AIBU: Wachungaji KKKT wampinga Dk Shoo

AIBU: Wachungaji KKKT wampinga Dk Shoo

We jamaa siku utagundua hilo dhehebu lako la kilokole ni ubatili tu na kujilisha upepo, utaanza kuacha kujihesabia haki. Siku mtatukuta wakatoliki na walutheran mbinguni hamtaamini. Mtatamani mrudi duniani. Halafu mnakuaga washamba kinoma na mashati yenu ya rangi za nyumba [emoji23][emoji23][emoji23]
ajabu yake ni kwamba, I am not a parmanent affiliate kwenye dhehebu lolote, ila nafuata imani ya kipentecost. njoni kwenye mwanga, sijihesabii haki ila siku ukitoka huko gizani utajiona umepoteza muda sana. jaribu tu hata siku moja usiandikie mate.
 
Ndo nyie mnavaaga choma moyo na mashati ya satini na suruali za kitambaa ila zimeshonwa kama jeans

Washikaji mnakuaga washamba kinoma [emoji23][emoji23][emoji23]

Waambieni wachungaji wenu wawafundishe neno la Mungu. Mmejikita kufundishwa kuyachukia roma na kkkt mwisho wa siku mmesahau main course.

Imagine sasa mtu unayeonekana ni nzito hapo ulokoleni lakini hujui mafuta, maji ya baraka, chumvi vimeruhusiwa kutumika kwa matumizi ya kiroho.

Sema nini, siwashangai. Kama ndo mnajazana huko kwa Gwajima na bilionea shilla tutasema nini tena?
Mkuu, hatuwachukii, na hatuyachukii makanisa yako, tumetoka huko pia, na sisi tulikuwa tunaongea kama wewe. nakuombea kwa Mungu siku moja ufunguke macho, aidha kwa amani au kwa moto lakini alimradi tu roho yako ipone. Mungu akusaidie. halafu, choma moyo ndio nini? mimi navaa suti nzuri kuliko hata yako mzee.
 
ila kuna mda nashindwaga kuelewa kaz ya shoo n Nn kuna mambo yanaendelea mabaya katika kanisa anachelewa Sana kuchukua maamuz ila mambo ya siasa yuko active Sana kubweka Kama ili swala la mbeya la mda Sana kuna vimigogoro Hiv vidogo vinatakiwa vimalizwe vikiwa vibichi
 
Hata Kanisa Katoliki haya mambo yapo ila nadhiri ya utii kwa askofu inatesa.
 
ila kuna mda nashindwaga kuelewa kaz ya shoo n Nn kuna mambo yanaendelea mabaya katika kanisa anachelewa Sana kuchukua maamuz ila mambo ya siasa yuko active Sana kubweka Kama ili swala la mbeya la mda Sana kuna vimigogoro Hiv vidogo vinatakiwa vimalizwe vikiwa vibichi
shoo ni mwanachadema pure, sijui kama waumini wake nao kama ni cdm wote. ndo maana ukiwa mchungaji wewe fanya mambo ya kanisa, achana na siasa kwasababu waumini wako sio wa chama unachokipenda tu, ni mchanganyiko.
 
Mmetoka huku, si ndio? Tena kwa migogoro kede kede. Yaani mmefanya vita mkaondoka. Hamkutaka amani.

Watu mlioondoka roman na lutheran kwa fujo na ugomvi na vita leo hii mmekua ma pioneer wa kusema eti fulani ana mgogoro.

Hau hamjui nyie wote baba yenu ni Roman Catholic? Unajua mliondoka ondokaje?



Ndo maana migogoro haikauki kwenu. Leo kukiwa na mgogoro mzito wa kufikishana mahakamani pale eagt, kesho yake unahamia tag.


Yaani kila mwaka lazima linameguka kanisa kutoka kwenye kanisa lingine la kilokole kwaajili ya ugomvi wa sadaka na madaraka.


Embu ondoeni boriti kwenye macho yenu kabla hamjaona banzi kwetu. Askofu wenu anacheza porno maaskofu wenzie wanajazana kanisani kwake kumtetea kwamba ni uongo na ni editing.
tulitoka huko kwasababu tulichoka kuabudu kimwili kwa kufuata katekisimo, na vitabu, mchungaji anawaambia tuombe halafu anaanza kusoma kwenye kitabu hasali toka kichwani kwake. hakuna ujazo wa Roho Mtakatifu ambaye ndiye Yesu alisema ni wa muhimu kututia kwenye kweli yote, kuna mengi huyajui utayajua ukiondoka huko kwenye dini. unapoteza muda.
 
