CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
- Thread starter
- #21
alikuwa kocha mkuu walimtoa kabisa team ya taifa akabaki as vita ka resign anaelekea orlando piratesNadhani ni kocha msaidizi wa timu ya taifa sio kocha mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alikuwa kocha mkuu walimtoa kabisa team ya taifa akabaki as vita ka resign anaelekea orlando piratesNadhani ni kocha msaidizi wa timu ya taifa sio kocha mkuu
hata wewe punguza shobo wa hii thread bwasheeeeeeee,unaishobokea mnoKasikilize TBC
Hujafanya kosa ila trend ya kukosoa hivi vyombo vya habari inaongezeka na makosa yanayofanywa mengi ni yakukosa elimu na maadili ya kazi, basi tutafute njia sahihi ya kuwapata watangazajinimefanya makosa kuwalalmikia? kama ni hivyo basi hata serikali yetu tusingekuwa tunailalamikia IKITUDANGANYA ,maana jibu lingekuwa kama vipi hama nchi....kama hawajui information ni aheri wanyamaze na siyo kudanganya, idiots
Wapo kama Ambangile, Tigana, Mwlm Kashasha, hata anavyochambua soka unajua huyu yuko vizuri, kiufundi na mbinuWaliokidhi viwango kwako ni kina nani tuwategee sikio?
Waliodanganya jana studio alikuwepo kitenge,mkule,ambangilr na wote walikubaliana ibenge ni kocha wa the leopardsHujafanya kosa ila trend ya kukosoa hivi vyombo vya habari inaongezeka na makosa yanayofanywa mengi ni yakukosa elimu na maadili ya kazi, basi tutafute njia sahihi ya kuwapata watangazaji
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Wewe una udugu na Mzee Mpiri?...Inasikitisha sana kwa kweli hawa jamaa nilkuwa najua ni manguli wa habari za michezo wako sasa hivi saa 19.50 wanadanganya kuhusu habari ya florente ibenge wakidai ni kocha wa team y a taifa ya Dr Congo
ibenge kaacha kazi as vita anaelekea Orlando pirates ila hawa jamaa wako hapo studio wanadai kwamba atabaki na kazi yake ya team ya taifa, HIVI HAWA JAMAA HAWAJUI KWAMBA KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA CONGO NI MU ARGENTINA NAITWA HECTOR CUPER?
Nafikiri ndiyo maana hivi vipindi ukiwa unaangalia you tube wakiwa live muda mwingi wako busy na simu labda wanakuwa wanaangalia information hata suala hilo hawalijui?au watasema bado zahera ni kocha msaidizi wa the leopards?
Kwa kifupi Yussuph mkule, kitenge na ambangile hawajui kwamba ibenge ana karibu miezi 3 siyo kocha wa Dr congo..heeee
Weeewe unaamini ibenge kaacha kazi ili ku concentrate na team ya taifa? Wewe ni kilaza?Wewe una udugu na Mzee Mpiri?...