Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Wadau,
Ni ukweli ulio wazi kwamba kwenye nchi yetu ya Tanzania karibu kila wilaya kuna madini ya aina fulani yenye thamani.
Wakuu ninaomba tubadilishane uzoefu katika eneo hili.
Ni aina gani ya madini yanayopatikana katika eneo unaloishi, ambalo ulishawahi kuishi, ulilotoka au unalolifahamu?.
Ni vyema kama unafahamu ukaongezea na nyama nyama kama vile kijiji, changamoto za kufika/kuishi kwenye eneo husika n.k.
Ni katika kubadilishana uzoefu tu na kujaribu kufunguana vichwa juu ya fursa zilizoko ndani ya nchi yetu ili atakaye weza azichangamkie.
Natanguliza shukrani.
Ni ukweli ulio wazi kwamba kwenye nchi yetu ya Tanzania karibu kila wilaya kuna madini ya aina fulani yenye thamani.
Wakuu ninaomba tubadilishane uzoefu katika eneo hili.
Ni aina gani ya madini yanayopatikana katika eneo unaloishi, ambalo ulishawahi kuishi, ulilotoka au unalolifahamu?.
Ni vyema kama unafahamu ukaongezea na nyama nyama kama vile kijiji, changamoto za kufika/kuishi kwenye eneo husika n.k.
Ni katika kubadilishana uzoefu tu na kujaribu kufunguana vichwa juu ya fursa zilizoko ndani ya nchi yetu ili atakaye weza azichangamkie.
Natanguliza shukrani.