Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Ulitaka kuweka hiyo picha au kuulezea mradi ulivyo?~ Nini kimesababisha bwawa la JHNP lisikamilike kwa wakati?
~ Kwanini aliyekuwa waziri wa nishati kabla ya kutumbuliwa alituhakikishia litakamilika june 2022.
~ Crane za mizengwe za January?
~ Kwanini hawataki kuondoa tatizo la umeme Tanzania?
~ Leo wananchi wengi hawakushuhudia huu uzinduzi wa kujaza maji, kwanini hawataki hili bwawa kumamilika kwa wakati?
Tutakukumbuka daima Mzalendo.
View attachment 2455145
~
Chama cha mabwege ni janga~ Nini kimesababisha bwawa la JHNP lisikamilike kwa wakati?
~ Kwanini aliyekuwa waziri wa nishati kabla ya kutumbuliwa alituhakikishia litakamilika june 2022.
~ Crane za mizengwe za January?
~ Kwanini hawataki kuondoa tatizo la umeme Tanzania?
~ Leo wananchi wengi hawakushuhudia huu uzinduzi wa kujaza maji, kwanini hawataki hili bwawa kumamilika kwa wakati?
Tutakukumbuka daima Mzalendo.
View attachment 2455145
~
Anawasimanga janga wenzie.Siku hizi hakuna "anayezuia maendeleo wala kuwachelewesha"!Matokeo yake ndiyo hayo ya "kulana" wao kwa wao.Mungu fundi sana!ππππChama cha mabwege ni janga
Waziri anapinga mradi anaoshiriki kuuzindua.
Ukiwa mama wa familia unaweza letewa hata matoto mapumbavu na mataahira ya baba asiyejielewa so Rais Samia anawaongoza wapumbavu ukiwemo mtoa mada.~ Nini kimesababisha bwawa la JHNP lisikamilike kwa wakati?
~ Kwanini aliyekuwa waziri wa nishati kabla ya kutumbuliwa alituhakikishia litakamilika june 2022.
~ Crane za mizengwe za January?
~ Kwanini hawataki kuondoa tatizo la umeme Tanzania?
~ Leo wananchi wengi hawakushuhudia huu uzinduzi wa kujaza maji, kwanini hawataki hili bwawa kumamilika kwa wakati?
Tutakukumbuka daima Mzalendo.
View attachment 2455145
~