Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Ila tuseme tu ukweli sisi Watanzania ni watu masikini sana!
Hivi kweli pamoja na watu kujifanya wanapenda mpira hapa Nchini na ma - vibe kama yote ya Simba na Yanga na wale ndo idadi ya mashabiki waliokwenda Ivory Coast kwenye mashindano ya AFCON?!!!!
Watanzania ni maneno maneno tu wengi hatuna pesa ni watu wa kutafuta pesa ya kula tu na maneno ya kiswahili meeeeeeeeengi!!
Kingine naturally Watanzania siyo watu aggressive kwenye jambo lolote la msingi!
Ni watu wa kuridhika sana ! Iwe ni kwenye michezo, siasa, uchumi , elimu n.k!
Mtu akishapata wali na maharage baaasi! Hata CCM ikitawala milele hajali!
Wachezaji wa Taifa Stars waliopopata goli moja baaasi utadhani wameshinda tayari fainali za AFCON ! Wanapooza mpira kina Mzamiru kila wakipata mpira wao ni kurudisha nyuma tu kwa kipa!
Sasa utapataje goli la ushindi kama wewe unacheza back pass tu!!?
Kiingereza pia hawajui hata wakichezewa faul hakuna mchezaji anaweza kum command Referee with commanding language hata akaangalie VAR!!
Wanategemea non verbal communication ( ishara)! Hopeless and disgrace people!
Hii yote inawezekana pia ni matatizo ya kihistoria kutokana na Nchi kuanza na mfumo wa kijinga wa Kijamaa wa Nyerere na kutomwaga damu wakati wa kudai Uhuru!
People are not aggressive naturally!
Most of Tanzanians are mediocres !
Bado tuna safari ndefu sana katika mambo mengi kama Taifa.
Hivi kweli pamoja na watu kujifanya wanapenda mpira hapa Nchini na ma - vibe kama yote ya Simba na Yanga na wale ndo idadi ya mashabiki waliokwenda Ivory Coast kwenye mashindano ya AFCON?!!!!
Watanzania ni maneno maneno tu wengi hatuna pesa ni watu wa kutafuta pesa ya kula tu na maneno ya kiswahili meeeeeeeeengi!!
Kingine naturally Watanzania siyo watu aggressive kwenye jambo lolote la msingi!
Ni watu wa kuridhika sana ! Iwe ni kwenye michezo, siasa, uchumi , elimu n.k!
Mtu akishapata wali na maharage baaasi! Hata CCM ikitawala milele hajali!
Wachezaji wa Taifa Stars waliopopata goli moja baaasi utadhani wameshinda tayari fainali za AFCON ! Wanapooza mpira kina Mzamiru kila wakipata mpira wao ni kurudisha nyuma tu kwa kipa!
Sasa utapataje goli la ushindi kama wewe unacheza back pass tu!!?
Kiingereza pia hawajui hata wakichezewa faul hakuna mchezaji anaweza kum command Referee with commanding language hata akaangalie VAR!!
Wanategemea non verbal communication ( ishara)! Hopeless and disgrace people!
Hii yote inawezekana pia ni matatizo ya kihistoria kutokana na Nchi kuanza na mfumo wa kijinga wa Kijamaa wa Nyerere na kutomwaga damu wakati wa kudai Uhuru!
People are not aggressive naturally!
Most of Tanzanians are mediocres !
Bado tuna safari ndefu sana katika mambo mengi kama Taifa.