Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
Duu.Ugaidi ni kwako wewe nawajinga wanzako lakini kwa wengine Hamas ni chama cha ukombozi kama vile ANC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu.Ugaidi ni kwako wewe nawajinga wanzako lakini kwa wengine Hamas ni chama cha ukombozi kama vile ANC
kwann UNRWA hawajakanusha hz taarifa ?Unaushaidi gani hizo data center ni za Hamas na si za UNRWA??
Acha kukurupuka na propaganda za Israel
kwan ccmu wamewai fungua ofisi zao binafs ndan ya ofisi za taasisi nyingine ? au unamaanisha ccmu haijachaguliwa ?Acha ujinga. Hamas ni chama cha kisiasa na ndicho kilichokuwa kinatawara gaza
Hata kama ni kweri hizo ni data center za kwao, unataka kusema hawakuwa na haki ya kuwa nazo?
hapo juu umesema wana haki , hapa chini unataka ushaidi , hv waislam nan kawaloga ? hizo dini za waarab zinawatia wehuToa ushaidi hizo data center ni za hams na si za UNRWA. Usituwekee hapa propaganda za IDF
mtu mweusi anampenda mwarab kuliko mweusi mwenzio , sijui nan aliwaroga hawa wavaa kobazUgaidi ni kwako wewe nawajinga wanzako lakini kwa wengine Hamas ni chama cha ukombozi kama vile ANC
walimuua Mollel na Mtiga nayo ni Israel aliwachochea waue waafrika wenzangu maana ww ni mwarab kisa kuwa mwislamGaza ni eneo finyu sana kila kitu kipo karibu na mwenzake.Hata hospitali walizozibomoa kule jiji la Gaza walisema mengi na yote hayakupata uthibitisho.
Katika kipindi hiki cha vita kufikia kiwango kibaya kwa Israel wanatumia njia mbadala na za fitna kuwakosanisha Hamas na ulimwengu mzima.
Wafanyakazi wa hayo mashirika kutoka nje wameshajibu mara nyingi kuhusu uchochezi wa aina hiyo.Mmoja akauliza kwanini kipindi hiki na sio huko nyuma Israel imeliandama sana shirika hilo.
Cc adrizMitoto maamuma ya shetan ilifikiri ina akili kuliko watoto wa Mungu na bado watapigwa mpaka kunako...
HAMAS ni magaidi. Na wataendelea kudundwa na IDF hadi wapotee kabisa.Ugaidi ni kwako wewe nawajinga wanzako lakini kwa wengine Hamas ni chama cha ukombozi kama vile ANC
Vita havina msalie mtume ndo maana Hamas wameua watanzania, watoto, vikongwe, wasiokuwa na hatia ndo mambo ya vita hayo!Ni mtu mjinga,katili na mtu ambaye hana ubinadamu anayeweza kuwasapoti Israel.View attachment 2900881View attachment 2900882
Hujawaona wazungu wanaandamana huko Europe kuwaunga mkono wapalestina?mtu mweusi anampenda mwarab kuliko mweusi mwenzio , sijui nan aliwaroga hawa wavaa kobaz
Jibu kama unaushaidi. Longolongo pelela churchmtu mweusi anampenda mwarab kuliko mweusi mwenzio , sijui nan aliwaroga hawa wavaa kobaz
Uzuri UNRWA hawadili na wajingakwann UNRWA hawajakanusha hz taarifa ?
Nani kakuambia hiyo data centre ni ya Hamas?kwan ccmu wamewai fungua ofisi zao binafs ndan ya ofisi za taasisi nyingine ? au unamaanisha ccmu haijachaguliwa ?
We Mhaya upo wapi siku hizi.Acha ujinga. Hamas ni chama cha kisiasa na ndicho kilichokuwa kinatawara gaza
Hata kama ni kweri hizo ni data center za kwao, unataka kusema hawakuwa na haki ya kuwa nazo?
Toa ushaidi hizo data center ni za hams na si za UNRWA. Usituwekee hapa propaganda za IDF
Wale watanzania nasikia waliendelea kama wanajeshi.Hamas hawajafanya mauaji ya kikatili namna hii.Alafu wale wanasababu ya kupigana waisraeli feki wanachukua maeneo yao.Vita havina msalie mtume ndo maana Hamas wameua watanzania, watoto, vikongwe, wasiokuwa na hatia ndo mambo ya vita hayo!