Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kabisaaa kama umekusudia mtume Muhammad s.a.wYa mtume mudi umeyafuata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa kama umekusudia mtume Muhammad s.a.wYa mtume mudi umeyafuata?
Nguvu mnayoitumia kupokea baraka ndio maana natamani hamas wazidi kuwafanya mishkakiNguvu mnazotumia kutetea huu ugaidi wa dini yenu, ndio maana natamani Israel iendelee kupiga tu, hamjajifunza kitu, hadi mtokwe damu kwenye maskio hehehe
Weeee unanyonyana tu kwa sasa na kulambalamba...Kabisaaa kama umekusudia mtume Muhammad s.a.w
Amri ya papa ndio imekuamrisha hayo poleni sanaaaaaaaaWeeee unanyonyana tu kwa sasa na kulambalamba...
Sasa hapo kashika bomu wapi?wakati mama yupo na mtoto wake?Kitendo Cha kushika bomu ili kutaka kuwalushia/kuwalipua IDF ni sawa na kuonja sumu. Utadunguliwa bila kuangaliwa wewe ni mwanamke, kikongwe ama kichanga. Ndicho kilichowaponza hawa
Watu wapo serious mzee!! Kama wanajipenda wakae mbali na hiyo vita wawaachie Hamas wenyewe
Kabisa Wallah!Israel anachafanya ni sahihi kabisa tumuunge mkono.
Yeah! Apige na deki kabisa kabisa pasibaki hata vumbi kidogo; daadek'.Netanyau anaremba sana hebu apasafishe fasta hapa rafah hii mitoto ya beki tatu hajiri siyo ya kuibembeleza hii. Hii pasipo kipondo haielewagi hii
Mkuu; Haya Magaidi ya huku kwenye comments ni Magaidi Fake hayana madhara kabisa - Wee Yapotezee tuu aisee. 😵 😵ISRAEL PIGA AYO MAGAIDIIIII MENGINE YAME JIFICHA UKU KWENYE COMMENT MJE MYAPIGE NA MITIKASI KABISA
Vipi rafah ku hali gani?Mnataka mubakie pekeenu dunia muinukie harufu mbaya
Dunia haiwezi kubakia na watu watakao ifanya inuke
subhanahu wa ta’ala astaghfirullahKabisaaa kama umekusudia mtume Muhammad s.a.w
Jamaa waliwekeza data center yenye mitambo mikali chini ya majengo ya shirika la Umoja wa Mataifa ambalo lilibuniwa kwa ajili ya kuwasaidia Wapalestina maskini.
Mazombi mnasaidiwa kwenye njaa zenu ilhali hapo hapo kwenye shirika la msaada la kuwapa chakula ndio mnaona mjenge makao makuu ya ugaidi wa dini yenu.
===============
![]()
Beneath the Gaza Strip headquarters of the controversial United Nations agency for Palestinian refugees, known commonly as UNRWA, the Hamas terror group hid one of its most significant assets, the Israeli military has revealed.
The subterranean data center — complete with an electrical room, industrial battery power banks and living quarters for Hamas terrorists operating the computer servers — was built precisely under the location where Israel would not consider looking initially, let alone target in an airstrike.
The revelation of the server farm comes amid other accusations of UNRWA collusion with the Gaza-ruling terror group and the entanglement of the UN body that provides welfare and humanitarian services for Palestinian refugees from the 1948 and 1967 wars and their descendants.
Israel last month accused 12 staff with the UN Palestinian refugee agency of taking part in the October 7 massacre by Hamas-led terrorists, who killed 1,200 people and took 253 hostages in the murderous rampage.
Since the allegations became public late last month, UNRWA has seen many of its top donor countries announce funding freezes, leading to concerns that the agency could stop operating in Gaza and elsewhere in the Middle East within weeks.
But the IDF’s recent discovery of the Hamas data center while UNRWA is under increased scrutiny appears to be merely a coincidence.
.
A soldier of the Yahalom unit stands outside a tunnel leading to a Hamas data center, uncovered by the IDF in Gaza City, February 8, 2024. (Emanuel Fabian/Times of Israel)
.
A flooded tunnel leading to a Hamas data center, uncovered by the IDF in Gaza City, February 8, 2024. (Emanuel Fabian/Times of Israel)
An electrical room serving an underground Hamas data center, beneath the UNRWA headquarters, uncovered by the IDF in Gaza City, February 8, 2024. (Emanuel Fabian/Times of Israel
Troops of the Yahalom combat engineering unit lower a camera into a tunnel shaft they dug in the courtyard of UNRWA’s Gaza headquarters, to reach a Hamas underground electrical room, February 8, 2024. (Emanuel Fabian/Times of Israel)
Weapons recovered by IDF troops in the UNRWA headquarters, in a photo published by the IDF on February 10, 2024. (Israel Defense Forces)
Col. Benny Aharon shows reporters UNRWA’s server room at its headquarters in Gaza City, February 8, 2024. (Emanuel Fabian/Times of Israel)
An IDF infographic released February 10, 2024, showing the route of the Hamas tunnel found under UNRWA’s Gaza headquarters. (Israel Defense Forces)
Always conquer writes history. Always who control history controls the future. Watu mnashindwa kuelewa nini hapo.Wakiwashe tu hawa makima wafutwe kabisa kwenye uso wa dunia wakome kuchezea sharubu za myahudi
Hata mimi nilijiuliza kama wewe. Nchi yao ina shida lukuki.Halafu yanatokea majitu meusi tii kwenda kufungua kesi in favor of terrorists! Unajiuliza hawa wako sawa!
Ndio maana unashabekea wauwaji kwasababu ya ujinga unafikiri wewe uko salama.Wewe hapo unaijua historia hata ya ukoo wako? Wale kule wametunza historia za maelfu ya miaka.
Wewe hapo unaijua historia hata ya ukoo wako? Wale kule wametunza historia za maelfu ya miaka. Kuna tafauti kubwa Kati ya kutuza na kutunga historia.