AIM Global, Qnet, Forever Living, One Coin, GNLD na wengine mbadili mbinu za utapeli, hii ya utajiri ndani ya siku 2 imepitwa na wakati

AIM Global, Qnet, Forever Living, One Coin, GNLD na wengine mbadili mbinu za utapeli, hii ya utajiri ndani ya siku 2 imepitwa na wakati

Huu ni ushauri wa bure.

Haya makampuni ya fursa hebu wajitahidi kubadili mbinu za kutapeli watu. Hii ya kutajirika ndani ya siku 2 imepitwa na wakati.

Qnet acheni kukodi magari ya watu na kujifanya ni yenu. Na visimu vya Iphone 6 Iphone 8. Badilini mbinu basi.

Kupiga picha na selfie kwenye magari ya watu na haina maana. Huu ni utapeli wa kitoto. Jitahidini kua wabunifu.

Nina hasira baada ya mtu ninaemheshimu juzi kunipeleka kwenye seminar ya mambo ya kipumbavu.

Hovyo kabisa.
😃😃😃 mzee baba walitaka kukugeuza fursa
 
Kuna mmoja tanga , nilimuambia anipe ba k statement yake yenye flow ya mil 100 tu kwa mwaka , hata mil 3 hajawah ingiz kwa mkupuo.........mil 100 miak 3 hawez fikisha....atanshawish bil 1 eti!!!!!!!

Maana ana miaka 3 hapa sinza . anadai nikinunua SAA mil 5 na kulta watu ,Basi business plan ya bilioni moja kwa mwaka napata..

Mda wa kuondoka naona anadandia lift ,alafu ndio miaka 3 yote kakaa huko na kiongozi


Jamani life sio kamari
😃😃😃
 
Nimeangalia michango ya mawazo ya watu humu ndani inasikitisha kweli,kila mtu kasimulia matukio tu lakini hakuna mtu aliye kuja na simulizi la uzoefu katika moja ya hizo network marketing.Ni kweli zipo unprofessional and illegal scheme ambazo zinawahadaa watu ili kuwarubuni but siyo zote.Hiyo Qnet mnayoiponda as if ipo kwa lengo la kuwaibia watu naweza kusema ni a big NO maana nina jamaa zangu watatu wanapiga kazi sana na huu ni mwaka wa tatu nawaona wanapata exposure ya kwenda nje huko Malaysia kwaajili ya mikutano ya kupeana mbinu na uzoefu wa biashara,kikubwa hapa siyo kuingia fursa halafu unabaki unabweteka na shemejiyo nyumbani ukiamini umetapeliwa badala ya wewe nawe kufanya network marketing ili kile ulichokiwekeza kiweze kurudi na mwisho wa siku uendelee kunufaika na hiyo fursa kwa kufanya kazi.Hapa kazi tu !

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo kwenda Malysia ni sifa, acheni utapeli,QNET ni matapeli kama walivyo matapeli wengine ,
Hzo nguvu mnazitumia kuwarubuni watu mngekuwa mnawahamasisha kilimo au ufugaji nchi hii ingekuwa mbali sana.
 
Soma maelezo yangu yote mkuu,umekuja na low mileage thinking kama mlokole ambaye anasoma biblia kamstari kamoja tu na kuanza kubweteka.Kumbuka kila fursa inayokuletea income lazima ufanye kazi !
Kwa hyo kwenda Malysia ni sifa, acheni utaperi ,QNET ni mataperi kama walivyo mataperi wengine ,
Hzo nguvu mnazitumia kuwarubuni watu mngekuwa mnawahamasisha kilimo au ufugaji nchi hii ingekuwa mbali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeangalia michango ya mawazo ya watu humu ndani inasikitisha kweli,kila mtu kasimulia matukio tu lakini hakuna mtu aliye kuja na simulizi la uzoefu katika moja ya hizo network marketing.Ni kweli zipo unprofessional and illegal scheme ambazo zinawahadaa watu ili kuwarubuni but siyo zote.Hiyo Qnet mnayoiponda as if ipo kwa lengo la kuwaibia watu naweza kusema ni a big NO maana nina jamaa zangu watatu wanapiga kazi sana na huu ni mwaka wa tatu nawaona wanapata exposure ya kwenda nje huko Malaysia kwaajili ya mikutano ya kupeana mbinu na uzoefu wa biashara,kikubwa hapa siyo kuingia fursa halafu unabaki unabweteka na shemejiyo nyumbani ukiamini umetapeliwa badala ya wewe nawe kufanya network marketing ili kile ulichokiwekeza kiweze kurudi na mwisho wa siku uendelee kunufaika na hiyo fursa kwa kufanya kazi.Hapa kazi tu !

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwenda kwenye mikutano malaysia ndio maisha mazuri?Ungetuambia huyo shemeji yako ameingiza mamilioni mangapi tangu ajiunge ungekuwa umeongea point ya maana.

Kwenda kwenye vikao malaysia sio kutoboa maisha,hata wale forever pia wapo wanaosafiri kwenda kuhubiri nchi zingine ila bado haina future.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi biashara za network marketing si utapeli sema ni biashara ngumu Sana sasahiv kupata watu wa kujiunga ni ngumu na bidhaa zao ni ghali hapo ndo wanakosea hawasemi kweli unadanganywa utapata faida kwa haraka kumbe inahtajika usote haswa walionufaika ni wale walioanza hizi biashara miaka ya nyuma uko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma maelezo yangu yote mkuu,umekuja na low mileage thinking kama mlokole ambaye anasoma biblia kamstari kamoja tu na kuanza kubweteka.Kumbuka kila fursa inayokuletea income lazima ufanye kazi !

