Aina ya uongozi wa Rais Samia unafaa kwenye nchi au taifa lenye taasisi imara na huru lililojengwa katika msingi imara wa Kikatiba

Aina ya uongozi wa Rais Samia unafaa kwenye nchi au taifa lenye taasisi imara na huru lililojengwa katika msingi imara wa Kikatiba

The Palm Tree

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
7,951
Reaction score
12,541
[A.] Mahojiano ya BBC na Rais wa Tanzania, Bi. Samia Suluhu Hassan yanatafakarisha sana...

Mimi sifanyi tathmini ya aidha amejibu maswali vibaya au vizuri. Ninchotaka kusema ni kuwa, yamefunua vitu vipya incase kama mtu haja - notice. Nitaeleza;

1. Huyu mama kuna kila dalili kuwa she's a honest woman. Anapenda haki. Hapendi mtu anyanyasike. Anapenda mtu ahukumiwe kwa haki popote wakati wowote.

2. Kwa sababu hiyo #1 hapo huu, anawaaamini wasaidizi wake wote na chochote anachokipokea toka kwao kama ushauri au maelekezo kuhusu siasa, usalama, uchumi, jamii nk. ili yeye kama Rais atoe maamuzi au achukue hatua. THIS IS THE GREATEST MISTAKE OF HER LIFE.

[B.] Mpaka hapo ndugu yangu unisomaye unaweza kuanza kuiona hoja yangu, kwamba, ni kweli huyu mama aweza kuwa ni kiongozi mzuri lakini anaangushwa na mfumo mbaya wa nchi wa kisheria na kikatiba ambao unazaa taasisi dhaifu na zisizohuru za kuongoza nchi.

[C.] Chunguza majibu ya maswali yote aliyoyajibu juzi alipohojiwa na BBC.

Hatupaswi kumlaumu kuwa ni mjinga na katudanganya mchana kweupe. Ukweli ni kuwa amejibu sawasawa kwa sababu ndizo taarifa alizonazo kutoka kwa wanaopaswa kumpa hizo taarifa...!

Sasa kapewa taarifa sahihi au siyo sahihi, hiyo ni ishu nyingine yenye mjadala tofauti...

Ila kwa sasa itoshe tu kusema kuwa, kwa mfumo wetu wa dhaifu na mbovu wa kisheria na kikatiba, umezaa taasisi dhaifu na zisizo huru ambazo zinatazama uelekeo na mapenzi ya kiingozi mkuu (Rais) wa nchi na zenyewe kufuata mkondo huo...

[D.] Pamoja na udhaifu huu wa kisheria na kikatiba wa nchi yetu, marais wa awamu ya 1, 2, 3 na 4 ingalau walikuwa na aibu na haya kidogo kutumia udhaifu wa kikatiba kuleta unajisi katika nchi.

Busara na hekima binafsi za Marais hawa zilizuia kukiukwa kwa utawala wa kisheria kwa kiwango fulani (msisitizo ni "kwa kiwango fulani")...

Awamu ya 5 ilipoingia madarakani mwaka 2015 chini ya Rais John P. Magufuli, things turned upside down. Huyu hakuwa na busara wala hekima. Alitumia kikamilifu mapungufu/madhaifu ya katiba ya 1977 kujaribu kuingiza utawala wa kimla Tanzania...

Alifanikiwa kwa kiasi kikubwa. Bahati njema ni kuwa, alikufa miezi karibu mitano iliyopita. Lakini masalia ya utawala wake yangalipo na kwa sasa yanajitokeza kwa kasi ya 5G ndani ya utawala wa huyu mwanamama...

Kilichotokea ktk mahojiano ya juzi kati ya BBC na Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu ni picha halisi kuwa, " umagufulism" bado upo na unatawala ndani ya huyu mama.

Na walishamteka na yeye ameshakubali. Kama hatageuka na kushituka haraka, tufahamu kuwa, the worst is coming....!

Kwa mwenendo huu, huyu mama kamwe hataona umuhimu wa katiba mpya ya wananchi...!!
 
