Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Bila hati Hatua pati pesa huu ni unyanyasajiila hizi bank ifike mahali waanze kutuangalia tusio na nyumba na viwanja vyenye hati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila hati Hatua pati pesa huu ni unyanyasajiila hizi bank ifike mahali waanze kutuangalia tusio na nyumba na viwanja vyenye hati
5m ninayotoa ofisini sio kwamba ni Fixed Capital mkuu, hiyo ni balance ambayo ipo kuipa backup original Capital incase imeyumba ndio mana naweza chomoa 5m na biashara ikaendelea.maana malengo yangu nitoe mtaji wangu ofisini kama 3m-5m nijenge room chumba na sebule,then niende bank wanipe 30m nikitoa 5m nikirudsha kwenye mtaji nabaki na 25m ambazo zinantosha sana.[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Kwa mtaji huo the most utapata 5 mpaka 10
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mkubwa tu, yaani BANK wanataka uwe financialy stable ndio wakukopeshe, sasa maana ya mkopo ni nini au hawa ndugu zetu hawaelewi maana ya Mkopo?Bila hati Hatua pati pesa huu sini unyanyasaji
Wangekuwa wanaangalia Mtaji tu wakaacha Nyumba ile BANK STATEMENT yangu tu ingetosha kunipa pesa ambayo hata wangenipa ningeikataa maana ingekuwa ni tamaa kuipokea.
Naomba muwaite walidadavue zaiditena mkubwa tu,yani BANK wanataka uwe financialy stable ndio wakukopeshe,sasa maana ya mkopo ni nini au hawa ndugu zetu hawaelewi maana ya Mkopo?
1. Bank Statement kwa mwezi 100m-150mBank statement yako inazungusha kiasi gani kwa mwezi
Una mtaji wa bei gani?
Una miliki kitu gani kingine?
Kwa kuanzia huwezi pewa hiyo pesa wakikupa nyingi sana ni 10M tena kwa madhumuni ya kuendeleza biashara
Sent using Jamii Forums mobile app
Benki sio shirika la kujitolea wala msaada. Wewe kwenye biashara yako huwa unakopesha mdada jobless asiye na makazi maalum ambaye muda wowote anabebwa na mhuni akafanye sogea tuishi?ila hizi bank ifike mahali waanze kutuangalia tusio na nyumba na viwanja vyenye hati
Kanisa linalipa kwani watakao kuja kusali na kuombewa ndio watakaolipa deni.Habari zenu wakuu,nimerudi tena kuuliza swala ambalo limekua likinipa shida sana mwezi huu nadhani akili imewaka mpaka sasa sijui mwisho ila sijakata tamaa.
Nilifungua huu uzi hapa chini nikiomba msaada kwa mwenye msaada anisaidie kunipa nyumba yake nichukulie mkopo, Bank nilizoenda zote walikataa nyumba ya mtu ambae ni mwana familia.
Mkopo kwa dhamana ya nyumba, Msaada wenye Nyumba
Habari zenu wana jamiii, ni matumaini yangu mu wazima wa afya tele. Nina Shida ya Pesa ya dharura nimejaribu kukopa kwa watu binafsi hawana, katika taasisi nao wanahitaji dhamana (hasa nyumba). Nimefika Bank CRDB nimewambia hitaji langu,wakaniambia mahitaji kwa mfanyabiashara kama mimi, Vyote...www.jamiiforums.com
Baada ya kugonga mwamba niliwashukru walioweza jitoa muhanga kuniamini eneo hilo mpaka mtu anaridhia kukupa hati yake ya nyumba sio masihara ndugu zangu Jamii Forum ina watu na Malaika hakika.
Basi baada ya kukaa kutafakari nimerudi tena kwenu kuuliza wajuzi...
Bank wanahitaji Mtu uwe na kiwanja ulichokiendeleza, nikawaza haraka haraka Je nikiamua kuinua nyumba ya kawaida kabisa kwa bajeti ya 3m-5m nitoe room ya vyumba vitatu tu. au chumba na sebule
Hapa naongelea nyumba ya kawaida kabisa kabisa isiyo na chembe ya mbwembwe aina yoyote ile very local house lakini perfect one ambayo mtu anaweza kuishi vizuri tu.
Je,kwa nyumba ya Chumba na Sebule na Choo au Chumba,Sebule,Sebule , kisha Baada ya kumaliza hiyo nyumba nirudi bank tena sasa kukopa.
