Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
😳☹️Kesi za fisi na chui waachie wenyewe. Pika ugali wako maharage kula.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳☹️Kesi za fisi na chui waachie wenyewe. Pika ugali wako maharage kula.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Wivu na Husda zimewajaa WajaNimeona hapa zimeletwa kama Tuhuma, hadi watu wanapendekeza KP afukuzwe kazi
Kibongo bongo ukiwa na uhakika wa Maisha, jamaa wako radhi kutumia mbinu yeyote kuhakikisha unashuka chiniWivu na Husda zimewajaa Waja
Shida tupu yaniKibongo bongo ukiwa na uhakika wa Maisha, jamaa wako radhi kutumia mbinu yeyote kuhakikisha unashuka chini
Wamfute KP wamuajiri Ngumbaru mwenzetu ManaraHahahaaaa wamfute kazi afu wakupe wewe au? Masoud akili kubwa Ile.....hawamfuti....
Poa mambo vipi MkuuDoctor habari za siku bana
Kabisa Mkuu, nadhani ile kulelewa kwenye Umasikini hadi kufanya watu wauzoee imefikia wakati wanaona dhambi mtu kufanikiwa 🙌Shida tupu yani
Izoo voice note Ziko apii[emoji15][emoji15][emoji15]Clouds fm ni kituo cha redio kilichojijengea umaarufu kwa muda mrefu tangu enzi za marehemu Ruge. Lakini kwasiku za hivi karibuni heshima ya clouds imeshuka Sana.
Mfano mzuri ni hiyo clip iliyovuja Masoud kipanya akimkaririsha Feisal MANENO ya kuongea alaf yeye mwenyewe ndo akaenda kumfanyia mahojiano!
Hii inatia kichefuchefu na inaichafua brand kubwa Kama clouds fm. Nashauri mmiliki wa kituo hicho amfute kazi mara moja kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Clouds fm ni kituo cha redio kilichojijengea umaarufu kwa muda mrefu tangu enzi za marehemu Ruge. Lakini kwasiku za hivi karibuni heshima ya clouds imeshuka Sana.
Mfano mzuri ni hiyo clip iliyovuja Masoud kipanya akimkaririsha Feisal MANENO ya kuongea alaf yeye mwenyewe ndo akaenda kumfanyia mahojiano!
Hii inatia kichefuchefu na inaichafua brand kubwa Kama clouds fm. Nashauri mmiliki wa kituo hicho amfute kazi mara moja kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Kilichoongelewa ni ukweli. Na Masoud ndio alikuwa anakijua kwa ufasaha, ikabidi ampe Fei ABCKwani kilicho ongelewa ni uongooo?? Km ni kweli basi hakuna tatizo
Elimu ahelahFaisal ana elimu gani? Ninavyomuona na mambo yake kama asiyejielewa hivi!
Wewe umuoni Bibi yake wa Chamwino.Wale ni wapiga Domo na kudekadeka tu,mipasho kwao ni Utamaduni.Faisal ana elimu gani? Ninavyomuona na mambo yake kama asiyejielewa hivi!
Kuna wenye akili fupi wanamtuma fei wakidhani wataaribu uongozi wa Yanga, ukweli ni kwamba eng hersi ni tishio hasa kwa kariba ya uongozi kwa hiyo sasa hivi wanamtageti kwa bogus allegation tukatae tukubali watu wanaupeo mdogo sanaInaonekana wazi walijipanga kumchafua heris,maana mwanzoni tatizo lilikuwa mkataba,ikabadilika ikawa maslahi,ikahama tena mara manyanyaso,sasa wamehamia kwa heris,akija kushtuka anabaki stor
Unatakiwa ufungue PM CoET wamiminike au siyoHaha wee mwenye moral authority ya kuzungumzia hili, sema nikusikiee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani kichwani hayupo sawa kabisa na mshipa wa aibu hanaKati ya watu wanaafki ktk USO WA ardhi manara anachukua no 1 ,2 na 3...namuombea tu mwisho mwema na Mungu ambadilishe nafsi yake iwe yenye ukweli siku moja
Tulia sasa JosephHayo mambo CAS yameenda lini? Manake Yanga wanasubiri.
Hersi hawajibiki kujibu kwenye public, yy kishajibu hoja zake TFF kupitia mwanasheria wa club na kishashinda mara tatu.
Haya kesho kawajibu then ndio itakuwaje? au unahisi itabadili vipengele vya mkataba na maamuzi ya TFF?
Mbona panapovuja pameshaanza kujionyesha,ogopa sana yule msomali na jeuri ya pesa za tajiri yake utadhani zake kumbe na yeye ni kijakazi tu wa GSMHaihitaji kufika form 6 kujua Kuna mazito yapo yanaendelea yaani twendeni tu
Nitulie vip Hersi kiongozi wa Yanga na sio umma.Tulia sasa Joseph
Basi acha tuendelee kumjadiriNitulie vip Hersi kiongozi wa Yanga na sio umma.