jnrs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 504
- 236
Kuna eneo moja singida lina dhahabu ya kutosha wachina wameibeba sana..
Mkuu nitonye kwenye pm pls!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna eneo moja singida lina dhahabu ya kutosha wachina wameibeba sana..
ukigundua eneo lako lina madini, haraka unatakiwa unakimbia ofisi ya madini ya kanda unaomba leseni ili usije kuondolewa na uchimbe kihalali.
Mkuu unadhani ni kitu gani ambacho wale wa tanzanite wamekifanyia kazi na kuwafanya waweze zaidi kukabiliana na mazingira kuliko wale wanaotafuta dhahabu?au kwa kuwa tanzanite hazina cha kusaga mawe wala kuchuja na madawa?nimenda msumbiji kdogo wamejitahdi.lakn bdo.merelani wameweza.wachmbaji wagold wanatakiwa wakawaige hao wa tanzanite.