Hapana mkuu wale ni watu wazima wanaweza kwenda nje hat ya mkoa na wakaoa mtoto mzuri tu maisha yakaenda
Bana weee nisikie mimi!! kwanza
waweza oa ukoo wa wachawi! misukure itakutembelea mpaka na wewe mwenyewe waweza chukuliwa msukule! kwani hujaona mke wa mtu anatuhumiwa uchawi wkt mmewe hajui na wamezaa mitoto mizee ! lkn siku akifunguliwa macho anashangaa! wapo wengi tu tembea ujionee
pili waweza oa ukoo wa vichaa km mabinti wa mama mosha, utakoma,wapayukaji wasema hovyo, ngumi mkononi wao kuacha mume kwa skendo mbaya siyo issue, malaya damu damu, wasio na maono wala juhudi zozote za kimaisha, wana kifafa cha kudumu,
Tatu waweza oa kimavi cha ukoo! hata hizo hela za familia zisikae kwa mafanikia murua!..wengine kutukana mama/baba mkwe siyo issue!.kuchepuka kwao ndo sunna! wao ni kula bata tuuuuu! j3 hadi ijumaa!
Nnee Umaskini umewatafunaaaa unnafuata mkondo wa umaskini weee!! mpaka huko. hapo kwako wanakuja kushinda kutwa nzima wanakula timing ya kivuli tu,
wazungu wanakitu wanaita to every successful Man behind there is woman! sasa weye kurupuka uone moto usiozimika! suala la mke si la kukurupuka dogo huyo ndo mjenzi wa familia tulia uelekezwe na wakuu!
familia zinazo jielewa hawakurupuki kuleta kituko ndani ya familia!! kuna zile familia wao tangu enzi na enzi ni kuwalamba makofi Baba zao pia Mama zao, Babu akizubaa napigwa na hako kata bia hakaishi humo!
kuna wale wengine wao ni kurogana tuuuuuuuu!! kifupi wamebarikiwa kuroga madawa yasifanikishe wengne sasa mutu akishika dawa km hizo zina muaffect kwanza yeye, then zinaenda kwa mlengwa, lkn weye pia umo!, sababu mnafanyana, inapobidi ni lazima hapo so hii ni tangu kizazi na kizazi mafusho hayaishi ndani mwao!
ZUbaa uchekwe yangu ni hayooooooo