Aibu sana: IDF wagundua data center ya HAMAS nchini ya majengo ya shirika la Umoja wa Mataifa (UNRWA)

Aibu sana: IDF wagundua data center ya HAMAS nchini ya majengo ya shirika la Umoja wa Mataifa (UNRWA)

Ni mtu mjinga,katili na mtu ambaye hana ubinadamu anayeweza kuwasapoti Israel.View attachment 2900881View attachment 2900882
Kitendo Cha kushika bomu ili kutaka kuwalushia/kuwalipua IDF ni sawa na kuonja sumu. Utadunguliwa bila kuangaliwa wewe ni mwanamke, kikongwe ama kichanga. Ndicho kilichowaponza hawa

Watu wapo serious mzee!! Kama wanajipenda wakae mbali na hiyo vita wawaachie Hamas wenyewe
 
Wale watanzania nasikia waliendelea kama wanajeshi.Hamas hawajafanya mauaji ya kikatili namna hii.Alafu wale wanasababu ya kupigana waisraeli feki wanachukua maeneo yao.
Unasikia.....huna uhakika!.....anyway katika vita binadamu kufa ni kawaida hamas waliua waisrael hivyo Israel nao wanaua wapalestina ndo vita hiyo.
 
South Africa Pumbavu Saana hawana Akili hata Kidgo badala ya kuhangaika na Shida ya Umeme Kwao wanahangaika na Shida ziszo wahusu Ndo Tatzo la Mtu Mweusi Wanataka Kufanya Vitu Vingi Kwa Wakati Mmoja na Vyote Vinamshinda anabaki Kupoteza Muda kusubili Uchaguzi Ili Wapate Kick
haya wewe umepata kick
 
Hawa jamaa walishajiandaa siku nyingi ile kuteka wale vijana walisema wapo tayari. Lakini walitengeneza hospitali bandia, vituo vya wakimbizi bandia, misikiti bandia na ambulance bandia ili kuuhadaa Umma. Kumbe Taifa teule Wana akili kubwa juzi niliona ambulance imepigwa bomu kumbe ndio mafifenda ya Hamas wanazuga wanabeba wagonjwa kumbe wamembeba silaha na magaidi. Habari kama hizi ALJAZIRA hawezi kuzitoa
wewe umezipatia wapi
 
Halafu yanatokea majitu meusi tii kwenda kufungua kesi in favor of terrorists! Unajiuliza hawa wako sawa!
Sasa ulitaka wakafungue kesi kukataa msipewe baraka wakati mumeamua wenyewe
 
hapo juu umesema wana haki , hapa chini unataka ushaidi , hv waislam nan kawaloga ? hizo dini za waarab zinawatia wehu
Hv papa amri yake ushaitekeleza au unapigia watu kelele hapa ndani
 
Acha ujinga. Hamas ni chama cha kisiasa na ndicho kilichokuwa kinatawara gaza

Hata kama ni kweri hizo ni data center za kwao, unataka kusema hawakuwa na haki ya kuwa nazo?
Hata mimi sioni shida ya hamas kuwa na hiyo server data station kwa ajili ya mawasiliano, kwa sababu inajulikana hamas ni adui wa Israel na Israel ni adui wa Hamas, hiyo haina shida hata Israel ana bunkers hatari sana duniani hata siku nyukilia ikipigwa kuna uwezekano ya 3/4 ya waisrael wakasurvive. Pia tukumbuke Israel yuko vitani na hamas lazima asafishe kila kitu.
 
South Africa Pumbavu Saana hawana Akili hata Kidgo badala ya kuhangaika na Shida ya Umeme Kwao wanahangaika na Shida ziszo wahusu Ndo Tatzo la Mtu Mweusi Wanataka Kufanya Vitu Vingi Kwa Wakati Mmoja na Vyote Vinamshinda anabaki Kupoteza Muda kusubili Uchaguzi Ili Wapate Kick
God Bless Israel
 
Netanyau anaremba sana hebu apasafishe fasta hapa rafah hii mitoto ya beki tatu hajiri siyo ya kuibembeleza hii. Hii pasipo kipondo haielewagi hii
Mwisho wa siku watarudi kwenda kupokea baraka mujitokeze kwa wingi kwenda kubarikiwa huko
 
Hawa jamaa walishajiandaa siku nyingi ile kuteka wale vijana walisema wapo tayari. Lakini walitengeneza hospitali bandia, vituo vya wakimbizi bandia, misikiti bandia na ambulance bandia ili kuuhadaa Umma. Kumbe Taifa teule Wana akili kubwa juzi niliona ambulance imepigwa bomu kumbe ndio mafifenda ya Hamas wanazuga wanabeba wagonjwa kumbe wamembeba silaha na magaidi. Habari kama hizi ALJAZIRA hawezi kuzitoa
Mkishatoka kupokea baraka munaandika tu uchafu hapa kuchafua chafua jf
 
Back
Top Bottom