Aibu sana tajiri msomi kama Mengi kushindwa kuandaa succession plan ya utajiri wake. Bakhressa hana elimu ila ameweza

Aibu sana tajiri msomi kama Mengi kushindwa kuandaa succession plan ya utajiri wake. Bakhressa hana elimu ila ameweza

DINI YA KIKRISTO PIA INAPASWA IBADILIKE NA KUTUNGA MUONGOZO WA MIRATHI YA KIKRISTO. SHERIA YA MIRATHI YA KISERIKALI AMBAYO WAKRISTO WANALAZIMIKA KUITUMIA NI CHANZO CHA MIGOGORO MINGI.
Dini ya Kikristu ya Ulimwenguni inapaswa ibadilike kuhusu masuala ya mirathi kwa kuwa matajiri wakristo wa Tanzania wanaacha migogoro wanapofariki, au sio?
 
Wazungu hawana migogoro sababu wanatumia sheria za serikali yao. Sheria zao za mirathi zinaruhusu kumpa urithi hata mbwa ama paka.

Ila dini ya Kikristo haina sheria ya mirathi, sina haja ya kufanunua hapa, Kwa Tanzania sheria za mirathi za serikali zinatumika, na nchi nyingine kama Marekani utaona matajiri wanafariki hakuna mgogoro sababu sheria za serikali za nchi zao zinatumika. Sio sheria za ukristo bali ni za serikali zao
Dini ya ukristo Ina sheria ya mirathi hivi unasomaga biblia kweli
 
Aliyekuambia kusoma ndio kutajirika ni nani. Elimu ya darasani sio elimu ya maisha
 
Mtoa mada tofautisha kati ya uislamu na utaratibu wa wahindi waarabu na watu wa kaida hiyo, hao jamaa kwenye mali jinsi ya uongozaji ni tofauti kabisa na ngozi nyeusi maana mifano uliyotoa hapo wengi ni weupe.
Sasa njoo kwa weusi wengi wetu hatuna plan yoyote ya kuendeleza biashara kwa watoto iwe muislamu au mkristo achana na hao waarabu na wahind njoo kitaa uone waislamu wanavyorogana kisa mali tena tatizo utakuta jamaa alikua na wake wa3 hapo mpambano wake balaa.
 
Aya mbili za mwisho za hao uwaitao matajiri umechemka. Kunatokota mahakamani mbona. Kwa Mengi shida ni Kyline sijui Jack wala sio succession plan

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app


Anataka apewe shares za watoto wake akamuuzie X wake Mo Dewji succession ya Mengi’s ndio itakapoenda kupotea

Mengi sio hakua na successor Regina na Abdiel ndio waliokua watendaji wakuu wa IPP mwenyekiti ni Kivuli hao ni aliwaandaa, na ndio maana Dr Mengi alivyodondoshwa Dubai kyln huyo huyo alipiga Simu kuomba Hela ya Matibabu kwa watoto wa Mengi wakubwa anajua umuhimu wao na nguvu waliokua nayo kwenye Company zao
 
Anataka apewe shares za watoto wake akamuuzie X wake Mo Dewji succession ya Mengi’s ndio itakapoenda kupotea

Mengi sio hakua na successor Regina na Abdiel ndio waliokua watendaji wakuu wa IPP mwenyekiti ni Kivuli hao ni aliwaandaa, na ndio maana Dr Mengi alivyodondoshwa Dubai kyln huyo huyo alipiga Simu kuomba Hela ya Matibabu kwa watoto wa Mengi wakubwa anajua umuhimu wao na nguvu waliokua nayo kwenye Company zao

Hao kina Regina na Abdiel.. umri wao ni miaka zaidi ya 50 walikuwa wanamuachia nani kama successor baada ya kuchoka ama vifo vyao?

Maana miaka 50 ni unakaribia kustaafu na kuchoka kiakili.
 
