Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Dah kuna watu watapeleka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kuna watu watapeleka
kule chini pako mara mbili.Kuna watu wataweka nywele za chini..😂
Bado wapeleke mavi tuukule chini pako mara mbili.
Halafu kwenye mahubiri anamponda kalumanzila
Vuzi halifai???
Dini ya kweli ni kwenda kuwatembelea wagonjwa wasiojiweza Mahospitalini, kuwafariji na kuwapatia mahitaji yao binafsi kadri ulivyobarikiwa na Mungu.Mungu alimuumba binadamu kama kiumbe Bora kabisa akakipa ufahamu na uelewa ili kiweze kutambua wema na ubaya, mbaya zaidi tumeitupa tunu tuliyojaaliwa Allah au Mungu wetu, tumeshindwa kutofautisha Mungu wetu ni yupi na shetani ni yupi.
MUNGU ATUFUNGILIE HEKIMA NA UELEWA TUNAOUKWEPA KWA KUTAABISHWA NA UJANJA/HILA CHAFU ZA SHETANI, AMEN.
Hajafungwa yuko mahabusu kwanza ili asimalize mkorogo mtaaniMfalme zumaridi walimuonea tu kumfunga
Naona tunaana kurudi kwenye dini zetu asili..safi sana suguye.Uganga uliochangamka au advanced tambiko la kiafrika
kanisa linakufaa hili mtaalamuVinasaba kwenye nywele, uhai wake na malighafi bora ya wachawi
Nywele mojawapo ya 'viungo' vya mwili ama mazao ya mwili ni mojawapo ya malighafi muhimu kiroho na kimwili pia.... Nywele hizi za kichwani huota toka kwenye ngozi ya kichwa ambapo ndani yake ndio kumebeba software ya ufahamu na utambuzi wa kiumbehai... Nywele nyingine zimeota juu ya ngozi ambayo...www.jamiiforums.com
Baada ya hapo usishangae wakiagizwa waje na mnyama(ng'ombe,mbuzi,kondoo au kuku) pamoja na pombe za asili (mbege, rubisi, wanzuki nk) ili kutakaswaNaona tunaana kurudi kwenye dini zetu asili..safi sana suguye.
#MaendeleoHayanaChama
Hahahakanisa linakufaa hili mtaalamu
Hili la Chadema, Chadema kila wakati...nadhani unahitaji kumwona Mwanasaikolojia. Hauko sawa japo mwenyewe unaona uko sawa.Wabunge wa Chadema watahudhuria wote
Nadhani ndio walengwa!