AIM Global, Qnet, Forever Living, One Coin, GNLD na wengine mbadili mbinu za utapeli, hii ya utajiri ndani ya siku 2 imepitwa na wakati

Mimi nimekutana na wengi hasa wanawake wako kwenye dating sites kutafta watu. Nilikutana na mmoja wa kwanza tukapeana namba kesho yake anataka kujua nafanya wapi kazi, nafanya kazi gani, nalipwajwe, kama mshahara mdogo nijiunge na yeye, nimamblock.

Wa pili hivyo hivyo nashtukia niko kwenye group napewa semina mara naambiwa ni download zoom sijui ujinga gani.

Baada ya seminar nikaulizwa umeelewa nikasema ndio wakati hata sikujua walikua wanajadili nini, unajiunga lini nikasema hata kesho, utaweka account ngapi nikasema 7 maana yake 3.5m, yaani toka simu hiyo simu sio simu, kila saa napigiwa, tunaweza kukuona, tumupe account, tukufuate kila mara najibu niko busy ntawatafta. Hii wiki ya 2 sasa hawakati tamaa.

Natafta namna ya kuwasumbua. Siku niwaambie waje sa 5 usiku mabwepande kuchukua hela maana nasafiri usiku wa sa 9 wakiniambia wamefika nawaambia nimetoka mara moja niko mbagala kama mnaweza kuja kuchukua sawa.
 
Daaah umempata za uso huyo tapeli
 
Shukuru mkuu ukupigwa wenzako wanalia.
 
Hivi Qnet bado ipo? Nakumbuka walinipeleka sijui bamaga kule karibu na Masaki
 
GOOD MORNING
GOOD MORNING
GOOD MORNING
GOOD MORNING
GOOD MORNING
GOOD MORNING
 
Kuna mwenzio huko kasikazini kapigwa 4.3m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…