Ona sasa jamaa ulivyo mtopolo. Kumbe issue yako ipo kwenye chadema. Ok umeeleweka sasa. Ila unanishangaza sana kushindwa kujua kanisa la mwanzo lilihusika na uongozi wa nchi pia kabla ya mambo ya kiroho. Hujui haya kwasababu husomi Bible. Mkishaanza semina zenu za ubatizo wa maji mengi mnaishiaga hapo. Hamsomi kingine. Ona sasa ulivyo huelewi a wala b
kanisa gani la mwisho lilihusika na uongozi wa nchi? lile la petro na mitume wenzake, au paulo? lipi unaongelea lililohusika na serikali?

ubatizo wa maji mengi ni Neno la Mungu, hata Yesu alisema unatakiwa ubatizwe ili kutimiza haki yote, hata mwakasege mnayemfuata amebatizwa maji mengi. wewe tu bado. naelewa Bible zaidi yako, ila nakuombea kwa Mungu akusaidie siku moja ufunguke, utakuja kunishukuru.
 
Kwaio mlipoacha kuabudu katekisimo hicho mlianza kuabudu ndo kikawaongoza kucheza porno halafu mje kulindana badae?

Hopeless na shati lako la satini lenye rangi ya machungwa
porno gani tunacheza aisee? mbona sikuelewi?
 
Hunielewi kwasababu askofu wako gwajey alipocheza porno ikaruka live pale pornhub maaskofu wenzake walifurika pale ufufuo kumtetea. Kwaio hutanielewa.

Kama nimeona watu wanafiki hapa ulimwenguni ni nyie walokole. Leo eti mnamkacha nabii wenu shilla mnasema hamumtambui. Aisee nyie vijidhehebu mmetia sana doa Ukristo. Mmefanya tuonekane brainless chickens.

By the way unafungua lini kanisa lako vile? Maana ndo zenu
mimi sisali kwa gwajima aisee, mbona unataka kunipangia?
 
Unaona sasa unafiki wenu. Ndo maaana kooote huko unaulizwa unasali kanisa gani husemi.

Taja dhehebu lako hapa nikutajie uozo wake. Taja. Au umeshafungua lakwako?
Siwezi kupoteza muda kujadili na farisayo aisee, we baki na dini yako kama inakusaidia, ila unapoteza muda hata wewe mwenyewe unalijua hilo kwasababu hujawahi kutana na Mungu tangu uanze kuabudu, au hata hujui kama uliwahi kukutana naye au la katika maisha yako kwasababu hata hujui maana yake ni nini. ubarikiwe.bye.
 
Hah hah Askofu Shoo alidhani KKKT Dayosisi ya Konde ni sawa na Chadema kule Kilimanjaro, sasa nyumba yake mwenyewe inateketea kwa kukosa maarifa,askofu Shoo wakati mwingi anatumia na kupoteza muda kuongelea na kukashifu uongozi wa serikali kwa kuwa ana mahaba na mchaga mwenzake, na anasahau majukumu yake hadi anadhauriwa na waumini wake, nadhani angetumia busara kutatua hilo tatizo la Dayosisi ya Konde kwani kama alikuwa hajui sasa ndio atajua Wanyakyusa ni watu wabishi na wenye msimamo wakisema HAPANA basi jua ni HAPANA ,hawapepesi macho wala kumwangalia sijui huyu ni nani, Wanyakyusa ni masikini jeuri wakiamua ,wameamua.
Sasa umeandika nini,
Wanyakyusa wapo na Shoo kama huelewi.Hakuna mnyakyusa alidai Dayosisi ihamie mbeya mjini.
Wachungaji walitaka amvue uaskofu wakati siyo jukumu la mkuu wa kanisa.
Wao ndio wanawajibu wakumkataa kwa hoja na kwa ushahidi kuwa amekosa sifa kuendelea kuwa Askofu.
Shoo ni mwangalizi na msimamizi kwa kuifuata katiba yao
 
Neno la Mungu linasema mtawatambua kwa Matendo yao. Nasi tumewatambua kwa Matendo yao.
 
siwezi kupoteza muda kujadili na farisayo aisee, we baki na dini yako kama inakusaidia, ila unapoteza muda hata wewe mwenyewe unalijua hilo kwasababu hujawahi kutana na Mungu tangu uanze kuabudu, au hata hujui kama uliwahi kukutana naye au la katika maisha yako kwasababu hata hujui maana yake ni nini. ubarikiwe.bye.
Walokole mna mambo ya ajabu sana!
Mimi mkuu nakutuma kama ukikutana na huyo Mungu mwambie nimesema ni mshenzi.

Maana inaonekana unakutana naye sana.
 
Unaona sasa unafiki wenu. Ndo maaana kooote huko unaulizwa unasali kanisa gani husemi.

Taja dhehebu lako hapa nikutajie uozo wake. Taja. Au umeshafungua lakwako?
Bora unisaidie kumuuliza wewe maana anaruka ruka hilo swali kwa sababu anajijua hata atakapo sema patakuwa na kasoro kwa hiyo analamba kona sana.

