Aibu TANZANIA tumeshindwa kupeleka mashabiki AFCON

Aibu TANZANIA tumeshindwa kupeleka mashabiki AFCON

Nashindwa kuelewa kwanini TFF na Serikali wameshindwa kupeleka hata mashabiki 50 katika hii michuano hii ya AFCON.

Nchi yetu Tanzania tumezidi sana siasa na ufisadi. Katika pesa ambazo CAF wametoa TSH 2.5 Billion kwa kila nchi, tumekosa hata fungu la mashabiki?

Ukiangalia kuna vinchi vidogo kama Cape Verde ina mashabiki wengi kuliko Tanzania. Hapo Ivory Coast ukiangalia kuna nchi zimejaza mpaka wapiga ngoma na mashabiki wapuliza vuvuzela, Kuna nchi unakuta ina mashabiki zaidi ya 200 wanashangilia na bendera zao.

Ina maana hakukua na mkakati wa mashabiki? Hatukua na fungu lolote kwa mashabiki?

Tumeshindwa hata kuchukua mashabiki 10 Simba, 10 Yanga, 10 Azam nk

Kwa kweli inatia Aibu.
Ile michango ya hamasa nilidhani ni pamoja na hamasa ya washangiliaji
 
Ivory Coast wakiwa na mashabiki wao zaidi ya elfu hamsini uwanjani wamepigwa 4
 
Wewe ndo mpumbavu mkubwa usio na exposure jinga fulani hivi. Kwa hiyo hujui kama kuna nchi zimepeleka mashabiki pale zaidi ya 200 kwa gharama za Nchi na chama cha Soka.
Kama wewe ni mwanaume na unategemea vya bure, ipo siku utashikishwa ukuta na wanaume wenzako! Ahahahahaha!!!
 
Tumeshindwa hata kuchukua mashabiki 10 Simba, 10 Yanga, 10 Azam nk
Hao mbali sana,
Wapo wale waliochangishwa pale Johari Rotana, kuanzia taasisi za serikali na privates, wameshindwa hata kuonesha kwamba wametambua mchango wao kwa kuwa alika wakashangilie kile walichochangia kufanikisha...am sure zipo taasisi binafsi ambazo kama invitation i ingefanyika kwa vyovyote watu wao wangeenda kutoa support Ivory Coast na hii ingekuwa akiba ya kesho....nani watamchangisha tena kama serikali iliyoandaa ile fundraising imewatoseleq mbali....! Kuna kesho jamani msijisahau!!!
 
Kama wewe ni mwanaume na unategemea vya bure, ipo siku utashikishwa ukuta na wanaume wenzako! Ahahahahaha!!!
Kama baba yako anavoshikishwa ukuta sio... , ukiona mtu anaacha hoja anaanza matusi ni mbululazi.
Kwa taarifa yako mjadala huu hauhusu mabwabwa kama wewe.
 
Hao mbali sana,
Wapo wale waliochangishwa pale Johari Rotana, kuanzia taasisi za serikali na privates, wameshindwa hata kuonesha kwamba wametambua mchango wao kwa kuwa alika wakashangilie kile walichochangia kufanikisha...am sure zipo taasisi binafsi ambazo kama invitation i ingefanyika kwa vyovyote watu wao wangeenda kutoa support Ivory Coast na hii ingekuwa akiba ya kesho....nani watamchangisha tena kama serikali iliyoandaa ile fundraising imewatoseleq mbali....! Kuna kesho jamani msijisahau!!!
Umeongea mkuu, Eti wanaahidi 1.3 Billion TSH ikifuzu round 16.

Hapohapo hakuna hata bajeti ya milioni 100 kwa mashabiki kushangilia timu.

Kuna mburulazi zinaniattack kama mimi ndo nilitaka kwenda Ivory Coast .
 
Back
Top Bottom