Kwani nyie mnaolalamika na nyie mpo kwenye kundi letu la wasukuma si mlisema tunanyooshwa
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
 
Watanzania hatujui tunataka nini, kwa hali hii hata akiletwa aliyewahi kuwa best president USA basi usishangae jamaa zetu wakamuita kilaza hana uwezo na kejeli zote.....kuna hatari watu hawa hata wote tukachagua yule ambaye ni chaguo lao wakaja kusema naye ni kilaza hatufai...
 
[A.] Mahojiano ya BBC na Rais wa Tanzania, Bi. Samia Suluhu Hassan yanatafakarisha sana...

Mimi sifanyi tathmini ya aidha amejibu maswali vibaya au vizuri. Ninchotaka kusema ni kuwa, yamefunua vitu vipya incase kama mtu haja - notice. Nitaeleza;

1. Huyu mama kuna kila dalili kuwa she's a honest woman. Anapenda haki. Hapendi mtu anyanyasike. Anapenda mtu ahukumiwe kwa haki popote wakati wowote.

2. Kwa sababu hiyo #1 hapo huu, anawaaamini wasaidizi wake wote na chochote anachokipokea toka kwao kama ushauri au maelekezo kuhusu siasa, usalama, uchumi, jamii nk. ili yeye kama Rais atoe maamuzi au achukue hatua. THIS IS THE GREATEST MISTAKE OF HER LIFE.

[B.] Mpaka hapo ndugu yangu unisomaye unaweza kuanza kuiona hoja yangu, kwamba, ni kweli huyu mama aweza kuwa ni kiongozi mzuri lakini anaangushwa na mfumo mbaya wa nchi wa kisheria na kikatiba ambao unazaa taasisi dhaifu na zisizohuru za kuongoza nchi.

[C.] Chunguza majibu ya maswali yote aliyoyajibu juzi alipohojiwa na BBC.

Hatupaswi kumlaumu kuwa ni mjinga na katudanganya mchana kweupe. Ukweli ni kuwa amejibu sawasawa kwa sababu ndizo taarifa alizonazo kutoka kwa wanaopaswa kumpa hizo taarifa...!

Sasa kapewa taarifa sahihi au siyo sahihi, hiyo ni ishu nyingine yenye mjadala tofauti...

Ila kwa sasa itoshe tu kusema kuwa, kwa mfumo wetu wa dhaifu na mbovu wa kisheria na kikatiba, umezaa taasisi dhaifu na zisizo huru ambazo zinatazama uelekeo na mapenzi ya kiingozi mkuu (Rais) wa nchi na zenyewe kufuata mkondo huo...

[D.] Pamoja na udhaifu huu wa kisheria na kikatiba wa nchi yetu, marais wa awamu ya 1, 2, 3 na 4 ingalau walikuwa na aibu na haya kidogo kutumia udhaifu wa kikatiba kuleta unajisi katika nchi.

Busara na hekima binafsi za Marais hawa zilizuia kukiukwa kwa utawala wa kisheria kwa kiwango fulani (msisitizo ni "kwa kiwango fulani")...

Awamu ya 5 ilipoingia madarakani mwaka 2015 chini ya Rais John P. Magufuli, things turned upside down. Huyu hakuwa na busara wala hekima. Alitumia kikamilifu mapungufu/madhaifu ya katiba ya 1977 kujaribu kuingiza utawala wa kimla Tanzania...

Alifanikiwa kwa kiasi kikubwa. Bahati njema ni kuwa, alikufa miezi karibu mitano iliyopita. Lakini masalia ya utawala wake yangalipo na kwa sasa yanajitokeza kwa kasi ya 5G ndani ya utawala wa huyu mwanamama...

Kilichotokea ktk mahojiano ya juzi kati ya BBC na Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu ni picha halisi kuwa, " umagufulism" bado upo na unatawala ndani ya huyu mama.

Na walishamteka na yeye ameshakubali. Kama hatageuka na kushituka haraka, tufahamu kuwa, the worst is coming....!