Hawa walokole huwa wanakuwa na mambo ya ajabu sana unakuta dhehebu linaendeshwa na mstari mmoja wa bible na kufanywa jiwe la msingi.

Imagine mtu ambae anamuabudu Mungu wa kweli anadiliki kumwambia mwenzie "wewe humjui Mungu wala hujawahi kuongea nae"
[emoji1787] sijui anadhani yeye ni roho mtakatifu

Daaaah hizi confidence wanapewa[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mambo mengine ni kushangaza sana inakuwaje Kanisa lenye waumini wengi kujiendesha kama klabu ya pombe hukuna maelewano ni vurugu, tamaa ya mali hakuna uungu hapo.
Kwani Bagonza yeye anasemaje? au yuko bize na mambo ya Chadema tu?
 
Kwani Bagonza yeye anasemaje? au yuko bize na mambo ya Chadema tu?
TUNAHITAJI HALMASHAURI NYINGI KULIKO MIKOA NA WILAYA MPYA

Kamati ya Maendeleo ya Mkoa wa Kagera (RCC) imemaliza kujadili mapendekezo ya kuundwa kwa Mkoa mpya wa Chato. Wengi wanakataa mapendekezo hayo. Niliwaunga mkono mapema.

Natamani Taifa lihitimishe uundwaji wa MIKOA na Wilaya mpya. Badala yake, jopo la wataalam wa kada mbalimbali, wajikite katika kupendekeza uundwaji wa HALMASHAURI mpya. Kwa Nini tunahitaji zaidi HALMASHAURI kuliko MIKOA na Wilaya?

1. Masuala karibu yote ya Maendeleo yako TAMISEMI.

2. Halmashauri ni kitovu cha mamlaka ya wananchi kujipanga na kusimamia mambo yao.

3. Tuachane na "developmentalism" (U-maendeleo) na kuingia katika "transformation"(Mabadiliko).

4. Maendeleo endelevu hayahitaji "Uimra" (top to down) bali "uasi Mtakatifu" (bottom up). Ma RC na Ma DC ni alama za unyapara. Wanatupeleka mtoni lakini hawawezi kutulazimisha kunywa maji hata kama tuna kiu.

5. Inawezekana kuwa na Halmashauri hata 5 katika Wilaya moja wakati kwa mtindo wa sasa kuna hatari ya Wilaya 2 kugombania Halmashauri Moja.

6. Jopo la wataalam lizame kutafuta namna nyepesi ya wateule wa Rais kufanya kazi na wateule wa wananchi pasipo mgongano wala kutambiana. Siku hizi wateule wa Rais wanawanyanyasa wateule wa wananchi wakati Rais naye ni Mteule wa wananchi.

Ili haya yafanikiwe, semina elekezi zinatakiwa na zisiendeshwe na Rais. Wateule wengi wamejipa haki ya kumdanganya Rais kwa kusifia, kujipendekeza na kumhakikishia Rais kuwa anajua kila kitu.

Hatukuchagua malaika kuwa RAIS wetu. Na hatukuchagua RAIS ili ageuke malaika. Tunamnyima Rais fursa ya kunyenyekea.

KAZI IENDELEE
 
ila kuna mda nashindwaga kuelewa kaz ya shoo n Nn kuna mambo yanaendelea mabaya katika kanisa anachelewa Sana kuchukua maamuz ila mambo ya siasa yuko active Sana kubweka Kama ili swala la mbeya la mda Sana kuna vimigogoro Hiv vidogo vinatakiwa vimalizwe vikiwa vibichi
Kanisa linaongozwa na na mtu aliyechahuliwa kwa kura baada ya kampeni unategemea nini?
 
Aisee mgogoro ya kugombea mali, kanisa linatakiwa kuongozwa kwa Amani,Upendo, Unyenyekevu na hofu ya Mungu utawafindisha nini waumini wenu ikiwa viongozi wanaroho za kishetani kugombeania mali?

Kujibu kwamba hata wakati wa Yesu mgogoro ilikuwepo ni ufinyu wa fikra Yesu alilongoza kanisa kwa amani upendo na unyenyekevu akaacha kilelezo ili wakifuate, pia kuwepo kwa migogoro haihalalishi ns nyie kuwa na migogoro.

Kwanini migogoro yenu inakuwa ni mambo ya mali?
Ulitaka hiyo migogoro iwe kwenye nini labda?
 
Haki KKKT wanaongoza kwa mihogoro ya hapa na pale jamani, huku kwetu washapiganaga na fyombo fya Dola fikaja.

[emoji849][emoji120]Nasadiki kwa kanisa moja Katoliki Takatifu la Mitume, Naungama na ubatizo mmoja wa maondoleo ya Dhambi.
Nangojea na ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo!.


Sent from
Wanazidiwa hadi na kanisa la Gwajima,hatujawahi kuskia wana mgogoro wowote.
 
Back
Top Bottom