Aibu: Wasafi FM michezo wanadanganya kuhusu ibenge na DRC national team

Aibu: Wasafi FM michezo wanadanganya kuhusu ibenge na DRC national team

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Inasikitisha sana kwa kweli hawa jamaa nilkuwa najua ni manguli wa habari za michezo wako sasa hivi saa 19.50 wanadanganya kuhusu habari ya florente ibenge wakidai ni kocha wa team y a taifa ya Dr Congo

ibenge kaacha kazi as vita anaelekea Orlando pirates ila hawa jamaa wako hapo studio wanadai kwamba atabaki na kazi yake ya team ya taifa, HIVI HAWA JAMAA HAWAJUI KWAMBA KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA CONGO NI MU ARGENTINA NAITWA HECTOR CUPER?

Nafikiri ndiyo maana hivi vipindi ukiwa unaangalia you tube wakiwa live muda mwingi wako busy na simu labda wanakuwa wanaangalia information hata suala hilo hawalijui?au watasema bado zahera ni kocha msaidizi wa the leopards?

Kwa kifupi Yussuph mkule, kitenge na ambangile hawajui kwamba ibenge ana karibu miezi 3 siyo kocha wa Dr congo..heeee
 
Wewe jamaa sijui una akili gani, sasa hapo aibu iko wapi?
huna akili wewe hata kidoogo...yaani mababa matatu yanakaa yandanganya kwamba Ibenge bado ni kocha wa the leopards wew unaona ni sawa? ndiyo manaa hayo majamaa huwa yanawadanganya utopolo kwamba ni team kubwa afrika mambo yakiwachachia wanaanza kuhaha
 
Kitu kama hakikidhi unachokirajia unaachana nacho, mfano kwangu siwezi weka clouds radio au tv, naona hawakidhi viwango.
Basi nakushauri achana nao tu, utateseka bure

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Kitu kama hakikidhi unachokirajia unaachana nacho, mfano kwangu siwezi weka clouds radio au tv, naona hawakidhi viwango.
Basi nakushauri achana nao tu, utateseka bure

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
nimefanya makosa kuwalalmikia? kama ni hivyo basi hata serikali yetu tusingekuwa tunailalamikia IKITUDANGANYA ,maana jibu lingekuwa kama vipi hama nchi....kama hawajui information ni aheri wanyamaze na siyo kudanganya, idiots
 
Kitu kama hakikidhi unachokirajia unaachana nacho, mfano kwangu siwezi weka clouds radio au tv, naona hawakidhi viwango.
Basi nakushauri achana nao tu, utateseka bure

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Waliokidhi viwango kwako ni kina nani tuwategee sikio?
 
Inasikitisha sana kwa kweli hawa jamaa nilkuwa najua ni manguli wa habari za michezo wako sasa hivi saa 19.50 wanadanganya kuhusu habari ya florente ibenge wakidai ni kocha wa team y a taifa ya Dr Congo

ibenge kaacha kazi as vita anaelekea Orlando pirates ila hawa jamaa wako hapo studio wanadai kwamba atabaki na kazi yake ya team ya taifa, HIVI HAWA JAMAA HAWAJUI KWAMBA KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA CONGO NI MU ARGENTINA NAITWA HECTOR CUPER?

Nafikiri ndiyo maana hivi vipindi ukiwa unaangalia you tube wakiwa live muda mwingi wako busy na simu labda wanakuwa wanaangalia information hata suala hilo hawalijui?au watasema bado zahera ni kocha msaidizi wa the leopards?

Kwa kifupi Yussuph mkule, kitenge na ambangile hawajui kwamba ibenge ana karibu miezi 3 siyo kocha wa Dr congo..heeee
Hao jamaa ni vilaza sana wako pale kuitumikia GSM tu. Pumbavu kabisa
 
Sio watangazaji na wachambuzi tu!!sekta ya Michezo Tanzania imejaa watu wajinga,na wenye upeo mdogo sana,hata wasomi wachache waliopo kwenye sekta hio ukiwachuguza utaona wana upungufu wa weledi na maadili.
Itachukua karne nyingi kuja kufikia maendeleo ya kweli ya michezo hapa nchini.
 
huna akili wewe hata kidoogo...yaani mababa matatu yanakaa yandanganya kwamba Ibenge bado ni kocha wa the leopards wew unaona ni sawa? ndiyo manaa hayo majamaa huwa yanawadanganya utopolo kwamba ni team kubwa afrika mambo yakiwachachia wanaanza kuhaha
Hizi hasira ulizo nazo ni njaa au umasikini?
 
Hizi hasira ulizo nazo ni njaa au umasikini?
kwa nini kila mfanyakazi wa hapo wachafu media akibishana mtandaoni siku hizi anaita watanzania ni maskini? acheni ujinga nyie mmekuwa machawa wa DOMO ndi kupitiliza hadi facts za kawaida hamzijui mnbaki kuongelea to box to box midfielder mara sijui kukabia kwa juu
mwisho wake ni kujazana mashudu tu, hopeless dunderheads
 
Sio watangazaji na wachambuzi tu!!sekta ya Michezo Tanzania imejaa watu wajinga,na wenye upeo mdogo sana,hata wasomi wachache waliopo kwenye sekta hio ukiwachuguza utaona wana upungufu wa weledi na maadili.
Itachukua karne nyingi kuja kufikia maendeleo ya kweli ya michezo hapa nchini.
wamejaa tele kwenye huu uzi wananiita maskini kisa nimelalamikia kudanganywa kwamba Ibenge ni kocha wa the leopards...tangu boss wao aanze kuwagaia premio na yeye kununua escallade kila mtu kwao ni maskini, dah
 
kwa nini kila mfanyakazi wa hapo wachafu media akibishana mtandaoni siku hizi anaita watanzania ni maskini? acheni ujinga nyie mmekuwa machawa wa DOMO ndi kupitiliza hadi facts za kawaida hamzijui mnbaki kuongelea to box to box midfielder mara sijui kukabia kwa juu
mwisho wake ni kujazana mashudu tu, hopeless dunderheads
Kasikilize TBC
 
Nadhani ni kocha msaidizi wa timu ya taifa sio kocha mkuu
 
Back
Top Bottom