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekujibu based on your primary argument,(ambayo ni Malaysia) siajona kingine cha maana kukujibu kwenye bandiko lako. Labda weka hoja nyingine, hii nchi inahitaji ukombozi wa fikra aisee, pamoja na utapeli wenu bado mnawapata tena wanafunzi wa chuo.
 
Sasa kwenda kwenye mikutano malaysia ndio maisha mazuri?Ungetuambia huyo shemeji yako ameingiza mamilioni mangapi tangu ajiunge ungekuwa umeongea point ya maana.
Kwenda kwenye vikao malaysia sio kutoboa maisha,hata wale forever pia wapo wanaosafiri kwenda kuhubiri nchi zingine ila bado haina future.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amejenga nyumba mkuu within this 3 yrs ! na huko Malaysia anaenda kwa pesa zake zinazotokana na juhudi zake za network marketing.Nawafahamu hao marafiki zangu miaka mitatu ya nyuma walikuwa ktk hatua gani kimaisha na sahizi wapo wapi, mmoja kati yao kapiga hela ndefu na mwaka jana kawekeza ktk kikimo chha mihogo eka 120 huko Tanga maeneo ya Mkata, kikubwa hapa naona physical progress siyo blabla ! na wanajitoa kwelikweli kufanya kazi across the whole country,upo hapo nyonyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukombozi wa kifikra ni pamoja na kufanya comprehensive business analysis before huja opt fursa unayoletewa mezani.Mkuu kama huna pesa tuliza mshono,hii dunia kiongozi ni kubwa sana na fursa za kibiashara ni nyingi pia ! sipo hapa kuku convince but we need to think out of the box na tusiwe na corrupt mind ya kujenelaizi kuwa all network marketing hapa Tz ni utapeli tu hapana mkuu.Sema tu wanaotuletea hizo fursa baadhi yao wanakuja na motivational convincing language inayowafanya watu waamini kuwa wanaweza kupata fedha kwa uharaka na pengine bila kufanya kazi hapana,everything you have to toil
Nimekujibu based on your primary argument,(ambayo ni Malaysia) siajona kingine cha maana kukujibu kwenye bandiko lako. Labda weka hoja nyingine, hii nchi inahitaji ukombozi wa fikra aisee, pamoja na utapeli wenu bado mnawapata tena wanafunzi wa chuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeangalia michango ya mawazo ya watu humu ndani inasikitisha kweli,kila mtu kasimulia matukio tu lakini hakuna mtu aliye kuja na simulizi la uzoefu katika moja ya hizo network marketing.Ni kweli zipo unprofessional and illegal scheme ambazo zinawahadaa watu ili kuwarubuni but siyo zote.Hiyo Qnet mnayoiponda as if ipo kwa lengo la kuwaibia watu naweza kusema ni a big NO maana nina jamaa zangu watatu wanapiga kazi sana na huu ni mwaka wa tatu nawaona wanapata exposure ya kwenda nje huko Malaysia kwaajili ya mikutano ya kupeana mbinu na uzoefu wa biashara,kikubwa hapa siyo kuingia fursa halafu unabaki unabweteka na shemejiyo nyumbani ukiamini umetapeliwa badala ya wewe nawe kufanya network marketing ili kile ulichokiwekeza kiweze kurudi na mwisho wa siku uendelee kunufaika na hiyo fursa kwa kufanya kazi.Hapa kazi tu !

Sent using Jamii Forums mobile app
GOODMORNING MY FELLOW BUSINESS PARTNER.
 
Amejenga nyumba mkuu within this 3 yrs ! na huko Malaysia anaenda kwa pesa zake zinazotokana na juhudi zake za network marketing.Nawafahamu hao marafiki zangu miaka mitatu ya nyuma walikuwa ktk hatua gani kimaisha na sahizi wapo wapi,mmoja kati yao kapiga hela ndefu na mwaka jana kawekeza ktk kikimo chha mihogo eka 120 huko Tanga maeneo ya Mkata,kikubwa hapa naona physical progress siyo blabla ! na wanajitoa kwelikweli kufanya kazi across the whole country,upo hapo nyonyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Bhasi waambie nawewe wakuunganishe huko ili upige hela kama wao!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amejenga nyumba mkuu within this 3 yrs ! na huko Malaysia anaenda kwa pesa zake zinazotokana na juhudi zake za network marketing.Nawafahamu hao marafiki zangu miaka mitatu ya nyuma walikuwa ktk hatua gani kimaisha na sahizi wapo wapi,mmoja kati yao kapiga hela ndefu na mwaka jana kawekeza ktk kikimo chha mihogo eka 120 huko Tanga maeneo ya Mkata,kikubwa hapa naona physical progress siyo blabla ! na wanajitoa kwelikweli kufanya kazi across the whole country,upo hapo nyonyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mtupu hawa hawa jamaa wa Qnet wanaovaa suti za kuunga unga za pale karume eti ndio wamiliki nyumba?

Wanachojua wale jamaa ni kudanganya tu ooh kuna watu wameacha kazi TRA wamejiunga QNET,nillikaona kadada ka moja kwny video huko watsap kanasema eti hii kazi ya QNET imenipa gari yangu hii aina ya Benz wkt hio gari ni bmw x5 nikasema tu hiiiiiiiii baghosha,ntombanewe.
 
Back
Top Bottom