Kwa mwenendo huu, huyu mama kamwe hataona umuhimu wa katiba mpya ya wananchi...!!
Katiba mpya itamfaa sana tumejifunza pia CCM hawakuuona umuhimu wa 'succession plan'
 
[A.] Mahojiano ya BBC na Rais wa Tanzania, Bi. Samia Suluhu Hassan yanatafakarisha sana...

Mimi sifanyi tathmini ya aidha amejibu maswali vibaya au vizuri. Ninchotaka kusema ni kuwa, yamefunua vitu vipya incase kama mtu haja - notice. Nitaeleza;

1. Huyu mama kuna kila dalili kuwa she's a honest woman. Anapenda haki. Hapendi mtu anyanyasike. Anapenda mtu ahukumiwe kwa haki popote wakati wowote.

2. Kwa sababu hiyo #1 hapo huu, anawaaamini wasaidizi wake wote na chochote anachokipokea toka kwao kama ushauri au maelekezo kuhusu siasa, usalama, uchumi, jamii nk. ili yeye kama Rais atoe maamuzi au achukue hatua. THIS IS THE GREATEST MISTAKE OF HER LIFE.

[B.] Mpaka hapo ndugu yangu unisomaye unaweza kuanza kuiona hoja yangu, kwamba, ni kweli huyu mama aweza kuwa ni kiongozi mzuri lakini anaangushwa na mfumo mbaya wa nchi wa kisheria na kikatiba ambao unazaa taasisi dhaifu na zisizohuru za kuongoza nchi.

[C.] Chunguza majibu ya maswali yote aliyoyajibu juzi alipohojiwa na BBC.

Hatupaswi kumlaumu kuwa ni mjinga na katudanganya mchana kweupe. Ukweli ni kuwa amejibu sawasawa kwa sababu ndizo taarifa alizonazo kutoka kwa wanaopaswa kumpa hizo taarifa...!

Sasa kapewa taarifa sahihi au siyo sahihi, hiyo ni ishu nyingine yenye mjadala tofauti...

Ila kwa sasa itoshe tu kusema kuwa, kwa mfumo wetu wa dhaifu na mbovu wa kisheria na kikatiba, umezaa taasisi dhaifu na zisizo huru ambazo zinatazama uelekeo na mapenzi ya kiingozi mkuu (Rais) wa nchi na zenyewe kufuata mkondo huo...

[D.] Pamoja na udhaifu huu wa kisheria na kikatiba wa nchi yetu, marais wa awamu ya 1, 2, 3 na 4 ingalau walikuwa na aibu na haya kidogo kutumia udhaifu wa kikatiba kuleta unajisi katika nchi.

Busara na hekima binafsi za Marais hawa zilizuia kukiukwa kwa utawala wa kisheria kwa kiwango fulani (msisitizo ni "kwa kiwango fulani")...

Awamu ya 5 ilipoingia madarakani mwaka 2015 chini ya Rais John P. Magufuli, things turned upside down. Huyu hakuwa na busara wala hekima. Alitumia kikamilifu mapungufu/madhaifu ya katiba ya 1977 kujaribu kuingiza utawala wa kimla Tanzania...

Alifanikiwa kwa kiasi kikubwa. Bahati njema ni kuwa, alikufa miezi karibu mitano iliyopita. Lakini masalia ya utawala wake yangalipo na kwa sasa yanajitokeza kwa kasi ya 5G ndani ya utawala wa huyu mwanamama...

Kilichotokea ktk mahojiano ya juzi kati ya BBC na Rais wa JMT Bi. Samia Suluhu ni picha halisi kuwa, " umagufulism" bado upo na unatawala ndani ya huyu mama.

Na walishamteka na yeye ameshakubali. Kama hatageuka na kushituka haraka, tufahamu kuwa, the worst is coming....!

Kwa mwenendo huu, huyu mama kamwe hataona umuhimu wa katiba mpya ya wananchi...!!
wewe hujielewi na wala hujui kuchambua mambo. rais huwa anapelekewa taarifa sahihi huwa hadanganywi, ila huwa anashauriwa kutwist mambo ili kwenye jamii ionekane kweli. mfano watu wanaweza mwambia rais mbowe tumpe kesi ya ugaidi na tuitwist vipi na wanakubaliana.
 
Back
Top Bottom