Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Nakumbuka mwaka jana 2020 , mwanzoni
Nlikuwa nmeenda kwenye project moja songea sasa wakati narudi sister akinipa kazi nirudi na beki tatu mmoja ambaye tayari sister alishamalizana na wazazi wake ilikuwa ni mimi tu kumchukua na kumfikisha mahali husika (DSM)
Sasa kufika Njombe pale saa 4 asubuhi , na ile winter tukashuka, kuchimba dawa nikampatia maelekezo namna ya kufanya na namna ya kurudi kwenye gari , akatikisa kichwa kuonyesha ameelewa.
Ilitakiwa niwe makini mno maana alikuwa ni village girl.
Wakati tunarudi garini nikashaanga binti bado hajarejea na dakika zilikuwa zimeshaisha ikabidi nimface dereva kumuelekeza hali halisi uzuri akaelewa hivyo akavuta muda kidogo
Wakati huo mimi nmeshuka kumtafuta nikiwa na papara zangu , za kumtafuta yule binti.
Bwana bwana si nikakatiza kwenye ule ukoka wa maua pale Stendi mpya waliopita njombe watakuwa wanaelewa ,
Nikamsikia yule (mhudumu) dada wa pale stendi akiropoka kwa sauti kubwa.
Nanukuu
"Wewe kaka , nikutonze faini au??? Unapita kwenye Ukoka .. halafu mtu wa Mjini kabisaa " akamalizia na Msonyo
Daaah sasa wasafiri wote macho kwangu aibu iliyooje , kuepusha shari nikachepuka pembeni.
Nikiri tu akili yangu haikuwa sawa kwasababu ya yule binti...
Na kuhusu yule binti ,kumbe alichanganya magari badala ya kupanda basi namba 1 yeye akapanda namba 2
Maana yale mabasi ya Superfeo yanafanana fanana yakamchanganya binti wa watu😅😅
Tukawasiliana na uongozi na mambo yakawa sawa
ULIWAHI KUKUTANA NA DHAHAMA GANI STEND AU KWENYE BASI
ILIKUWAJE
Nlikuwa nmeenda kwenye project moja songea sasa wakati narudi sister akinipa kazi nirudi na beki tatu mmoja ambaye tayari sister alishamalizana na wazazi wake ilikuwa ni mimi tu kumchukua na kumfikisha mahali husika (DSM)
Sasa kufika Njombe pale saa 4 asubuhi , na ile winter tukashuka, kuchimba dawa nikampatia maelekezo namna ya kufanya na namna ya kurudi kwenye gari , akatikisa kichwa kuonyesha ameelewa.
Ilitakiwa niwe makini mno maana alikuwa ni village girl.
Wakati tunarudi garini nikashaanga binti bado hajarejea na dakika zilikuwa zimeshaisha ikabidi nimface dereva kumuelekeza hali halisi uzuri akaelewa hivyo akavuta muda kidogo
Wakati huo mimi nmeshuka kumtafuta nikiwa na papara zangu , za kumtafuta yule binti.
Bwana bwana si nikakatiza kwenye ule ukoka wa maua pale Stendi mpya waliopita njombe watakuwa wanaelewa ,
Nikamsikia yule (mhudumu) dada wa pale stendi akiropoka kwa sauti kubwa.
Nanukuu
"Wewe kaka , nikutonze faini au??? Unapita kwenye Ukoka .. halafu mtu wa Mjini kabisaa " akamalizia na Msonyo
Daaah sasa wasafiri wote macho kwangu aibu iliyooje , kuepusha shari nikachepuka pembeni.
Nikiri tu akili yangu haikuwa sawa kwasababu ya yule binti...
Na kuhusu yule binti ,kumbe alichanganya magari badala ya kupanda basi namba 1 yeye akapanda namba 2
Maana yale mabasi ya Superfeo yanafanana fanana yakamchanganya binti wa watu😅😅
Tukawasiliana na uongozi na mambo yakawa sawa
ULIWAHI KUKUTANA NA DHAHAMA GANI STEND AU KWENYE BASI
ILIKUWAJE