Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

Amesema alisha kutana na hao viongozi wa Yanga kuhusu yeye kuondoka wakakataa, baadae yeye alitumia kifungu cha mkataba kuvunja km kinavyo dai, bado wao yanga hawataki.

Na anasema alikutana na Hersi ili wazungumzie hatma yake, yeye alijibiwa kuwa arudi kambini kwa team kuendelea na majukumu yake ya uchezaji, na fei hataki hilo. Sasa afanyeje?

Hebu muwe mnafuatilia jambo bila muhemko. Lol

Hicho kifungu amekijuaje wakati amesema hajauelewa mkataba kwa sababu ni wa kiingereza..??
 
Hukioni halafu huyo ndio mwanasheria wake daaaah ndiye anaenda kusimama nae CAS [emoji23][emoji23],tupo humu ni swala la muda,yy timu yake waendelee kutafuta huruma sisi tutasimamia sheria na mkataba.

Mwanasheria anakuwa anaongozwa na hisia daaah,waache watu wapige hela upitia ujinga wake mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe shida ni huyo dada kutoa machozii?? Mie nkajua kuna cha ajabu uwiiiiih
 
Wamepagawa hawa,Feisal kawashika pazuri sana mpaka Takadini ameamua kujifunga kibwaya kucheza ngoma iso yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo Takadini naye wa kupuuzwa tyuuh, akianza kupopolewaa anakimbilia ana nyanyaswaa kisa ulemavu wa ngozii, mxxxiiiieeeew zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe shida ni huyo dada kutoa machozii?? Mie nkajua kuna cha ajabu uwiiiiih
Kwa jicho lako uhoni kitu, ila mwanasheria aongozwi na hisia ni hoja, kapata platforms ya public baada ya kuongea analia.
 
Kilichoongelewa ni ukweli. Na Masoud ndio alikuwa anakijua kwa ufasaha, ikabidi ampe Fei ABC
Km ni ukweli alicho zungumza Fei, hata km mie nimepa ABC haina kwereee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hicho kifungu amekijuaje wakati amesema hajauelewa mkataba kwa sababu ni wa kiingereza..??
Mkataba haku uelewa mwanzo wakati wa kusaini, ila baada ya kuona anapaswa kuondoka ikabidi atafute wanao elewa lugha iliyotumika ktk mkatabaa ndo waka mtafsiriaa hivyoo.
 
Kwa jicho lako uhoni kitu, ila mwanasheria aongozwi na hisia ni hoja, kapata platforms ya public baada ya kuongea analia.
Sasa tatizo liko wapiii? Kwani kutoa chozi ni shida? Ili hali mazungumzo yaliendelea km kawida na hakuna kilichoharibika lol.
 
Nilicheka ile futuhi ya akina OSCAR OSCAR kuhusiana na kumfundisha FEI cha kusema.Eti wanamshauri aseme alitembea kwa mguu kutoka Zanzibar hadi Dar.
 
Swali linabaki pale pale kwa nini Engineer anambashia huyu dogo halafu akiamua kulinda marinda yake ndiye aonekane mkorofi?
 
Back
Top Bottom