Tunaopenda muvi za X je tutakuwa ma porn star au?Habari wana JF
Nimejaribu kufuatilia na nikagundua kuwa aina ya movie unazozipenda ndivyo tabia yako ilivyo. Maana unapofuatilia zile movie kuna vitu unachukua na kufanya kwenye maisha halisi. Hii ni mifano michache niliyogundua;
1.WANAOPENDA MOVIE ZA KIHINDI
★Huwa na mapenzi ya kweli
★Hupenda sana visasi
2.WANAOPENDA MOVIE ZA KIZUNGU
★Huwa hawatulii na mpenzi mmoja
★Hupenda ugomvi
★Hujiona wanajua kila kitu
3. WANAOPENDA MOVIE ZA KIKOREA
★Huwa na mapenzi ya kweli
★Hupenda kuishi maisha ya kuwa viongozi au watoto wa viongozi
4.WANAOPENDA MOVIE ZA KUTISHA
★Hupenda wawe na nguvu za ziada
★Huwa na mawazo ya kusadikika au huwaza mambo yasiyokuwepo
5. WANAOPENDA MOVIE ZA KIBONGO
★Ni waongo
★Hupenda kuigiza maisha yasiyokuwa yao
Karibuni tujadili kama nawe unaamini hivyo au una maoni tofauti
bila shaka unakaa uswahiliniNapenda movie za Action
walaa niko zangu Masasi.bila shaka unakaa uswahilini
Lakini umekaa sana uswahilini ,,,,,,halafu kwa nini unachukia sana wanaume?walaa niko zangu Masasi.
napenda series za action hasa za kikorea.
historical.
napenda kama za The xpendables,Ip Man ,ninjaz vitu kama hivo.
Wewe MTanzania sijawahi kuishi uswazi niko shambani tangu mdogo.Lakini umekaa sana uswahilini ,,,,,,halafu kwa nini unachukia sana wanaume?
Naunga mkono hoja kwa kile unachokisema maana chanzo cha mm kuwa mchawi in hz movie za kutisha zilinivutiaHabari wana JF
Nimejaribu kufuatilia na nikagundua kuwa aina ya movie unazozipenda ndivyo tabia yako ilivyo. Maana unapofuatilia zile movie kuna vitu unachukua na kufanya kwenye maisha halisi. Hii ni mifano michache niliyogundua;
1.WANAOPENDA MOVIE ZA KIHINDI
★Huwa na mapenzi ya kweli
★Hupenda sana visasi
2.WANAOPENDA MOVIE ZA KIZUNGU
★Huwa hawatulii na mpenzi mmoja
★Hupenda ugomvi
★Hujiona wanajua kila kitu
3. WANAOPENDA MOVIE ZA KIKOREA
★Huwa na mapenzi ya kweli
★Hupenda kuishi maisha ya kuwa viongozi au watoto wa viongozi
4.WANAOPENDA MOVIE ZA KUTISHA
★Hupenda wawe na nguvu za ziada
★Huwa na mawazo ya kusadikika au huwaza mambo yasiyokuwepo
5. WANAOPENDA MOVIE ZA KIBONGO
★Ni waongo
★Hupenda kuigiza maisha yasiyokuwa yao
Karibuni tujadili kama nawe unaamini hivyo au una maoni tofauti
na hilo swali la pili je?Wewe MTanzania sijawahi kuishi uswazi niko shambani tangu mdogo.
kuwa muelewa
Aisee kwaiyo hapa tabia yako itakua ipi?Kuna movies zinapatikana xvideos ndiyo ugonjwa wangu huo
Kwanza kabisa unadhani Movie nyingi za Ghana na Nigeria huwa zina story za aina gani mara nyingi ? Visa vya mapenzi, usaliti,uchawi au?Na vipi wanaopenda muvi za Nigeria? Ghana?
Kuna series za kichawi kama Merlin hao unawazungumziaje?
Ana tabia ya kupenda sifana aliyepiga stop movie za kigeni
Yap uwezekano huo upo.me napenda zakikorea zile za kibabe nahisi ntakua nimebeba vyote viwili mapenzi ya dhati alafu ni mbabe Hahahaha
Mie pia napenda za kihindi hasa kwenye kipengele cha star wa movie anapoamua kufanya lolote ili aweze kumpata yule ampendae au kufanya lolote kulinda penzi lake. Na kuhusu vikota ndiyo nakufa kabisa.....Mie napenda za kihindi nduki
Ni watu wanaopenda uongo uongo mwingi na hupenda kupiganaVp za kichina