Àina tatu za urefu wa mapaa hizi hapa wewe unachagua paa liende juu vipi

Àina tatu za urefu wa mapaa hizi hapa wewe unachagua paa liende juu vipi

Mapaa hayawezi kufanana,Kwa kuzingatia Hali ya hewa ilivyo tofauti.Hata hivyo namba 1 ni standard.Sijaelewa Kwa nini mapaa ya miradi ya serikali wanachukua namba 2.Halafu Namba 3 zimejaa Kanda ya Ziwa kuanzia Kahama na Katibu kipo Geita na Katoro.Nilimwambia fundi alipunguze maana lilikuwa kama mnara.Ila kuna maelezo ya Mafundi kwamba namba 3 wanajihami na Ndege anayehatibu Paa Kwa kujisaidia kwenye Paa na kinyesi chake kinatoboa bati.Bado natafiti sababu.
 
Nyumba ya mtu binafsi anayejiekewa number 1,ya serekare number 2 ya washamba waliozifumania hela number 3.

Serekali ukiwapaulia number 3 utaifumua na kupaua upya kwa pesa zako
duh umepatia kweli maelezo yako. Mimi binafsi napenda hio namba 2. Mafundi hawanielewi.
 
duh umepatia kweli maelezo yako. Mimi binafsi napenda hio namba 2. Mafundi hawanielewi.
Nimetumia namba mbili ila mafundi walinibishia sana. Nikaanza kuona kama nimebugi ivi. Ila naona kama moja ni bora zaidi
 
No 1 is the best,japo kila mtu na kipaumbele chake
 
Namba 3, muda wote utakuwa unatamani kurudi nyumbani mapema; hakuna kushinda bar
 
View attachment 3043766
Chagua Mwinuko unaopendeza kwenye Boma. yaan Standard nzuri ya kuvutia👇

_Sisi tunajua tuinue vip Paa ambayo ipo kwenye Bonde

_Sisi tunajua tuinue vip paa ambayo lipo kwenye Mwiinuko/mlimani

_Sisi tunajua tuinue vip paa ambaya ipo kwenye Ta mbarale

_Na Pia kuzingati Barabara za mitaa kuwepa vivutio kwenye paa
KARIBU TUEZEKE PAMONA KWA KAZI ZA UHAKIKA
Karibu nipigie fundi mapaa James ofisi yangu ipo ukonga banana 0743257669
Mikoani unatuma?
 
Nimetumia namba mbili ila mafundi walinibishia sana. Nikaanza kuona kama nimebugi ivi. Ila naona kama moja ni bora zaidi
Hapo kama umechunguza aina ya nyumba ina matter. Namba moja na tatu unaweza kutumia style namba 1. Namba 2 ili ipendeze inabidi utumie hio hio style 2 ya serikali , na mimi nyumba ninazojenga huwa ziko box style hazina konakona, hivyo namba mbili inapendeza. Ila nyumba zenye konakona kama namba 1 na 3 style 1 inafaa sana. style namba 3 kama alivyosema mdukuzi ni ya kishamba inafaa washamba.
 
Namba 3 mapaa ya geita na kanda ya ziwa kwa ujumla bila kuisahau gairo
 
Mapaa hayawezi kufanana,Kwa kuzingatia Hali ya hewa ilivyo tofauti.Hata hivyo namba 1 ni standard.Sijaelewa Kwa nini mapaa ya miradi ya serikali wanachukua namba 2.Halafu Namba 3 zimejaa Kanda ya Ziwa kuanzia Kahama na Katibu kipo Geita na Katoro.Nilimwambia fundi alipunguze maana lilikuwa kama mnara.Ila kuna maelezo ya Mafundi kwamba namba 3 wanajihami na Ndege anayehatibu Paa Kwa kujisaidia kwenye Paa na kinyesi chake kinatoboa bati.Bado natafiti sababu.
Geita fundi ukimpa tenda ajenge kwa mtindo wa namba2 anakataa kwamba unamuharibia cv watu wakiuliza nani kapaua🤣🤣
 
roof pitch hutegemea urefu wa kingpost na upana wa nyumba kuna aina mbili za roof pitch ambazo ni design zilizo zoeleka ni namba 2 au namba 1. designa anaangalia na head room ya jengo aweke ipi

aina ya 3 imezoeleka kwa nchi zenye baridi kali na hii huweka acess ya room huko juu. yaani kuna karoom kakishkaji huko darini. sasa sisi na ushamba wetu tuna copy na kupaste hatujui logic ya paa la aina hiyo unapandisha paa kwenda juu kama sinagogi humo ndani unaweka nn kama sio ushamba??!. labda kama unafuga misukule ndani.

istoshe kusema mm nikiona mtu amepaua na aina ya tatu namuona mshamba mno hata kama unahela ndo upaue nyumba kama sinagogi kweli 😂😂😂 hizi zinapauliwa na mikoa ya unyakyusani na usukumani sana sana
 
Hapo kama umechunguza aina ya nyumba ina matter. Namba moja na tatu unaweza kutumia style namba 1. Namba 2 ili ipendeze inabidi utumie hio hio style 2 ya serikali , na mimi nyumba ninazojenga huwa ziko box style hazina konakona, hivyo namba mbili inapendeza. Ila nyumba zenye konakona kama namba 1 na 3 style 1 inafaa sana. style namba 3 kama alivyosema mdukuzi ni ya kishamba inafaa washamba.
Kuna Bwana mdogo huku kitaa amepaua kwa mtindo namba 3. Ramani ya nyumba yake ni kali sana sema amekuja kuharibu kwenye paa tu.
 
Hapo kama umechunguza aina ya nyumba ina matter. Namba moja na tatu unaweza kutumia style namba 1. Namba 2 ili ipendeze inabidi utumie hio hio style 2 ya serikali , na mimi nyumba ninazojenga huwa ziko box style hazina konakona, hivyo namba mbili inapendeza. Ila nyumba zenye konakona kama namba 1 na 3 style 1 inafaa sana. style namba 3 kama alivyosema mdukuzi ni ya kishamba inafaa washamba.
Yaani kuna watu wameharibu thamani ya nyumba zao kisa paa number 3
 
samahani mleta mada nipo nje ya mada kidogo,mimi ni fundi wa kufunga cctv camera,electric fence,gate motor pamoja na video door bell,kwa mwenye kuhitaji huduma naomba tuwasiliane kwa namba 0622667749 au 0674376787 nipo Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom