. Tulishauri tukomae na katiba mpya haya mengine tutayakuta mbeleni. Mkashupalia bandari bandari bandari. Sasa oneni wenye bandari yao washafanya yao huku nyuma wamewaachia vumbi la kuhangaika kiguu na njia Mahakamani.
hoja ya kijinga kabisa hii yaani aongee upuuzi wake huko halafu wakili huyu naye mpuuzi anawasingizia police ? acha apambane na hali yake tu hakuna pa kuchomokea
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Mbeya, Wakili wa Mwabukusi, Mwakilima, amesema kwamba Maudhui yanayosambaa mtandaoni na kudaiwa kwamba ni ya Boniface Mwabukusi yamewekwa na Polisi wenyewe baada ya kudukua akaunti yake ya Instagram baada ya kumnyang'anya simu yake ya mkononi.
Taarifa zaidi zinaeleza kwamba, ndio maana hakukuwa na taarifa hizo awali, zimeletwa ghafla baada ya udukuzi huo kufanikiwa.
Lengo la jambo hili ni kuudanganya umma ili ijulikane kweli kwamba Mwabukusi na wenzake ni Wahaini.
Ni aibu sana kwa Jeshi letu la Polisi, kugundulika kufanya njama hii ya kijinga, na ni kuidhalilisha nchi nzima kwa manufaa ya DP WORLD na wapambe wake.
Nakala imfikie wakala wa DP WORLD Ritz