njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Huwezi amini ....yaani billion moja ya udhamini mwenza kwa mwaka imewatoa roho na imani na bila aibu leo wanashehereka ranks za ligi bora iliyo chini ya Tff ya mchongo na bodi chakavu ya ligi.
Ni hawahawa wanafiki walimzuia siingie uwanjani CEO wa team iliyosababisha ranks na heshima kwa nchi na kama haitoshi wakampiga faini na kumfungulia kesi polisi.
shame shame shame, udhamini wa matapeli ya soka umewachanganya kabisa.
PUMBAVU NA HII NDO THE SAME RANKS INAYOSEMA SIMBA YA 7 AFRIKA NA YA 98 DUNIANI
Ni hawahawa wanafiki walimzuia siingie uwanjani CEO wa team iliyosababisha ranks na heshima kwa nchi na kama haitoshi wakampiga faini na kumfungulia kesi polisi.
shame shame shame, udhamini wa matapeli ya soka umewachanganya kabisa.
PUMBAVU NA HII NDO THE SAME RANKS INAYOSEMA SIMBA YA 7 AFRIKA NA YA 98 DUNIANI