Endelea tu kuwaza ,una mtoto mkubwa labda miaka 30 unataka kumkabidhi kampuni hakikisha ameoa kwanza apunguze mapepe ...Hilo swala nimeona watoto kibao wa wahindi na waarabu nilio soma nao lazima aoe kwanza ndo apewe majukumu mazito angalia mo dewji alioa mapema sana mpaka sasa binti yake ana miaka kama 20 yeye hata 50 hajafika
hivi wewe umefikirii au umeamua kuropoka tu??? uoe haya mabinti mapepe ya kiswahili haya? kina ukoo wa Mama Mosha, sijui mAsawe? yelewii hesabu umekwisha labda uwe richawiii? maweee ......

..li binti hilo litakuua faster likuache humo ndani na mali kwa kaka zakeeeee!! ...halafu litalia weeee!! ....... acha kabisa labda uoee hao hao wahindi na wazungu hawa bana utakufa kifo cha haki!
 
hivi wewe umefikirii au umeamua kuropoka tu??? uoe haya mabinti mapepe ya kiswahili haya? kina ukoo wa Mama Mosha, sijui mAsawe? yelewii hesabu umekwisha labda uwe richawiii? maweee ......

..li binti hilo litakuua faster likuache humo ndani na mali kwa kaka zakeeeee!! ...halafu litalia weeee!! ....... acha kabisa labda uoee hao hao wahindi na wazungu hawa bana utakufa kifo cha haki!
Hapana mkuu wale ni watu wazima wanaweza kwenda nje hat ya mkoa na wakaoa mtoto mzuri tu maisha yakaenda
 
Hapana mkuu wale ni watu wazima wanaweza kwenda nje hat ya mkoa na wakaoa mtoto mzuri tu maisha yakaenda
Bana weee nisikie mimi!! kwanza

waweza oa ukoo wa wachawi! misukure itakutembelea mpaka na wewe mwenyewe waweza chukuliwa msukule! kwani hujaona mke wa mtu anatuhumiwa uchawi wkt mmewe hajui na wamezaa mitoto mizee ! lkn siku akifunguliwa macho anashangaa! wapo wengi tu tembea ujionee

pili waweza oa ukoo wa vichaa km mabinti wa mama mosha, utakoma,wapayukaji wasema hovyo, ngumi mkononi wao kuacha mume kwa skendo mbaya siyo issue, malaya damu damu, wasio na maono wala juhudi zozote za kimaisha, wana kifafa cha kudumu,

Tatu waweza oa kimavi cha ukoo! hata hizo hela za familia zisikae kwa mafanikia murua!..wengine kutukana mama/baba mkwe siyo issue!.kuchepuka kwao ndo sunna! wao ni kula bata tuuuuu! j3 hadi ijumaa!

Nnee Umaskini umewatafunaaaa unnafuata mkondo wa umaskini weee!! mpaka huko. hapo kwako wanakuja kushinda kutwa nzima wanakula timing ya kivuli tu,

wazungu wanakitu wanaita to every successful Man behind there is woman! sasa weye kurupuka uone moto usiozimika! suala la mke si la kukurupuka dogo huyo ndo mjenzi wa familia tulia uelekezwe na wakuu!

familia zinazo jielewa hawakurupuki kuleta kituko ndani ya familia!! kuna zile familia wao tangu enzi na enzi ni kuwalamba makofi Baba zao pia Mama zao, Babu akizubaa napigwa na hako kata bia hakaishi humo!

kuna wale wengine wao ni kurogana tuuuuuuuu!! kifupi wamebarikiwa kuroga madawa yasifanikishe wengne sasa mutu akishika dawa km hizo zina muaffect kwanza yeye, then zinaenda kwa mlengwa, lkn weye pia umo!, sababu mnafanyana, inapobidi ni lazima hapo so hii ni tangu kizazi na kizazi mafusho hayaishi ndani mwao!

ZUbaa uchekwe yangu ni hayooooooo
 
kwahyo mleta mada unataka kusema hyo dini ya wavaa kobasi na magunia ndio ina sheria nzuri sana za mirathi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo ni mambo ya ndani ya familia tusiojua chochote. na kama wanakosea ni wao waache wapambane wakimaliza watapata wasimamizi wa mali zao.
 
uislamu umetoa muongozo safi kuhusu mgawanyo wa mirathi .mashallah
 
Habari wadau.

