Aibu TANZANIA tumeshindwa kupeleka mashabiki AFCON

Aibu TANZANIA tumeshindwa kupeleka mashabiki AFCON

Nchi ina lawama hii, hata wangepelekwa bado mngekuja kuanzisha uzi kua wanachezea pesa.

Nchi nyingine watu wameenda kwa gharama zao.
 
Nchi ina lawama hii, hata wangepelekwa bado mngekuja kuanzisha uzi kua wanachezea pesa.

Nchi nyingine watu wameenda kwa gharama zao.
Nchi gani unazosema watu wameenda kwa nauli zao?
umeangalia AFCON mechi tofauti na Tanzania ,au unaleta siasa?
 
Nchi gani unazosema watu wameenda kwa nauli zao?
umeangalia AFCON mechi tofauti na Tanzania ,au unaleta siasa?
Nimeangalia 75% ya mechi zote.

Nchi zenye mashabiki wengi nyingi ni zile zlilizokaribu na ivory coast.
Wamorocco wale wote wameletwa na serikali yao??

Nyie hapa bongo hata kiingilio kiwe 5000 tu hamjazo uwanja, mnasubiri hadi waseme bure ndo mtaweza kweli kwenda hata hapo Kenya tu??

Kama unaipenda timu yako ya taifa ungejichanga uende sio kila kitu unailaumu serikali tu.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Nashindwa kuelewa kwanini TFF na Serikali wameshindwa kupeleka hata mashabiki 50 katika hii michuano hii ya AFCON.

Nchi yetu Tanzania tumezidi sana siasa na ufisadi. Katika pesa ambazo CAF wametoa TSH 2.5 Billion kwa kila nchi, tumekosa hata fungu la mashabiki?

Ukiangalia kuna vinchi vidogo kama Cape Verde ina mashabiki wengi kuliko Tanzania. Hapo Ivory Coast ukiangalia kuna nchi zimejaza mpaka wapiga ngoma na mashabiki wapuliza vuvuzela, Kuna nchi unakuta ina mashabiki zaidi ya 200 wanashangilia na bendera zao.

Ina maana hakukua na mkakati wa mashabiki? Hatukua na fungu lolote kwa mashabiki?

Tumeshindwa hata kuchukua mashabiki 10 Simba, 10 Yanga, 10 Azam nk

Kwa kweli inatia Aibu.
Yuko Mwijaku!

Inamaana leo ujamwona?
 
Nashindwa kuelewa kwanini TFF na Serikali wameshindwa kupeleka hata mashabiki 50 katika hii michuano hii ya AFCON.

Nchi yetu Tanzania tumezidi sana siasa na ufisadi. Katika pesa ambazo CAF wametoa TSH 2.5 Billion kwa kila nchi, tumekosa hata fungu la mashabiki?

Ukiangalia kuna vinchi vidogo kama Cape Verde ina mashabiki wengi kuliko Tanzania. Hapo Ivory Coast ukiangalia kuna nchi zimejaza mpaka wapiga ngoma na mashabiki wapuliza vuvuzela, Kuna nchi unakuta ina mashabiki zaidi ya 200 wanashangilia na bendera zao.

Ina maana hakukua na mkakati wa mashabiki? Hatukua na fungu lolote kwa mashabiki?

Tumeshindwa hata kuchukua mashabiki 10 Simba, 10 Yanga, 10 Azam nk

Kwa kweli inatia Aibu.
Upeleke mashabiki kwa team ipi?
Itakuwa ni matumizi mabaya ya rasilimali fedha.
 
Washabiki walionekana wale ni wenyeji ambao wamelipwa na bongo zozo..

Waziri w michezo kaenda na kamati yake eti kuangalia viwanja
 
Kilichaguliwa kikundi cha ccm kikaenda huko bora hawakupeleka mashabiki ni aibu tu
 
Ile list ya watu 20 hukuiona kweli...hapo TFF wamegawa mkwanja kwa hao "wahamasishaji" na iliyobaki posho kidogo kwa wachezaji na fungu kubwa wanachukua kina Karia na genge lake...imeisha hiyooooooo
 
Upeleke mashabiki wakaangalie mpira wa kisukuma?!
 
Back
Top Bottom