AIBU: Rais anazindua ujazaji maji Bwawa la JNHP taifa likiwa na mgao wa umeme huku mizengwe kibao ikiwekwa lisikamilike mapema

AIBU: Rais anazindua ujazaji maji Bwawa la JNHP taifa likiwa na mgao wa umeme huku mizengwe kibao ikiwekwa lisikamilike mapema

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
~ Nini kimesababisha bwawa la JHNP lisikamilike kwa wakati?

~ Kwanini aliyekuwa waziri wa nishati kabla ya kutumbuliwa alituhakikishia litakamilika june 2022.

~ Crane za mizengwe za January?

~ Kwanini hawataki kuondoa tatizo la umeme Tanzania?

~ Leo wananchi wengi hawakushuhudia huu uzinduzi wa kujaza maji, kwanini hawataki hili bwawa kumamilika kwa wakati?

Tutakukumbuka daima Mzalendo.

image_search_1671746498687.jpg

~
 
Hoi hoi sukuma gang kazini ? Mbona lawama haziishi ? Hebu tuwape muda Kilimani pumzika sasa khaaaa
 
~ Nini kimesababisha bwawa la JHNP lisikamilike kwa wakati?

~ Kwanini aliyekuwa waziri wa nishati kabla ya kutumbuliwa alituhakikishia litakamilika june 2022.

~ Crane za mizengwe za January?

~ Kwanini hawataki kuondoa tatizo la umeme Tanzania?

~ Leo wananchi wengi hawakushuhudia huu uzinduzi wa kujaza maji, kwanini hawataki hili bwawa kumamilika kwa wakati?

Tutakukumbuka daima Mzalendo.

View attachment 2455145
~
Ulitaka kuweka hiyo picha au kuulezea mradi ulivyo?
 
~ Nini kimesababisha bwawa la JHNP lisikamilike kwa wakati?

~ Kwanini aliyekuwa waziri wa nishati kabla ya kutumbuliwa alituhakikishia litakamilika june 2022.

~ Crane za mizengwe za January?

~ Kwanini hawataki kuondoa tatizo la umeme Tanzania?

~ Leo wananchi wengi hawakushuhudia huu uzinduzi wa kujaza maji, kwanini hawataki hili bwawa kumamilika kwa wakati?

Tutakukumbuka daima Mzalendo.

View attachment 2455145
~
Chama cha mabwege ni janga
 
Hivi nyie mlijuwa,kwenye kulijaza litajaa leo leo ehh

Ova
 
~ Nini kimesababisha bwawa la JHNP lisikamilike kwa wakati?

~ Kwanini aliyekuwa waziri wa nishati kabla ya kutumbuliwa alituhakikishia litakamilika june 2022.

~ Crane za mizengwe za January?

~ Kwanini hawataki kuondoa tatizo la umeme Tanzania?

~ Leo wananchi wengi hawakushuhudia huu uzinduzi wa kujaza maji, kwanini hawataki hili bwawa kumamilika kwa wakati?

Tutakukumbuka daima Mzalendo.

View attachment 2455145
~
Ukiwa mama wa familia unaweza letewa hata matoto mapumbavu na mataahira ya baba asiyejielewa so Rais Samia anawaongoza wapumbavu ukiwemo mtoa mada.
 
Back
Top Bottom