njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
soma kwa utulivu tuliza wengeTULIA UANDIKE FRESH MKUU
Simba ni ya 98 duniani kwa kipi fafanua mkuu.Huwezi amini ....yaani billion moja ya udhamini mwenza kwa mwaka imewatoa roho na imani na bila aibu leo wanashehereka ranks za ligi bora iliyo chini ya Tff ya mchongo na bodi chakavu ya ligi
Ni hawahawa wanafiki walimzuia siingie uwanjani CEO wa team iliyosababisha ranks na heshima kwa nchi na kama haitoshi wakampiga faini na kumfungulia kesi polisi
shame shame shame.......udhamini wa matapeli ya soka umewachanganya kabisa
PUMBAVU NA HII NDO THE SAME RANKS INAYOSEMA SIMBA YA 7 AFRIKA NA YA 98 DUNIANI
haohao waliotoa hiyo takwimu inayoshangiliwa na makanjanja ya media na TFF ndiyo haohao wanaosema simba ni ya 98 dunianiSimba ni ya 98 duniani kwa kipi fafanua mkuu.
hiyo ligi simba anacheza peke yake?Huwezi amini ....yaani billion moja ya udhamini mwenza kwa mwaka imewatoa roho na imani na bila aibu leo wanashehereka ranks za ligi bora iliyo chini ya Tff ya mchongo na bodi chakavu ya ligi.
Ni hawahawa wanafiki walimzuia siingie uwanjani CEO wa team iliyosababisha ranks na heshima kwa nchi na kama haitoshi wakampiga faini na kumfungulia kesi polisi.
shame shame shame, udhamini wa matapeli ya soka umewachanganya kabisa.
PUMBAVU NA HII NDO THE SAME RANKS INAYOSEMA SIMBA YA 7 AFRIKA NA YA 98 DUNIANI
Ndio maana kwa kulitambua hilo jana mkapongezwa kwa kupewa penati.Huwezi amini ....yaani billion moja ya udhamini mwenza kwa mwaka imewatoa roho na imani na bila aibu leo wanashehereka ranks za ligi bora iliyo chini ya Tff ya mchongo na bodi chakavu ya ligi.
Ni hawahawa wanafiki walimzuia siingie uwanjani CEO wa team iliyosababisha ranks na heshima kwa nchi na kama haitoshi wakampiga faini na kumfungulia kesi polisi.
shame shame shame, udhamini wa matapeli ya soka umewachanganya kabisa.
PUMBAVU NA HII NDO THE SAME RANKS INAYOSEMA SIMBA YA 7 AFRIKA NA YA 98 DUNIANI
Wewe acha hizo kama huwezi kuchambua funga mdomo wako dili na mikolokolo wenzio. Kwani SSC wanacheza wenyewe.Huwezi amini ....yaani billion moja ya udhamini mwenza kwa mwaka imewatoa roho na imani na bila aibu leo wanashehereka ranks za ligi bora iliyo chini ya Tff ya mchongo na bodi chakavu ya ligi.
Ni hawahawa wanafiki walimzuia siingie uwanjani CEO wa team iliyosababisha ranks na heshima kwa nchi na kama haitoshi wakampiga faini na kumfungulia kesi polisi.
shame shame shame, udhamini wa matapeli ya soka umewachanganya kabisa.
PUMBAVU NA HII NDO THE SAME RANKS INAYOSEMA SIMBA YA 7 AFRIKA NA YA 98 DUNIANI
Naomba unijibu ya 98 duniani kwa thamani, mashabiki? ubora? au kipihaohao waliotoa hiyo takwimu inayoshangiliwa na makanjanja ya media na TFF ndiyo haohao wanaosema simba ni ya 98 duniani