Aibu TANZANIA tumeshindwa kupeleka mashabiki AFCON

Aibu TANZANIA tumeshindwa kupeleka mashabiki AFCON

NguoYaSikuKuu

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
681
Reaction score
1,020
Nashindwa kuelewa kwanini TFF na Serikali wameshindwa kupeleka hata mashabiki 50 katika hii michuano hii ya AFCON.

Nchi yetu Tanzania tumezidi sana siasa na ufisadi. Katika pesa ambazo CAF wametoa TSH 2.5 Billion kwa kila nchi, tumekosa hata fungu la mashabiki?

Ukiangalia kuna vinchi vidogo kama Cape Verde ina mashabiki wengi kuliko Tanzania. Hapo Ivory Coast ukiangalia kuna nchi zimejaza mpaka wapiga ngoma na mashabiki wapuliza vuvuzela, Kuna nchi unakuta ina mashabiki zaidi ya 200 wanashangilia na bendera zao.

Ina maana hakukua na mkakati wa mashabiki? Hatukua na fungu lolote kwa mashabiki?

Tumeshindwa hata kuchukua mashabiki 10 Simba, 10 Yanga, 10 Azam nk

Kwa kweli inatia Aibu.
 
Nashindwa kuelewa kwanini TFF na Serikali wameshindwa kupeleka hata mashabiki 50 katika hii michuano hii ya AFCON.

Nchi yetu Tanzania tumezidi sana siasa na ufisadi. Katika pesa ambazo CAF wametoa TSH 2.5 Billion kwa kila nchi, tumekosa hata fungu la mashabiki?

Ukiangalia kuna vinchi vidogo kama Cape Verde ina mashabiki wengi kuliko Tanzania. Hapo Ivory Coast ukiangalia kuna nchi zimejaza mpaka wapiga ngoma na mashabiki wapuliza vuvuzela, Kuna nchi unakuta ina mashabiki zaidi ya 200 wanashangilia na bendera zao.

Ina maana hakukua na mkakati wa mashabiki? Hatukua na fungu lolote kwa mashabiki?

Tumeshindwa hata kuchukua mashabiki 10 Simba, 10 Yanga, 10 Azam nk

Kwa kweli inatia Aibu.
Mashabiki hawa hapa
 
Nashindwa kuelewa kwanini TFF na Serikali wameshindwa kupeleka hata mashabiki 50 katika hii michuano hii ya AFCON.

Nchi yetu Tanzania tumezidi sana siasa na ufisadi. Katika pesa ambazo CAF wametoa TSH 2.5 Billion kwa kila nchi, tumekosa hata fungu la mashabiki?

Ukiangalia kuna vinchi vidogo kama Cape Verde ina mashabiki wengi kuliko Tanzania. Hapo Ivory Coast ukiangalia kuna nchi zimejaza mpaka wapiga ngoma na mashabiki wapuliza vuvuzela, Kuna nchi unakuta ina mashabiki zaidi ya 200 wanashangilia na bendera zao.

Ina maana hakukua na mkakati wa mashabiki? Hatukua na fungu lolote kwa mashabiki?

Tumeshindwa hata kuchukua mashabiki 10 Simba, 10 Yanga, 10 Azam nk

Kwa kweli inatia Aibu.
Wameenda kamati ya hamasa.


Nchi kiboko hii
 
Nashindwa kuelewa kwanini TFF na Serikali wameshindwa kupeleka hata mashabiki 50 katika hii michuano hii ya AFCON.

Nchi yetu Tanzania tumezidi sana siasa na ufisadi. Katika pesa ambazo CAF wametoa TSH 2.5 Billion kwa kila nchi, tumekosa hata fungu la mashabiki?

Ukiangalia kuna vinchi vidogo kama Cape Verde ina mashabiki wengi kuliko Tanzania. Hapo Ivory Coast ukiangalia kuna nchi zimejaza mpaka wapiga ngoma na mashabiki wapuliza vuvuzela, Kuna nchi unakuta ina mashabiki zaidi ya 200 wanashangilia na bendera zao.

Ina maana hakukua na mkakati wa mashabiki? Hatukua na fungu lolote kwa mashabiki?

Tumeshindwa hata kuchukua mashabiki 10 Simba, 10 Yanga, 10 Azam nk

Kwa kweli inatia Aibu.

Ila Hii nchi kwa Malalamiko!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nashindwa kuelewa kwanini TFF na Serikali wameshindwa kupeleka hata mashabiki 50 katika hii michuano hii ya AFCON.

Nchi yetu Tanzania tumezidi sana siasa na ufisadi. Katika pesa ambazo CAF wametoa TSH 2.5 Billion kwa kila nchi, tumekosa hata fungu la mashabiki?

Ukiangalia kuna vinchi vidogo kama Cape Verde ina mashabiki wengi kuliko Tanzania. Hapo Ivory Coast ukiangalia kuna nchi zimejaza mpaka wapiga ngoma na mashabiki wapuliza vuvuzela, Kuna nchi unakuta ina mashabiki zaidi ya 200 wanashangilia na bendera zao.

Ina maana hakukua na mkakati wa mashabiki? Hatukua na fungu lolote kwa mashabiki?

Tumeshindwa hata kuchukua mashabiki 10 Simba, 10 Yanga, 10 Azam nk

Kwa kweli inatia Aibu.
Lisu alienda inatosha
 
Back
Top Bottom