Aibu: Polisi yatuhumiwa kudukua simu ya Wakili Mwabukusi na kumuwekea maudhui Instagram ili impe kesi

Hujasikia kwamba wanataka sample ya sauti ya Dr Slaa , kama wanayo hii nyingine wanaitaka ya nini ?
 
Na tarehe hao polisi wata backdate vipi ili ionekane kabla ya tarehe ya kukamatwa.
ndiyo hapo wanataka kutufanya watanzania wote hatuna akili? wacha wajichanganye tu na huyoi wakili naye anafaa kukamatwa aungane na hao wahaini aielezee police wapi imedukua
 
Kama ni kweli Mwenyezi ataamua ugomvi huo very soonest.

Matendo ya Mungu yatisha kama nini [emoji123]
 
Walaaniwe wadukuzi wote! Tena nasema walaaniwe na siku zao ziwe chache Zaburi 109:8
 
Wamedukua mpaka sauti zao?
 
Maudhui hayo si yamerushwa mtu akiwa ndani? Au wamebadili na tarehe?
 
Umesahau wakati wa kesi Mh. Mbowe, kwenye vielelezo Kuna simu ilionekana bado Ina chaji pamoja na kuwa mikononi mwa polisi zaidi ya miezi nane. Kazi ya upolisi na ualimu Serikali ilipuuza sana vigezo vya kujiunga na Taasisi hizo.
 
Naona mmeamua kujifariji na kujiliwaza na wenzako Slaa hata muweke mawakili 20,000 hachomoki hapa ni uhuru tu ya Rais.
Kwa mahakama hizi za kangaroo hilo linawezekana.
 
Polisi wa kibongo hawana ujanja wa kuwazidi akili Meta.

Instagram ina ulinzi mkali kuliko hata system za mabank yetu nchini
Eti nasikia hadi finger print iliyotype simu husika huwa wanaisave, sijui wanafanya Je wenzetu.. Loh🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…