Hii nyumba itakubalika au watataka nyumba kubwa kabiisaa hii yangu wataiona kibanda? na Je nikishaijenga nilazima niingie nianze kuishi hapo au nikiinua tu nikaimaliza inatosha?
Labda sijaeleweka swali, nauliza kwa nyumba hyo mkopo nitapewa? Maana bank wanaweza nipa up to 30m kwasasa kulingana na mzunguko wangu wa biashara.
Je hizi 30m wakija kuangalia nyumba wakikuta ni Local,hawatoninyima? naomba msaada wa mawazo wakuu.
maana malengo yangu nitoe mtaji wangu ofisini kama 3m-5m nijenge room chumba na sebule,then niende bank wanipe 30m nikitoa 5m nikirudsha kwenye mtaji nabaki na 25m ambazo zinantosha sana.
Mawazo yenu ndugu zangu,nina hesabu ambazo sielewi nauliza ili nipate uhakika nisije choma mtaji biashara ikafa nikaishia kubaki na nyumba ambayo hata si ya ndoto au hata mawazo yangu.
asanteni kwa mtakaoshiriki kunishauri
Kwamba nifungue kanisa?Kanisa linalipa kwani watakao kuja kusali na kuombewa ndio watakaolipa deni.
Maana yangu ni waangalie masharti tu mkuu, mbona kwenye simu online siku hizi kuna vimikopo na app zipo kibao unaanza kopa anzia kiasi kidogo hivyo hivyo hadi unapanda kwa kujidhamini mwenyewe tu, kwanini bank wao wanashindwa?Benki sio shirika la kujitolea wala msaada. Wewe kwenye biashara yako huwa unakopesha mdada jobless asiye na makazi maalum ambaye muda wowote anabebwa na mhuni akafanye sogea tuishi?
Hiyo ni biashara na ina misingi, sio huruma
Hata hiyo umependelewa mkuu..inabidi iwe below hapo kwenye mil 6. Jamaa yangu ana nyumba yenye thamani ya Tsh 35, alipewa mil 17.Kama dhamana ina thamani labda ya 10mil unaweza pewa 6mil
Hizo nyingine zilipelekwa wapiHata hyo umependelewa mkuu..inabid iwe below hapo kwenye mil 6. Jamaa angu ana nyumba yenye thamani ya Tsh 35,alipewa mil 17.
Siyo lazima uwe na nyumba, kama umewekeza pesa pia kwenye dhamana za Serikali (Government bonds) unatumia ile hati kuombea mkopo benki nyingine.ila hizi bank ifike mahali waanze kutuangalia tusio na nyumba na viwanja vyenye hati
Sijakopa nimetoa tu mfanoHata hyo umependelewa mkuu..inabid iwe below hapo kwenye mil 6. Jamaa angu ana nyumba yenye thamani ya Tsh 35,alipewa mil 17.
😂😂😂Unatutamanisha Kati watu viwanja tuko navyo hatuna hati tunataka mkopo😂Sijakopa nimetoa tu mfano
Ili mkope tu pesa za watu alafu mtokomee 😄😂😂😂Unatutamanisha Kati watu viwanja tuko navyo hatuna hati tunataka mkopo😂
Ok sawa nimekupata vema lakini wanakuwa na ma QS wao wa kutathmini thamani halisi ya nyumba5m ninayotoa ofisini sio kwamba ni Fixed Capital mkuu, hiyo ni balance ambayo ipo kuipa backup original Capital incase imeyumba ndio mana naweza chomoa 5m na biashara ikaendelea.
ila kama watanipa 5m to 10m watakua wamenipunja sitokua na haja ya ku risk this much kwa pesa ambayo siko na uhakika itakuja au lah.
Government Bonds hata sizijui mkuu, hebu nifungue macho eneo hilo nijipatie chakujiongezea point labda huko mbeleni.Siyo lazima uwe na nyumba,kama umewekeza pesa pia kwenye dhamana za serikali (Government bonds) unatumia ile hati kuombea mkopo benki nyingine.
Nyumba ni backup incase mtaji umeyumba lakini pia ni commitment ya urejeshaji mkopoWangekua wanaangalia Mtaji tu wakaacha Nyumba ile BANK STATEMENT yangu tu ingetosha kunipa pesa ambayo hata wangenipa ningeikataa maana ingekua n tamaa kuipokea.