πππ mzee baba walitaka kukugeuza fursaHuu ni ushauri wa bure.
Haya makampuni ya fursa hebu wajitahidi kubadili mbinu za kutapeli watu. Hii ya kutajirika ndani ya siku 2 imepitwa na wakati.
Qnet acheni kukodi magari ya watu na kujifanya ni yenu. Na visimu vya Iphone 6 Iphone 8. Badilini mbinu basi.
Kupiga picha na selfie kwenye magari ya watu na haina maana. Huu ni utapeli wa kitoto. Jitahidini kua wabunifu.
Nina hasira baada ya mtu ninaemheshimu juzi kunipeleka kwenye seminar ya mambo ya kipumbavu.
Hovyo kabisa.
hivi huwa wanasalimia hivi kweli hata saa 8 mchana au mnawasingizia tu?GOOD MORNING.
Hiyo salam yao ikiwezekana Qnet waibadilishe manake iwe mchana,asubuhi,jioni wao wakikuona tu cha kwanza "GOOD MORNING".
yeah huwa naonaga matangazo yao katika league za mpira wa miguu ulayaMbona hao Qnet wanadai wanaudhamini namatch za nje...yaan dah hapa nimestaajabu kwakweli..sikua najua hili
Hiyo ndio kauli mbiu yao,hawaangalii mda.hivi huwa wanasalimia hivi kweli hata saa 8 mchana au mnawasingizia tu?
πππ
πππKuna mmoja tanga , nilimuambia anipe ba k statement yake yenye flow ya mil 100 tu kwa mwaka , hata mil 3 hajawah ingiz kwa mkupuo.........mil 100 miak 3 hawez fikisha....atanshawish bil 1 eti!!!!!!!
Maana ana miaka 3 hapa sinza . anadai nikinunua SAA mil 5 na kulta watu ,Basi business plan ya bilioni moja kwa mwaka napata..
Mda wa kuondoka naona anadandia lift ,alafu ndio miaka 3 yote kakaa huko na kiongozi
Jamani life sio kamari
Kwa hyo kwenda Malysia ni sifa, acheni utapeli,QNET ni matapeli kama walivyo matapeli wengine ,Nimeangalia michango ya mawazo ya watu humu ndani inasikitisha kweli,kila mtu kasimulia matukio tu lakini hakuna mtu aliye kuja na simulizi la uzoefu katika moja ya hizo network marketing.Ni kweli zipo unprofessional and illegal scheme ambazo zinawahadaa watu ili kuwarubuni but siyo zote.Hiyo Qnet mnayoiponda as if ipo kwa lengo la kuwaibia watu naweza kusema ni a big NO maana nina jamaa zangu watatu wanapiga kazi sana na huu ni mwaka wa tatu nawaona wanapata exposure ya kwenda nje huko Malaysia kwaajili ya mikutano ya kupeana mbinu na uzoefu wa biashara,kikubwa hapa siyo kuingia fursa halafu unabaki unabweteka na shemejiyo nyumbani ukiamini umetapeliwa badala ya wewe nawe kufanya network marketing ili kile ulichokiwekeza kiweze kurudi na mwisho wa siku uendelee kunufaika na hiyo fursa kwa kufanya kazi.Hapa kazi tu !
Sent using Jamii Forums mobile app
shtuka utapigwa uje kulia lia humu
aiseeππ inabeba mantiki gani sasa?Hiyo ndio kauli mbiu yao,hawaangalii mda.
Kwa hyo kwenda Malysia ni sifa, acheni utaperi ,QNET ni mataperi kama walivyo mataperi wengine ,
Hzo nguvu mnazitumia kuwarubuni watu mngekuwa mnawahamasisha kilimo au ufugaji nchi hii ingekuwa mbali sana.
Sasa kwenda kwenye mikutano malaysia ndio maisha mazuri?Ungetuambia huyo shemeji yako ameingiza mamilioni mangapi tangu ajiunge ungekuwa umeongea point ya maana.Nimeangalia michango ya mawazo ya watu humu ndani inasikitisha kweli,kila mtu kasimulia matukio tu lakini hakuna mtu aliye kuja na simulizi la uzoefu katika moja ya hizo network marketing.Ni kweli zipo unprofessional and illegal scheme ambazo zinawahadaa watu ili kuwarubuni but siyo zote.Hiyo Qnet mnayoiponda as if ipo kwa lengo la kuwaibia watu naweza kusema ni a big NO maana nina jamaa zangu watatu wanapiga kazi sana na huu ni mwaka wa tatu nawaona wanapata exposure ya kwenda nje huko Malaysia kwaajili ya mikutano ya kupeana mbinu na uzoefu wa biashara,kikubwa hapa siyo kuingia fursa halafu unabaki unabweteka na shemejiyo nyumbani ukiamini umetapeliwa badala ya wewe nawe kufanya network marketing ili kile ulichokiwekeza kiweze kurudi na mwisho wa siku uendelee kunufaika na hiyo fursa kwa kufanya kazi.Hapa kazi tu !
