Aibu: Wasafi FM michezo wanadanganya kuhusu ibenge na DRC national team

nimefanya makosa kuwalalmikia? kama ni hivyo basi hata serikali yetu tusingekuwa tunailalamikia IKITUDANGANYA ,maana jibu lingekuwa kama vipi hama nchi....kama hawajui information ni aheri wanyamaze na siyo kudanganya, idiots
Hujafanya kosa ila trend ya kukosoa hivi vyombo vya habari inaongezeka na makosa yanayofanywa mengi ni yakukosa elimu na maadili ya kazi, basi tutafute njia sahihi ya kuwapata watangazaji

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Hujafanya kosa ila trend ya kukosoa hivi vyombo vya habari inaongezeka na makosa yanayofanywa mengi ni yakukosa elimu na maadili ya kazi, basi tutafute njia sahihi ya kuwapata watangazaji

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Waliodanganya jana studio alikuwepo kitenge,mkule,ambangilr na wote walikubaliana ibenge ni kocha wa the leopards
 
Wewe una udugu na Mzee Mpiri?...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…