Aibu ya pombe

Kunywa kistaarabu
 
Ende
Mimi hapana
 
Ukishindwa kupunguza ukaribu na marafiki zako walevi ni ngumu kuacha pombe.
 
Kawaida hiyo, hao watu uliowatukana watajua ni pombe tu
 
Asante juzi ndo nilikunywa,baada ya kukaa miaka 2,shida ni namna ya kuacha jumla
Hakuna kuacha, jifunze kunywa kistaarabu tu, basi. Km ni bia kunywa lkn si zadi ya 4,km ni nyagi au k vant piga kasichana alafu sepa kabisa, kwenye pombe hua hatuagi,ukitosheka unatoroka unawahi home, mengine yatajulikana kesho. Sasa ww unakunywa weeeeeeee hadi unasahau jina lako unaanza kuongea kingereza cha ugokoni na matusi juu hadi unagombana na mabosi wako iko siku utakunya kitandani ndiyo utajua pombe si chai.
 
Shukrani Sana mkuu [emoji16]
 
Vipi hadi leo hujagonga tungi
 
Nyoa kipara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…