Acha kupinga pinga kila kitu ,Kwa hiyo hufahamu faida ya mawasiliano katika maendeleo ya wananchi? Serikali ya mh Rais inafanya yote na kugusa secta zote ,ndio maana unaona huduma za maji,umeme, Miundombinu n.k . ikiendelea kupelekwa na kusogezwa karibu ya mwananchi.