Pre GE2025 Aina ya Watu wanaohudhuria Mikutano ya Dkt. Nchimbi huko Mikoani inafikirisha sana

Pre GE2025 Aina ya Watu wanaohudhuria Mikutano ya Dkt. Nchimbi huko Mikoani inafikirisha sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .

Huu hapa ni Mkutano wa Lindi

View attachment 3057079

Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
Kwahiyo unalidharau kundi hili la wapiga kura halafu kesho unalalamika eti umeibiwa kura. Kwa taarifa yako CCM itabakia madarakani daima kwasababu ya kundi hili!
 
Hujafanya vyema hao pia ni binadamu kama wewe.

Jifunze kuheshimu binadamu wenzako.

Huna akili.
 
Maoni yangu

1722396736700.png



maoni yangu yako 👇





 
Kwani nyinyi wanaccm hamchukui picha kwenye mikutano yenu?
Unaponishangaza I kuamua kuiha hata upumbavu wa CCM, nini maana ya kuwa chama mbadala kama mna viashiria vyote vya kutenda kama CCM. Sasa una tofauti gani na Lucas et al.
 
Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .

Huu hapa ni Mkutano wa Lindi

View attachment 3057079

Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
CCM hata Lindi haikubaliki?!
 
Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .

Huu hapa ni Mkutano wa Lindi

View attachment 3057079

Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
sio kwamba wame edit hapo...?
 
Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .

Huu hapa ni Mkutano wa Lindi

View attachment 3057079

Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
Hizi picha kama ni CCM wanaposti basi wahuni...hii ilikua enzi ya JK huko lindi picha ya maktaba hii.
 
Mama kabakiza jino moja tu la kutafunia mchicha yeye hata nyama robo iuzwe elfu kumi haoni shida
Acha zarau Kwa Wazee. Naomba ni Watu Wana heshima Yao. Uzee siyo Ugonjwa ni mchakato wa ukuaji
 
Umaskini ndio mtaji wa Nyinyiemu umaskini ukiisha na yenyewe bye bye ndio maana wanakaza tundelee kuwa maskini.
 
Sasa unashangaa kitu Gani?Siku zote hao ndiyo wapiga kura wa CCM,we unadanganyika na zile MOBB za wale GENZ wa kibongo bongo na drama za?Siasa za bongo ni hesabu Kali Babu....
Kama ni hivyo Jiwe aliibaje uchaguzi?
 
Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .

Huu hapa ni Mkutano wa Lindi

View attachment 3057079

Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
Nilitegemea uweke jukwaa bila watu au uweke mbuzi wakila nyanya kujustify kichwa chako cha habari na intro! Sasa hapa sijajua hoja yako ni nini? Kura inaanza na mtu mmoja. Pili, hawa wakikuamini hukosi kura zao. Gen Y na Z wanaweza kusukuma gari lako na wasikupigie kura kama kama trend ya mafuriko na kudeki barabara hukoo! Dk. Nchimbi ni mtu wa mikakati mzuri na mtu makini🙏🙏🙏
 
Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .

Huu hapa ni Mkutano wa Lindi

View attachment 3057079

Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
Sasa CCM watawatoa wapi vijana? Ila hivi vizee ndivyo huwa vinawafunga magoli CHADEMA! Mavi-jana ya Tanzania matoyoyo huwa hayapigi kura!
 
Back
Top Bottom