Aina ya movie unazopenda ndiyo tabia yako ilivyo

Aina ya movie unazopenda ndiyo tabia yako ilivyo

Habari wana JF

Nimejaribu kufuatilia na nikagundua kuwa aina ya movie unazozipenda ndivyo tabia yako ilivyo. Maana unapofuatilia zile movie kuna vitu unachukua na kufanya kwenye maisha halisi. Hii ni mifano michache niliyogundua;

1.WANAOPENDA MOVIE ZA KIHINDI
★Huwa na mapenzi ya kweli
★Hupenda sana visasi

2.WANAOPENDA MOVIE ZA KIZUNGU
★Huwa hawatulii na mpenzi mmoja
★Hupenda ugomvi
★Hujiona wanajua kila kitu


3. WANAOPENDA MOVIE ZA KIKOREA
★Huwa na mapenzi ya kweli
★Hupenda kuishi maisha ya kuwa viongozi au watoto wa viongozi


4.WANAOPENDA MOVIE ZA KUTISHA
★Hupenda wawe na nguvu za ziada
★Huwa na mawazo ya kusadikika au huwaza mambo yasiyokuwepo


5. WANAOPENDA MOVIE ZA KIBONGO
★Ni waongo
★Hupenda kuigiza maisha yasiyokuwa yao


Karibuni tujadili kama nawe unaamini hivyo au una maoni tofauti
Tunaopenda muvi za X je tutakuwa ma porn star au?
 
Habari wana JF

Nimejaribu kufuatilia na nikagundua kuwa aina ya movie unazozipenda ndivyo tabia yako ilivyo. Maana unapofuatilia zile movie kuna vitu unachukua na kufanya kwenye maisha halisi. Hii ni mifano michache niliyogundua;

1.WANAOPENDA MOVIE ZA KIHINDI
★Huwa na mapenzi ya kweli
★Hupenda sana visasi

2.WANAOPENDA MOVIE ZA KIZUNGU
★Huwa hawatulii na mpenzi mmoja
★Hupenda ugomvi
★Hujiona wanajua kila kitu


3. WANAOPENDA MOVIE ZA KIKOREA
★Huwa na mapenzi ya kweli
★Hupenda kuishi maisha ya kuwa viongozi au watoto wa viongozi


4.WANAOPENDA MOVIE ZA KUTISHA
★Hupenda wawe na nguvu za ziada
★Huwa na mawazo ya kusadikika au huwaza mambo yasiyokuwepo

5. WANAOPENDA MOVIE ZA KIBONGO
★Ni waongo
★Hupenda kuigiza maisha yasiyokuwa yao


Karibuni tujadili kama nawe unaamini hivyo au una maoni tofauti
Naunga mkono hoja kwa kile unachokisema maana chanzo cha mm kuwa mchawi in hz movie za kutisha zilinivutia
 
Na vipi wanaopenda muvi za Nigeria? Ghana?
Kuna series za kichawi kama Merlin hao unawazungumziaje?
Kwanza kabisa unadhani Movie nyingi za Ghana na Nigeria huwa zina story za aina gani mara nyingi ? Visa vya mapenzi, usaliti,uchawi au?

Kuhusu series za kichawi ni kwamba mtu anayependa movie hizo hupenda mambo ya kufikirika na pia hutamani kuwa na uwezo wa kimaajabu.
 
Mie napenda za kihindi nduki
Mie pia napenda za kihindi hasa kwenye kipengele cha star wa movie anapoamua kufanya lolote ili aweze kumpata yule ampendae au kufanya lolote kulinda penzi lake. Na kuhusu vikota ndiyo nakufa kabisa.....
 
Back
Top Bottom