Nazani wote tunaona ona ugomvi wa mirathi wa familia ya mengi.

Mtu unapata utajiri wa zaidi ya bilion 500 ila unashindwa kuandaa waendelezaji wa mali hizo.

Mtu tajiri sana kama Mengi ila unaruhusu watoto wako wanakuwa wakubwa mpaka wanafika miaka 25 ama 30 bila kuoa hata kuolewa.. sasa 3rd generation ya kuendeleza mali watazaliwa lini? na watakuwa wakubwa lini? na watafundishwa biashara lini?

Matajiri wengi levo ya mengi wamefariki ila hatuoni wakipelekana mahakamani. Tena wengi wao wana watoto wengii na wake wengii kuliko mengi

Kafa tajiri wa Asas kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Ali mafuruki kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa Zakaria mwenye kiwanda cha Korie kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa baba yao na gsm kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake

Kafa somaiya sijui wa shivacom kimyaa hatujasikia mgogoro wa mirathi yake.

Kafa Subhash Patel tajiri wa Motisun group. Viwanda kibaoo ila mirathi yake kimyaaa hatujasilia mgogoro wowote.

DINI YA KIKRISTO PIA INAPASWA IBADILIKE NA KUTUNGA MUONGOZO WA MIRATHI YA KIKRISTO. SHERIA YA MIRATHI YA KISERIKALI AMBAYO WAKRISTO WANALAZIMIKA KUITUMIA NI CHANZO CHA MIGOGORO MINGI.

MREMA KAFARIKI MGOGORO UMEANZA .

KAFARIKI BILIONEA MSUYA MGOGORO MPAKA MTU NA WIFI YAKE WAMECHINJANA

MAMA LWAKATARE KAFARIKI MGOGORO UMEANZA..

KILA ANAPOFARIKI TAJIRI MKRISTO TU SEKE SEKE LAZIMA ZIANZE SABABU KUBWA NI BIBLIA IMESAHAU KUWEKA MWONGOZO WA MIRATHI

matajiri wanaoishi maisha ya kimila.. kama bilionea laizer yule wanapofariki ni ngumu kusikia mgogoro maana sheria ya kimila inatumika ( hawatumii ya kiserikali).

Ila ukristo mke mmoja tu ila migogoro kibao
Kuna utajiri (rich) na ukwasi (wealth). Tz wengi ni tajiri kama kubahatisha vile, wakati wowote wanaweza kutetereka na kuanguka, au kiongozi wa familia akifariki, hakuna kitakachoendelea.
 
Kuna utajiri (rich) na ukwasi (wealth). Tz wengi ni tajiri kama kubahatisha vile, wakati wowote wanaweza kutetereka na kuanguka, au kiongozi wa familia akifariki, hakuna kitakachoendelea.

Bilioni 500 inaingia kwenye ukwasi ama utajiri?
 
kwahyo mleta mada unataka kusema hyo dini ya wavaa kobasi na magunia ndio ina sheria nzuri sana za mirathi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo ni mambo ya ndani ya familia tusiojua chochote. na kama wanakosea ni wao waache wapambane wakimaliza watapata wasimamizi wa mali zao.

Sijasema hiyo dini peke yake..

Wavaa kobaz pamoja na mapungufu yao kibao lakini angalau dini yao ilikumbuka kutunga sheria ya mirathi ambayo inaendana sana na sheria za kimila hasa za sisi waafrica. ( pia inasisitiza watu kuoa mapema na kuzaa watoto mapema)

Shida sisi wagalatia hakuna sheria yoyote wala muongozo wowote wa mambo ya mirathi tunayofundishwa na dini yetu. Mabishano yanakuwa mengi kila mtu anasema lake

Wahindi hawafati sheria ya wavaa kobaz.. wanafata sheria ya mila zao.

Hata bilionea laizer niliyemtolea mfano na yeye anafata sheria ya kimila ya kimasai
 
Back
Top Bottom