Aibu sana: IDF wagundua data center ya HAMAS nchini ya majengo ya shirika la Umoja wa Mataifa (UNRWA)

Nguvu mnazotumia kutetea huu ugaidi wa dini yenu, ndio maana natamani Israel iendelee kupiga tu, hamjajifunza kitu, hadi mtokwe damu kwenye maskio hehehe
Nguvu mnayoitumia kupokea baraka ndio maana natamani hamas wazidi kuwafanya mishkaki
 
Sasa hapo kashika bomu wapi?wakati mama yupo na mtoto wake?
 
Netanyau anaremba sana hebu apasafishe fasta hapa rafah hii mitoto ya beki tatu hajiri siyo ya kuibembeleza hii. Hii pasipo kipondo haielewagi hii
Yeah! Apige na deki kabisa kabisa pasibaki hata vumbi kidogo; daadek'.
 
ISRAEL PIGA AYO MAGAIDIIIII MENGINE YAME JIFICHA UKU KWENYE COMMENT MJE MYAPIGE NA MITIKASI KABISA
 
ISRAEL PIGA AYO MAGAIDIIIII MENGINE YAME JIFICHA UKU KWENYE COMMENT MJE MYAPIGE NA MITIKASI KABISA
Mkuu; Haya Magaidi ya huku kwenye comments ni Magaidi Fake hayana madhara kabisa - Wee Yapotezee tuu aisee. 😵 😵
 

Wakiwashe tu hawa makima wafutwe kabisa kwenye uso wa dunia wakome kuchezea sharubu za myahudi
Always conquer writes history. Always who control history controls the future. Watu mnashindwa kuelewa nini hapo.
 
Always conquer writes history. Always who control history controls the future. Watu mnashindwa kuelewa nini hapo.

Wewe hapo unaijua historia hata ya ukoo wako? Wale kule wametunza historia za maelfu ya miaka.
 
Wewe hapo unaijua historia hata ya ukoo wako? Wale kule wametunza historia za maelfu ya miaka.
Ndio maana unashabekea wauwaji kwasababu ya ujinga unafikiri wewe uko salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…