Daniel Mwinula
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 302
- 328
Amesema alisha kutana na hao viongozi wa Yanga kuhusu yeye kuondoka wakakataa, baadae yeye alitumia kifungu cha mkataba kuvunja km kinavyo dai, bado wao yanga hawataki.
Na anasema alikutana na Hersi ili wazungumzie hatma yake, yeye alijibiwa kuwa arudi kambini kwa team kuendelea na majukumu yake ya uchezaji, na fei hataki hilo. Sasa afanyeje?
Hebu muwe mnafuatilia jambo bila muhemko. Lol
wewe na yeye akili zenu zinafanana ndio maana unaamini ivo. pole sana.Yaani hakuna mtangazaji ana upeo mkubwa na mwenye kutizama angle zote kama kp acheni kukurupuka unamuongelea mtu na humjui
Na wee ukiwemooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wapumbavu pekee ndio waliotetemeka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe shida ni huyo dada kutoa machozii?? Mie nkajua kuna cha ajabu uwiiiiihHukioni halafu huyo ndio mwanasheria wake daaaah ndiye anaenda kusimama nae CAS [emoji23][emoji23],tupo humu ni swala la muda,yy timu yake waendelee kutafuta huruma sisi tutasimamia sheria na mkataba.
Mwanasheria anakuwa anaongozwa na hisia daaah,waache watu wapige hela upitia ujinga wake mwenyewe.
Huyo Takadini naye wa kupuuzwa tyuuh, akianza kupopolewaa anakimbilia ana nyanyaswaa kisa ulemavu wa ngozii, mxxxiiiieeeew zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamepagawa hawa,Feisal kawashika pazuri sana mpaka Takadini ameamua kujifunga kibwaya kucheza ngoma iso yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa jicho lako uhoni kitu, ila mwanasheria aongozwi na hisia ni hoja, kapata platforms ya public baada ya kuongea analia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe shida ni huyo dada kutoa machozii?? Mie nkajua kuna cha ajabu uwiiiiih
Km ni ukweli alicho zungumza Fei, hata km mie nimepa ABC haina kwereee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kilichoongelewa ni ukweli. Na Masoud ndio alikuwa anakijua kwa ufasaha, ikabidi ampe Fei ABC
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatoka nje ya mada Lol.Unatakiwa ufungue PM CoET wamiminike au siyo
Mkataba haku uelewa mwanzo wakati wa kusaini, ila baada ya kuona anapaswa kuondoka ikabidi atafute wanao elewa lugha iliyotumika ktk mkatabaa ndo waka mtafsiriaa hivyoo.Hicho kifungu amekijuaje wakati amesema hajauelewa mkataba kwa sababu ni wa kiingereza..??
Sasa tatizo liko wapiii? Kwani kutoa chozi ni shida? Ili hali mazungumzo yaliendelea km kawida na hakuna kilichoharibika lol.Kwa jicho lako uhoni kitu, ila mwanasheria aongozwi na hisia ni hoja, kapata platforms ya public baada ya kuongea analia.
Kwa mwanasheria?Sasa tatizo liko wapiii? Kwani kutoa chozi ni shida? Ili hali mazungumzo yaliendelea km kawida na hakuna kilichoharibika lol.
Hata Jaji pia.Kwa mwanasheria?
Pipa na mfuniko.Hata Jaji pia.
Sio chupa na kizibo??Pipa na mfuniko.
Prague na Pwaguzi.Sio chupa na kizibo??
Kulwa na Doto.Prague na Pwaguzi.