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekujibu based on your primary argument,(ambayo ni Malaysia) siajona kingine cha maana kukujibu kwenye bandiko lako. Labda weka hoja nyingine, hii nchi inahitaji ukombozi wa fikra aisee, pamoja na utapeli wenu bado mnawapata tena wanafunzi wa chuo.Soma maelezo yangu yote mkuu,umekuja na low mileage thinking kama mlokole ambaye anasoma biblia kamstari kamoja tu na kuanza kubweteka.Kumbuka kila fursa inayokuletea income lazima ufanye kazi !
Sent using Jamii Forums mobile app
Amejenga nyumba mkuu within this 3 yrs ! na huko Malaysia anaenda kwa pesa zake zinazotokana na juhudi zake za network marketing.Nawafahamu hao marafiki zangu miaka mitatu ya nyuma walikuwa ktk hatua gani kimaisha na sahizi wapo wapi, mmoja kati yao kapiga hela ndefu na mwaka jana kawekeza ktk kikimo chha mihogo eka 120 huko Tanga maeneo ya Mkata, kikubwa hapa naona physical progress siyo blabla ! na wanajitoa kwelikweli kufanya kazi across the whole country,upo hapo nyonyoSasa kwenda kwenye mikutano malaysia ndio maisha mazuri?Ungetuambia huyo shemeji yako ameingiza mamilioni mangapi tangu ajiunge ungekuwa umeongea point ya maana.
Kwenda kwenye vikao malaysia sio kutoboa maisha,hata wale forever pia wapo wanaosafiri kwenda kuhubiri nchi zingine ila bado haina future.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekujibu based on your primary argument,(ambayo ni Malaysia) siajona kingine cha maana kukujibu kwenye bandiko lako. Labda weka hoja nyingine, hii nchi inahitaji ukombozi wa fikra aisee, pamoja na utapeli wenu bado mnawapata tena wanafunzi wa chuo.
GOODMORNING MY FELLOW BUSINESS PARTNER.Nimeangalia michango ya mawazo ya watu humu ndani inasikitisha kweli,kila mtu kasimulia matukio tu lakini hakuna mtu aliye kuja na simulizi la uzoefu katika moja ya hizo network marketing.Ni kweli zipo unprofessional and illegal scheme ambazo zinawahadaa watu ili kuwarubuni but siyo zote.Hiyo Qnet mnayoiponda as if ipo kwa lengo la kuwaibia watu naweza kusema ni a big NO maana nina jamaa zangu watatu wanapiga kazi sana na huu ni mwaka wa tatu nawaona wanapata exposure ya kwenda nje huko Malaysia kwaajili ya mikutano ya kupeana mbinu na uzoefu wa biashara,kikubwa hapa siyo kuingia fursa halafu unabaki unabweteka na shemejiyo nyumbani ukiamini umetapeliwa badala ya wewe nawe kufanya network marketing ili kile ulichokiwekeza kiweze kurudi na mwisho wa siku uendelee kunufaika na hiyo fursa kwa kufanya kazi.Hapa kazi tu !
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale jamaa mishipa ya aibu ilishakatika.hivi huwa wanasalimia hivi kweli hata saa 8 mchana au mnawasingizia tu?
πππ
Bhasi waambie nawewe wakuunganishe huko ili upige hela kama wao!Amejenga nyumba mkuu within this 3 yrs ! na huko Malaysia anaenda kwa pesa zake zinazotokana na juhudi zake za network marketing.Nawafahamu hao marafiki zangu miaka mitatu ya nyuma walikuwa ktk hatua gani kimaisha na sahizi wapo wapi,mmoja kati yao kapiga hela ndefu na mwaka jana kawekeza ktk kikimo chha mihogo eka 120 huko Tanga maeneo ya Mkata,kikubwa hapa naona physical progress siyo blabla ! na wanajitoa kwelikweli kufanya kazi across the whole country,upo hapo nyonyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mtupu hawa hawa jamaa wa Qnet wanaovaa suti za kuunga unga za pale karume eti ndio wamiliki nyumba?Amejenga nyumba mkuu within this 3 yrs ! na huko Malaysia anaenda kwa pesa zake zinazotokana na juhudi zake za network marketing.Nawafahamu hao marafiki zangu miaka mitatu ya nyuma walikuwa ktk hatua gani kimaisha na sahizi wapo wapi,mmoja kati yao kapiga hela ndefu na mwaka jana kawekeza ktk kikimo chha mihogo eka 120 huko Tanga maeneo ya Mkata,kikubwa hapa naona physical progress siyo blabla ! na wanajitoa kwelikweli kufanya kazi across the whole country,upo hapo nyonyo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28], yea sure ndo hiyo no longolongo.hivi huwa wanasalimia hivi kweli hata saa 8 mchana au mnawasingizia tu?
[emoji2][emoji2][emoji2]