Aina gani ya Nyumba inayofaa Kuchukulia Mkopo Bank?

5m ninayotoa ofisini sio kwamba ni Fixed Capital mkuu, hiyo ni balance ambayo ipo kuipa backup original Capital incase imeyumba ndio mana naweza chomoa 5m na biashara ikaendelea.

Ila kama watanipa 5m to 10m watakuwa wamenipunja sitokuwa na haja ya ku risk this much kwa pesa ambayo siko na uhakika itakuja au lah.
 
Bank statement yako inazungusha kiasi gani kwa mwezi
Una mtaji wa bei gani?
Una miliki kitu gani kingine?
Kwa kuanzia huwezi pewa hiyo pesa wakikupa nyingi sana ni 10M tena kwa madhumuni ya kuendeleza biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Bank Statement kwa mwezi 100m-150m

2. Mtaji 60m

3. Namiliki kiwanja Tu (Mali isiyohamishika) Zinazohamishika ni Biashara ya Piki Piki (Boda Boda) zipo 11..

Kunipa hela chini ya 20m bora niukose huo mkopo.
 
ila hizi bank ifike mahali waanze kutuangalia tusio na nyumba na viwanja vyenye hati
Benki sio shirika la kujitolea wala msaada. Wewe kwenye biashara yako huwa unakopesha mdada jobless asiye na makazi maalum ambaye muda wowote anabebwa na mhuni akafanye sogea tuishi?
Hiyo ni biashara na ina misingi, sio huruma
 
Kanisa linalipa kwani watakao kuja kusali na kuombewa ndio watakaolipa deni.
 
Benki sio shirika la kujitolea wala msaada. Wewe kwenye biashara yako huwa unakopesha mdada jobless asiye na makazi maalum ambaye muda wowote anabebwa na mhuni akafanye sogea tuishi?
Hiyo ni biashara na ina misingi, sio huruma
Maana yangu ni waangalie masharti tu mkuu, mbona kwenye simu online siku hizi kuna vimikopo na app zipo kibao unaanza kopa anzia kiasi kidogo hivyo hivyo hadi unapanda kwa kujidhamini mwenyewe tu, kwanini bank wao wanashindwa?
 
ila hizi bank ifike mahali waanze kutuangalia tusio na nyumba na viwanja vyenye hati
Siyo lazima uwe na nyumba, kama umewekeza pesa pia kwenye dhamana za Serikali (Government bonds) unatumia ile hati kuombea mkopo benki nyingine.
 
Ok sawa nimekupata vema lakini wanakuwa na ma QS wao wa kutathmini thamani halisi ya nyumba
Vilevile wanaangalia mtaji
Kisha mapato yako kwa mwezi
Na mwisho mzunguko wako wa cash kwa mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo lazima uwe na nyumba,kama umewekeza pesa pia kwenye dhamana za serikali (Government bonds) unatumia ile hati kuombea mkopo benki nyingine.
Government Bonds hata sizijui mkuu, hebu nifungue macho eneo hilo nijipatie chakujiongezea point labda huko mbeleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…