Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Eeh☹️Mama kabakiza jino moja tu la kutafunia mchicha yeye hata nyama robo iuzwe elfu kumi haoni shida
hawa ndio wapiga kura sasa! vijana mbwembwe tuNi dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya...
Hata hivyo bado unachakujivunia, kumbe kizazi cha maccm bado kipo kwa kiasiAcha matusi ya reja reja wewe chawa wa Mbowe Div 0
Tunaomba ushahidi wa hayo matusiChadema!
Mmetukana na kushambulia makabila (Sukuma gang,Wamachinga n.k)
Mmetukana na kushambulia dini na madhehebu (Wavaa kobazi,Upako n.k)
Mmetukana Kanda za watu (Ziwa, Zanzibar,Kusini n.k)
Mmetukana mikoa (Geita-Chato,Singida,Tabora,Kigoma)
Mmetukana vijana wa Tanzania mkawasifu vijana wenye njaa wa Kenya
Mmetukana na kushambulia Kada na taaluma za watu (Walimu,Maaskari n.k)
Sasa mnahamia kwa hawa wakina mama!
Kuna kipindi mjipime uwezo wenu wa kufikiri na ku reason.