Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Ni utaratibu,sasa kama ni maigizo utajua wewe mwenyewe.Sasa hiyo ni interview au maigizo ya kaole group?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utaratibu,sasa kama ni maigizo utajua wewe mwenyewe.Sasa hiyo ni interview au maigizo ya kaole group?
Hata kama kafanya. Hizi kesi zikamalizwe BAKWATA hukoMna uhakika mwenye hiyo sauti ni Yeye Masoud Kipanya (KP).
Kwa credibility yake KP sidhani kama atafanya hivyo.
Hahaha....... 😆Hata kama kafanya. Hizi kesi zikamalizwe BAKWATA huko
Sasa kama unayajua yote hayo kuwa Hersi hana haja ya kutuprove yale aliyoongea Feisal ,why unachachawa sasa tukijaribu na sisi kuyachakata aliyoyasema Feisal? Tulieni sasa mambo yote CASHamna kosa lolote kweli,ila ndio intvw ya kwanza kuwa na behind the scene kama movies.
Hersi mbona kishaongea na alihojiwa na akina Masoud. Tukutane CAS tukasimamie sheria baada ya hapo itafahamika nani anaonewa na si kutafuta huruma.
Yanga wanatimiza wajibu wao kimkataba wa kumlipa Fei na ndio maana mpaka leo Yanga kashinda mara tatu sababu kisheria Yanga ana haki na mkataba utaongea.
Hersi hana cha kuprove kwenu nyinyi wasaka habari, yy kazi yake kusimamia club,rasilimali za club,wachezaji na mikataba yao.
Lipo kubwa nyuma ya pazia sidhani fei ana utoto WA kukataa kurudi Yanga Tena Kwa intavyuu ya Leo nasema Lipo kubwa tuuuInawezekana kuna aibu wanataka kuificha, ila mbona rahisi sana. Mpige fain fei, mruhusu aondoke. Discussion inakwisha. Hapa sasa hivi unaleta sauti mara mwenzako anakuja na video na tuhuma za ajabu mnazidi kuzalilishana.
Kati ya watu wanaafki ktk USO WA ardhi manara anachukua no 1 ,2 na 3...namuombea tu mwisho mwema na Mungu ambadilishe nafsi yake iwe yenye ukweli siku mojaNilivyoona tu yeye ndiyo 'kavujisha' nikadharau hapo hapo
Hayo mambo CAS yameenda lini? Manake Yanga wanasubiri.Sasa kama unayajua yote hayo kuwa Hersi hana haja ya kutuprove yale aliyoongea Feisal ,why unachachawa sasa tukijaribu na sisi kuyachakata aliyoyasema Feisal? Tulieni sasa mambo yote CAS
Haihitaji kufika form 6 kujua Kuna mazito yapo yanaendelea yaani twendeni tuFeisal akifunguka zaidi,kuna hatari ya mtu kudharirika pakubwa sana.Tuliomsikiliza Feisal tumemwelewa na ndiyo maana 'rais' hataki kumwachia
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wakato Leo masaa yote anajadiliwa fei afu unasema aibu Kwa clouds... really?!!Aibu gani inafichwa?!?! Mahojiano yaliyofanyika yameonesha. Upeo mdogo was Fei na ni aibu kubwa Kwa Clouds kuwa sponsored kufanya mahojiano hayo kipindi hiki katika jitihada za kuihujumu Yanga na mechi ya marudiano na Algers..
IpoHii post bila clip haitaeleweka
Naomba usikilizwe sana!Na hayo maharage mkumbushe asihau kuweka nazi
Ulimaanisha jua au solar panel?Watajua wenyewe
Kipara kama Solar
Hilo bunge lenyewe lina uzito gani?suala la feisal ni mhimu kuliko hoja zote za bunge japo nalo ni la kijinga.AISE HII ISSUE IPELEKWE BUNGENI KUJADILIWA,ISSUE NI NZITO SANA
KWA TAIFA
[emoji1] wabongo si mnapenda mambo hayo
Ova
Doctor habari za siku banaUmejuaje?