Aina ya Bangi inayovutwa Tanzania imeachwa kuvutwa Marekani na ulaya tangu miaka ya 1970, watanzania wanaendelea kuvuta na kuyasifia makapi

Nilivutaga bangi, heart rate ilipanda kwa kasi ya 5G nikakaa chini nikalala na ni kitu ambacho hakikuwahi nitokea kabla.

Nikaja nikajaribu mara ya pili siku tofauti ikawa vile vile... Nika quit sijawahi tena kugusa hayo madude miaka sasa, na hata mtu akiwa anavuta huwa nakaa mbali.
 
Kwa hapa bongo sikushauri kabisa uvute,
 
Tena wanazovuta huko mitaani ndio uchafu.
Bangi ina miti,mbegu n.k
Unakuta kijana mwili umekauka midomo myeusii, macho yamebadilika... Sasa maisha gani hayo...
Kama mtu huna elimu ya unachotamani kukitumia ni heri utumie hata mwaka kujielimisha kuliko kukurupuka.

Vijana wengi tu tushaona wanawehuka kwa hizi hizi bange lakini huko Marekani hakuna tatizo mpaka Elon Musk anavuta fresh tu, hapo ndio inabidi uchimbe zaidi kwa kujipa elimu na utakuja gundua mengi ikiwemo hili la kwenye huu uzi.
 
Waambie watafute mushroom kama Wameshindwa Bangi (Hallucin mushroom iko Vizuri)
 
Bange za huko nyingi zimeshafanyiwa mambo mengi ni ma GMO ndo maana kwa sasa wanaanza kuruhusu bangi nchi nyingi wana agenda zao,, wamarekani weusi wanadai nyingi zinacheza na hormone ndo maana wanaume wengi wanakua mashoga, hizo sio nzuri bora tu uvute jani lako la matombo hio ndo weed kweli ipo vilevile tokea ilivyoumbwa, za nje nyingi kwa sasa ni GMO zimefanyiwa michezo mingi maabara

View: https://youtu.be/u2MIdcsuNAQ?si=rTHWkQEFwZTpdwKA
 
sito sahau siku niliyo vuta bhangi kwa mara ya kwanza... nika kanyaga ugali kisha nikanywa mboga 🤣🤣🤣
 
Inamaana bangi inafaa Kwa wagonjwa wa MOYO wenye low blood pressure?
 
Inamaana bangi inafaa Kwa wagonjwa wa MOYO wenye low blood pressure?
Inapandisha blood pressure lakini sina utaalamu huo kwamba wenye low blood pressure watumie.
Nadhani kuna dawa maalumu wanaweza kutumia.
 
Huyo katafuta tu kichaka cha kuficha aibu ya kupenda kulaliwa na wanaume wenzake, wamarekani weusi kibao wanavuta bange na wapo straight kama mshale.
 
Kula Chuma Hicho..!!!
 

Attachments

  • 7bu Ya Mashada Dah Na Ma Weed Dih.... ( 937 X 750 ).mp4
    2.2 MB
Umetoa povu sana hadi mishipa imekutoka utafikiri kuna la maana umeandika, kwani kuku unayekula Tanzania ni sawa na kuku wa marekani? Acha watu wale tarime one na skanka na marekani wale bangi jike lao
 
Nimesikitishwa sana na huu uzi
Yan makapi wakati yanaharibu watu
Dah kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…